Friday 30 April 2021

SAMIA : SIASA SI UADUI...USHINDI WA CCM 2025 UTATEGEMEA VILE TUTAKAVYOTEKELEZA ILANI YETU

...

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema Ushindi wa CCM  mwaka 2025 utaletwa kwa namna wana CCM watakavyotekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM huku akisisitiza kuwa  Siasa si uadui hivyo kuviomba vyama vya siasa kutoa ushirikiano katika kuimarisha umoja uliopo.

Mhe. Samia ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 30,2021 wakati wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi

Amesisitiza kuwa kazi ya kukiimarisha Chama Cha  Mapinduzi inaendelea kuhusu akibainisha kuwa hatawaangusha wanawake na watanzania kwa ujumla.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger