Wednesday, 18 August 2021

AJALI YA GARI LA JWTZ, LORI LA MIZIGO YAUA WATU 10 GEITA

...

Watu 10 wamefariki dunia na nane kujeruhiwa baada ya gari la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) likitoka Kahama kugongana uso kwa uso na gari la mizigo leo Jumatano 18, 2021 katika kijiji cha Ilalwe kata ya Bukombe wilayani Bukombe mkoani Geita.
Via Mwananchi

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger