Friday, 4 August 2023

RC FATMA MWASSA ATEMBELEA NA KUKAGUA SHULE MPYA NYAKAHITA

Na Mariam Kagenda - Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa amefanya ukaguzi ujenzi wa vyumba 16, jengo la utawala na matundu 18 ya vyoo shule mpya ya awali na Msingi Nyakahita iliyopo Kata ya Kanoni wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera. Akiongea na wananchi wa kata hiyo mara baada ya kukagua...
Share:

TIKTOK YASITISHWA KWA MUDA USIOJULIKANA SENEGAL

Mamlaka ya Senegal ilisimamisha ombi la TikTok Jumatano hadi “taarifa zaidi” kutokana na kueneza jumbe za “chuki na uasi” kufuatia maandamano ya kupinga kufungwa jela kwa kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko siku ya Jumatatu. Tayari walikuwa wamekatiza ufikiaji wa mtandao kwenye simu za mkononi...
Share:

BSL COLLEGE KAHAMA YATANGAZA NAFASI ZA USAJILI WA KOZI YA UALIMU MALEZI AWALI

...
Share:

e-GA YASHAURI TAASISI KUTUMIA MFUMO WA TEHAMA

  Picha za Matukio mbalimbali ya wananchi wakipatiwa Elimu na  huduma mbalimbali katika Banda la Mamlaka ya Serikali Mtandao lililopo katika viwanja vya John Mwakangale-Nanenane jijini  Mbeya. Na Mwandishi maalum, Mbeya  Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) inashiriki Maonesho...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA AUGOSTI 4,2023

...
Share:

Thursday, 3 August 2023

WATANZANIA WAKO TAYARI UWEKEZAJI WENYE TIJA NA MABADILIKO BANDARINI - CHONGOLO

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwahutubia Maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara Uwanja wa CCM Kirumba,jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. ********************* Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo amesema Watanzania kwa ujumla wao wameonesha...
Share:

Wednesday, 2 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AUGOST 3,2023

...
Share:

WIKI YA UNYONYESHAJI YAZINDULIWA, DK. MOLLEL ATAKA AKINA MAMA KUEPUKA MSONGO WA MAWAZO MAZIWA YATOKE

Na Mariam Kagenda - Kagera Akina mama wajawazito nchini wametakiwa kukaa katika mazingira yasiyowaletea msongo wa mawazo kwa  kipindi chote cha ujauzito na unyonyeshaji ili kufanya maziwa yatoke vizuri na mtoto kupata lishe bora na kukua vizuri.  Wito huo umetolewa leo na Naibu Waziri...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger