INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JESHI
la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama
jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya
kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile
kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi.
Thursday, 10 July 2014
KOMBE LA DUNIA:HATIMAE FAINALI NI GERMANY(TEAM MULLER) VS ARGENTINA(TEAM MESSI)
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa mikwaju ya penalti.
Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.
Kipa wa Argentina Sergio Romero alikuwa Nyota wa mechi hiyo
Argentina imejukatia tikiti ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka wa 1990 ambapo itachuana Ujerumani.Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa mikwaju ya penalti.
Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.
BABA KANUMBA AMCHANA MKEWE,AMWAMBIA AACHE NJAA
40 YA MSANII TYSON MAMA AKE AUGUA GHAFLA,SOMA HAPA NINI KIMETOKEA
DIAMOND PLATNUM AMLIZA MAMA AKE MZAZI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: Waandishi Wetu
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria kiasi cha kumliza mama yake mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.
Tukio la mama Diamond kumwaga machozi lilishuhudiwa na kamera za Amani, juzi Jumatatu, mishale ya saa mbili usiku nyumbani kwake, Sinza jijini Dar es Salaam ambako kulikuwa na ‘bethidei’ ya mama huyo.
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria kiasi cha kumliza mama yake mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.
Tukio la mama Diamond kumwaga machozi lilishuhudiwa na kamera za Amani, juzi Jumatatu, mishale ya saa mbili usiku nyumbani kwake, Sinza jijini Dar es Salaam ambako kulikuwa na ‘bethidei’ ya mama huyo.
SEKREATIETI YA AJIRA:MATOKEO YA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 8 JULAI 2014
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
katika OFISI ZA NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)
NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).
Na. EXAMINATION NUMBER SCORE REMARKS
1 PSRS RESE ASS NCC - 121 80 SELECTED
2 PSRS RESE ASS NCC - 118 73 SELECTED
3 PSRS RESE ASS NCC - 124 73 SELECTED
4 PSRS RESE ASS NCC - 128 66 SELECTED
| MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 8 JULAI 2014 |
EXAMINATION RESULTS FOR RESEARCH ASSISTANTNCC 
Usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 9/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI. katika OFISI ZA NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)
NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).
Na. EXAMINATION NUMBER SCORE REMARKS
1 PSRS RESE ASS NCC - 121 80 SELECTED
2 PSRS RESE ASS NCC - 118 73 SELECTED
3 PSRS RESE ASS NCC - 124 73 SELECTED
4 PSRS RESE ASS NCC - 128 66 SELECTED
Wednesday, 9 July 2014
WANAFUNZI MKOANI MBEYA WAANDAMANA HADI KWA MKUU WA MKOA KWA KUKOSA NAFASI KIDATO CHA TANO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WAHITIMU
39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini
hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa
ili kujua hatma yao baada Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
kushindwa kuwapangia nafasi za kujiunga kidato cha tano licha ya kufanya
vizuri katika mitihani yao.
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AFUNGUA BWENI LA WASICHANA-NAMTUMBO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kiongozi wa mbio za mwenge RACHEL KASSANDA
Kiongozi wa mbio za mwenge RACHEL KASSANDA, amefungua bweni la
wasichana la shule ya sekondari MSINDO na kuweka jiwe la Msingi katika
majengo ya vyumba vinne vya madarasa na Maabara moja katika shule ya
Sekondari RWINGA wilayani NAMTUMBO mkoani RUVUMA.
MASHABIKI WA BRAZIL WACHOMA BASI MOTO BAADA YA KIPIGO CHA 7-1
WANAFUNZI WAFUNGWA JELA MIAKA 6 KWA MAUAJI YA MWALIMU WAO MKOANI SINGIDA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Vijana wawili waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chemchem wilayani Mkalama katika Mkoa wa Singida, wamehukumiwa kifungo cha miaka sita kila mmoja baada ya Mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la mauaji ya mwalimu wao.

Vijana wawili waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chemchem wilayani Mkalama katika Mkoa wa Singida, wamehukumiwa kifungo cha miaka sita kila mmoja baada ya Mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la mauaji ya mwalimu wao.
UJERUMANI YAWEKA HISTORIA:NI BAADA YA KUIFUNGA BRAZIL GOLI 7-1 NUSU FAINALI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
André Horst Schürrle (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Ujerumani baada ya kufunga bao la saba dhidi ya Brazil.
MASTAA WA BONGO MOVE WASUSA 40 YA JAPANESE
MCHEZAJI WA UJERUMANI MIROSLAV KLOSE AWEKA HISTORIA KOMBE LA DUNIA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Miroslav Josef Klose akishangilia baada ya kutupia bao la pili kwa Ujerumani usiku huu na kuvunja rekodi ya kupachika mabao.
MSHAMBULIAJI wa Ujerumani na timu ya Lazio ya Italia, Miroslav Josef
Klose, ameweka historia usiku huu baada ya kutupia bao lake la 16 na
kuwa mfungaji wa mabao mengi katika michuano ya Kombe la Dunia iliyoanza
mwaka 1930 ambayo kwa sasa inaendelea nchini Brazil.
Klose ameifungia Ujerumani bao la pili wakati ikitoa kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014.
Klose alifunga mabao matano katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2002 na 2006, akatupia manne huko Afrika Kusini mwaka 2010 na mpaka sasa huko Brazil tayari amefunga mabao mawili moja dhidi ya timu yake na Ghana wakati la pili dhidi ya Brazil leo.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amempiku mshambuliaji wa Brazil, Ronaldo LuÃs Nazário de Lima aliyekuwa na mabao 15.
Wachezaji wengine waliowahi kufunga mabao zaidi ya 11 kwenye michuano hiyo ni: Gerd Muller wa Ujerumani 14, Just Fontaine wa Ufaransa 13, Pele wa Brazil 12, Jurgen Klinsmann wa Ujerumani 11 na Sandor Kocsis wa Hungary 11.
Klose ameifungia Ujerumani bao la pili wakati ikitoa kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014.
Klose alifunga mabao matano katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2002 na 2006, akatupia manne huko Afrika Kusini mwaka 2010 na mpaka sasa huko Brazil tayari amefunga mabao mawili moja dhidi ya timu yake na Ghana wakati la pili dhidi ya Brazil leo.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amempiku mshambuliaji wa Brazil, Ronaldo LuÃs Nazário de Lima aliyekuwa na mabao 15.
Wachezaji wengine waliowahi kufunga mabao zaidi ya 11 kwenye michuano hiyo ni: Gerd Muller wa Ujerumani 14, Just Fontaine wa Ufaransa 13, Pele wa Brazil 12, Jurgen Klinsmann wa Ujerumani 11 na Sandor Kocsis wa Hungary 11.
Tuesday, 8 July 2014
WATU WAWILI WAMEKUFA KATIKA AJALI ILIYOTOKEA MKOANI PWANI LEO HII
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Watu wawili wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea leo katika kijiji cha kwang’andu kata ya mbwewe mkoani PWANI.
KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ALGERIA VAHID HALILHODZIC AJIUZULU
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Vahid Halilhodzic
Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amejiuzulu licha ya ombi la binafsi kutoka kwa rais Abdelaziz Bouteflika akimsihi asijiuzulu.
NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA-BRAZIL KUMKOSA SILVA NA NEYMAR
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mlinzi wa Brazil Thiago Silva (Kushoto) na Mshambuliaji Neymar(kulia)
Mlinzi wa Brazil Thiago Silva hatocheza katika mechi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani Jumanne .