Wednesday 24 May 2023

LIFT YA MILLENIUM TOWER YAPOROMOKA...YAJERUHI SABA

...

Katika hali isiyotarajiwa lifti iliyopo katika jengo la ghorofa la Millenium Tower Makumbusho jijini Dar es salaam imeporomoka na kujeruhi watu saba.


 Inaelezwa kuwa chanzo ni kushindwa kuhimili uzito mkubwa kinyume na kiwango chake ambapo ilibeba watu zaidi ya 10.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger