
Kamati Kuu ya CCM imeagiza Kamati ya
Wabunge wa chama hicho kuwapa barua za kujieleza wabunge wao
wasiohudhuria, wanaochelewa na wanaondoka kabla ya vikao vya Bunge
kuahirishwa.
Tayari maagizo hayo yamefanyiwa kazi na Katibu wa Wabunge
wa CCM, Jasson Rweikiza ambaye...