Monday, 14 September 2020

MAELFU KWA MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA MGOMBEA URAIS WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AKIUNGURUMA MJINI CHATO MKOA WA GEITA LEO

...

 

Maelfu kwa maelfu ya wananchi wakiwa katika Uwanja wa Mazaina mjini Chato mkoani Geita kumsikiliza mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika
mkutano wa hadhara wa kampeni leo Jumatatu Septemba 14, 2020
Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvisha kofia ya CCM msanii Rajabu Abdul Kahali maarufu kama Harmonize baada ya kutumbuiza kwenye mkutano
wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa  Mazaina leo Jumatatu Septemba 14, 2020

Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvisha kofia ya CCM msanii Rajabu Abdul Kahali maarufu kama Harmonize baada ya kutumbuiza kwenye mkutano
wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa  Mazaina leo Jumatatu Septemba 14, 2020
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger