Wednesday 30 August 2023

RAIS SAMIA AZINDUA MAABARA YA TEHAMA SKULI YA SEKONDARI YA KIZIMKAZI MKUNGUNI

...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akivuta kitambaa kuzindua Maabara ya TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkunguni chini ya Ufadhili wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) tarehe 29 Agosti, 2023 katika Shamrashamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua chumba cha TEHAMA katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkunguni chini ya Ufadhili wa Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) tarehe 29 Agosti, 2023 katika Shamra shamra za kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger