Anasifika kwa kumwagia maji marafiki zake pale wanapoadhimisha siku zao za kuzaliwa ‘ Birthday’..Kama una birthday usiombe ukutane naye... Si mwingine ni Mwandishi wa habari maarufu Josephine Charles ambaye hivi karibuni amezindua Kola Online Tv na Kola Liquid Soap…Josephine aliyebatizwa kuwa Mkuu wa Kitengo cha maji , Humlazimu kutumia mbinu zote ili kuhakikisha anatimiza lengo lake la kumwagia maji ndugu na marafiki.. Na hufurahia sana kwa kitendo hicho!!
Sasa leo Jumamosi Julai 23,2022 akiwa anatimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake..Mrembo huyo anayejulikana kwa jina la Josephine Charles mkazi wa Shinyanga amejikuta katika wakati mgumu baada ya kunaswa na wadau kisha kupigwa maji na matope ya kutosha kama anavyoonekana kwenye picha!!
La haula!! Josephine Charles yule Bingwa wa maji, mbabe wa maji ya Birthday hana ujanja leo, ama kweli malipo ni hapa hapa duniani.
Happy Birthday Josephine Charles!!
Josephine Charles alivyoanza kumwagiwa maji na marafiki zake
Josephine Charles akiendelea kuoga maji na matope
.jpg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)




Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Francis Michael akizungumza wakati akifunga Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yaliyokuwa yakiendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa akizungumza katika Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yaliyokuwa yakiendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania(TCU) Prof. Penina Muhando akizungumza katika Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yaliyokuwa yakiendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Makamu Mkuu wa Chuo cha Kilimo Sokoine (SUA), Prof. Raphael Chibunda akizungumza katika Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yaliyokuwa yakiendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wakuu wa Taasisi za Elimu nchini wakifuatilia hafla ya kufunga Maonesho ya 17 ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania yaliyokuwa yakiendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
.jpg)






























