
Mwenyekiti wa Seneti Mkoa wa Iringa Joseph Masaniro George, Ameongoza Kikao Maalumu cha Kamati ya Uratibu Seneti Mkoa wa Iringa, Kilichofanyika tarehe 01 Septemba 2026 , Ukumbi wa Nyerere Ofisi za CCM mkoa Wa Iringa kikao chenye lengo la Kujadili Masuala Mbalimbali yanayohusu Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Ndani ya Mkoa wa Iringa.





0 comments:
Post a Comment