
Friday, 27 June 2014
Thursday, 26 June 2014
SUAREZ AADHIBIWA MIEZI MINNE na MECHI TISA NJE,BAADA YA KUMN'GATA MCHEZAJI MMWENZAKE

USAJILI MAN UNITED:HERRERA ATUA MAN UNITED, AKABIDHIWA JEZI.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.

KIUNGO Ander Herrera amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 29 kwenda Manchester United akitokea Athletic Bilbao.
NGUMI BUNGENI:JAJI WEREMA AMFANANISHA MBUNGE KAFULILA NA TUMBILI TAFRANI YAIBUKA, MAWAZIRI WAINGILIA KATI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
VYUO VIKUU VINAVYOONGOZA KWA UTOAJI WA ELIMU BORA TANZANIA(GRADUATES)
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.
Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.
Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
1 University of Dar es Salaam . (UD)
2 Sokoine University of Agriculture (SUA)
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)

Kumekuwa na sintofahamu nyingi ni chuo gani kinachoongoza kwa kutoa wanafunzi wenye elimu ambayo ni competent tanzania,utafiti uliofanyika wiki iliyopita umeonyesha kuwa elimu itolewayo chuo kikuu cha dar es salaam bado ipo juu na graduates wake wamekuwa wakifanya makubwa wawapo kazini,Pia zimetajwa kozi zenye mafanikio chuoni hapo ,Ni pamoja na SHERIA, na Education.
Chuo cha pili kwa ubora wa elimu na chenye kutoa graduate wazuri ni chuo kikuu cha SUA kilichopo mkoani morogoro,pia utafiti umeonyesha kuwa chuo hicho 93% ya kozi zake zimekuwa na soko sana kwenye ajiya baadhi ya kozi zilizoorodheswa ni,Bachelor of veternary medicine(BVM),Bsc.AGRONOMY,Bsc.Irrigation engineering,Bsc.Food science and Technology,Bsc.Agriculture general,Bsc.Animal science.
Vyuo vingine ni kama vinavyoonekana hapo chini
1 University of Dar es Salaam . (UD)
2 Sokoine University of Agriculture (SUA)
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences (Muhas)
UKWELI KUHUSU MH.SHUKURU JUMANNE KAWAMBWA KUZUSHIWA KIFO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
TAARIFA TOKA BAGAMOYO
Ndg
Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo
na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko
yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne
Kawambwa kutokana na
SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC YEAR 2014/2015, [RE - ADVERTISED]
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.
FIELDS OF STUDY
Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2014/2015. The medium of instruction is French.
FIELDS OF STUDY
- Medicine
- Economic, Management and Commercial Sciences.
- Mathematics and Computer science
- State Engineer in Telecommunications
- Science and Technology (Environmental Engineering)
- Science and Technology (Architecture)
- Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
- Science and Technology ( Electronics)
- Science of Earth and Universe (Hydrogeology)
- Science of Nature and Life (Food Industry)
- Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
- Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
- Matter Sciences (Chemistry)
- Matter Sciences (Physics)
- French Language

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD>>
