Wednesday 17 May 2023

Tanzia : ASKOFU DKT. JOHN KANONI NKOLA AFARIKI DUNIA

...



Aliyekuwa Askofu wa Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Dayosisi ya Shinyanga Dkt. John Kanoni Nkola amefariki dunia leo asubuhi Jumatano Mei 17,2023 wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Bugandp Jijini Mwanza.


Taarifa zaidi tutakuletea.

R.I.P Askofu Nkola
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger