Wednesday, 29 June 2016

CCM Yawalima Barua Wabunge Wake.....Sasa Watakiwa Kujieleza Kamati Kuu

Kamati Kuu ya CCM imeagiza Kamati ya Wabunge wa chama hicho kuwapa barua za kujieleza wabunge wao wasiohudhuria, wanaochelewa na wanaondoka kabla ya vikao vya Bunge kuahirishwa.  Tayari maagizo hayo yamefanyiwa kazi na Katibu wa Wabunge wa CCM, Jasson Rweikiza ambaye...
Share:

Tuesday, 28 June 2016

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD FORM YA MKOPO/ KUOMBA MKOPO BODI YA MIKOPO 2016/2017

  <<<<<BONYEZA HAPA KUOMBA>>>>>...
Share:

RASMI:Maombi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu Mwaka wa Masomo 2016 /2017 Yafunguliwa

  MAOMBI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU 2016/2017 Kuanza kuomba Tafadhari  <<BOFYA HAPA>>...
Share:

VIDEO:GWAJIMA BADO ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA UDI NA UVUMBA-SIMON SIRRO

Kamanda wa polisi jiji la Dar Simon Sirro amesema bado wanamtafuta sana askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat Gwajima na wametumia mtandao wa polisi wa kimataifa Interpol lakini bado hawajapata majibu. Amesema walipokea barua kutoka kwa wakii wake lakini wao hawafanyi kazi kwa taarifa hizo, amewataka waandishi wa habari na wananchi wasaidie kupatikana kwake.  VIDEO HII HAPA ...
Share:

MPYA:BODI YA MIKOPO YAFUNGUA APPLICATION ZA MIKOPO (KUANZIA JUNE 27 HADI JULY 31) KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MWAKA WA MASOMO 2016/2017

     GUIDELINES AND CRITERIA FOR ISSUANCE OF STUDENTS’ LOANS AND GRANTS FOR THE 2016/2017 ACADEMIC YEAR  These Guidelines and Criteria are issued to prospective loan applicants and the public at large to guide the whole process of application and issuance of loans...
Share:

MECHI YA YANGA VS TP MAZEMBE: Mashabiki Kuingia Uwanjani Bure Leo, Kikomo cha Mashabiki ni 40,000 Ukichelewa "Tazama Kwenye TV"

MASHABIKI wa Yanga leo watajazana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam bila kulipa hata senti tano kushuhudia mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hata hivyo, kujazana kwao uwanjani hakutakuwa na maana iwapo kikosi...
Share:

New AUDIO | Linex Ft. Christian bella - Hewala | Download

DOWNLOAD ...
Share:

New AUDIO | Q Chief Ft. Mb Dog, Amour,Kadjanito & Meddy - SOHARD | Download

DOWNLOAD ...
Share:

Official VIDEO | Yamoto Band Ft. Ruby - Su | Watch/Download

...
Share:

Magazeti ya Leo Jumanne ya June 28, 2016

...
Share:

Monday, 27 June 2016

Afariki Dunia Baada ya Kunywa GONGO Kupita Kiasi

MKAZI wa Mondo katika Kijiji cha Kitumba wilayani Magu, Wilson Magola (45), amekufa baada ya kunywa pombe haramu ya gongo. Kamanda wa Polisi wa Mkoani Mwanza, Ahmed Msangi alisema jana kuwa, tukio hilo lilitokea Juni 23, mwaka huu, saa 8:00 mchana kitongojini humo. Msangi ...
Share:

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo

Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo kuanzia jana.  Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi imesema Rais amemteua Dk Charles Mlingwa ambaye...
Share:

CHADEMA Watafakari Hatua za Kuchukua Baada ya Rais Magufuli Kutaka Siasa Zifanywe 2020 ( wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao )

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema kinatafakari hatua gani ya kuchukua baada ya Rais John Magufuli kutaka siasa za nguvu zifanywe wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao, kauli inayotafsiriwa kuwa ni kupiga marufuku shughuli za kisiasa.  Rais...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNE TAREHE 27.6.2016

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger