Wednesday, 2 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AUGOST 3,2023

...
Share:

WIKI YA UNYONYESHAJI YAZINDULIWA, DK. MOLLEL ATAKA AKINA MAMA KUEPUKA MSONGO WA MAWAZO MAZIWA YATOKE

Na Mariam Kagenda - Kagera Akina mama wajawazito nchini wametakiwa kukaa katika mazingira yasiyowaletea msongo wa mawazo kwa  kipindi chote cha ujauzito na unyonyeshaji ili kufanya maziwa yatoke vizuri na mtoto kupata lishe bora na kukua vizuri.  Wito huo umetolewa leo na Naibu Waziri...
Share:

DCEA YAENDESHA OPERESHENI YA SIKU 8 MFULULIZO MOROGORO KUKABILIANA NA BANGI, YAKAMATA NA KUTEKETEZA MASHAMBA

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na Vyombo Vingine vya Ulinzi na Usalama wakiwemo JKT Ruvu imefanya operesheni ya siku nane (8) mfululizo mkoani Morogoro katika wilaya za Morogoro, Morogoro vijijini na Mvomero na kukamata jumla ya gunia 131...
Share:

WATATU WAFARIKI AJALI YA NOAH

Watu watatu wakazi wa Lugala, Kata ya Manzase mkoani Dodoma, wamefariki dunia jana Jumanne usiku baada ya gari aina ya Noah walilokuwa wamepanda kutumbukia kwenye korongo. Imeelezwa kuwa dereva wa gari hilo alishindwa kupandisha mwinuko uliopo kwenye barabara kuu katika eneo hilo hali iliyosababisha...
Share:

NEC YASHIRIKI MAONESHO YA KILIMO NANE NANE KANDA YA KATI

TUME ya Taifa ya Uchaguzi ni miongoni mwa taasisi mbalimbali za binafsi na serikali zinazoshiriki katika Maonesho ya Wakulima maarufu kama Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma na kuwapa fursa wananchi hasa wakazi wa mikoa ya Kanda ya Kati kupata elimu ya Mpiga Kura ambayo...
Share:

Tuesday, 1 August 2023

DIWANI AWAKUMBUSHIA WALIMU UTUMISHI BORA

Diwani wa kata ya Bwilingu halmashauri ya Chalinze Mh. Nassar Karama(suti nyeusi) akizungumza na walimu NA. ELISANTE KINDULU, CHALINZE DIWANI wa kata ya Bwilingu ,katika halmashauri ya Chalinze mkoa wa Pwani, Mh. Nassar Karama amesisitiza walimu kufanya kazi kwa bidii na kufuata kanuni za Utumishi...
Share:

MKAZI WA DAR-ES-SALAAM AJISHINDIA MILIONI 14 NA MERIDIANBET

Kama ilivyo kauli mbiu “CHAGUA TUKUPE” sasa watu wamechagua na wamepewa kwani Mkazi mmoja kutoka jijini Dar-es-salaam ameweza kujishisdia kiasi cha milioni 14 baada ya kubashiri na kampuni ya kibabe na inayotoa ODDS KUBWA na bomba kabisa nchini Tanzania. Mteja huyo alifanikiwa kuchagua...
Share:

VUNA ZAIDI NA AIRTEL MONEY YA MERIDIANBET YAZINDULIWA LEO

Habari mteja wa Meridianbet, zikiwa zimebaki siku chache Ligi mbalimbali barani Ulaya kurejea, wababe wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet wamekuletea promosheni mpya ijulikanayo kwa jina la “Vuna Zaidi na Airtel Money” ambayo imeanza leo hii. Uzinduzi huo ulifanyika leo hii majira ya saa...
Share:

TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUUJUA MFUMO WA NeST.

Na Mwandshi Wetu-DODOMA. Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma PPRA imezitaka Taasisi zote za Umma nchini kuhakikisha zimepatiwa mafunzo elekezi kwa ajili ya utumiaji wa Mfumo mpya wa Ununizi wa Umma kwa njia ya mtandao (NeST). Hayo yamesemwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA Bw. Eliakim Maswi wakati...
Share:

FEDHA ZA UJENZI WA ZAHANATI ZASHTUKIWA KUPIGWA NA VIONGOZI WA KITONGOJI, MBUNGE AFICHUA MADUDU

Wananchi wa Kitongoji cha Kinyika, Kata ya Mkwese, Wilayani Manyoni wamelalamikia Viongozi wa Serikali kitongoji hapo kwa ucheleweshwaji wa ujenzi wa Zahanati ikiwa walishachangishwa na kutoa michango yao. Wananchi hao wametoa malalamiko yao mbele ya Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe. Dkt. Pius...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger