Wednesday 6 July 2022

TCRA YAKUTANA NA WATOA HUDUMA ZA MAUDHUI KWA NJIA YA MTANDAO 'Blogs na Online Tv' KANDA YA ZIWA


Meneja wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA), Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati akifungua kikao kazi na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022  katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza.

Lengo la kikao hicho ni kujadiliana kuhusu mambo mbalimbali hususani uzingatiaji wa masharti ya leseni, kanuni na sheria katika utoaji wa maudhui ya mtandaoni pamoja na uelewa juu ya marekebisho ya kanuni za maudhui mtandao.


Kikao hicho kinalenga kuongeza uelewa kuhusu marejeo pamoja na kanuni za maudhui mtandaoni, kuongeza uhusiano baina ya TCRA na wenye leseni za mtandao pamoja na kupunguza makosa yanayojitokeza wakati wa uwasilishaji wa maudhui mtandao yanayotokana na ukiukwaji wa kanuni hizo.

Picha na Kadama Malunde & Samir Salum
Meneja wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA), Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati akifungua kikao kazi na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022 katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza.
Meneja wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA), Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati akifungua kikao kazi na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022  katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza.
Meneja wa Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA), Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati akifungua kikao kazi na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022 katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Mwanza Press Club, Edwin Soko akitoa mada kuhusu Vitisho vya Kimtandao na Ulinzi wa waandishi wa habari Mtandaoni kwenye kikao kazi cha TCRA na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa leo Jumatano Julai 6,2022  katika Ukumbi wa Jengo la TMDA  jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Mwanza Press Club, Edwin Soko akitoa mada kuhusu Vitisho vya Kimtandao na Ulinzi wa waandishi wa habari Mtandaoni kwenye kikao kazi cha TCRA na Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa
Mwenyekiti Mstaafu wa Mwanza Press Club, Deus Bugaywa akitoa mada kuhusu Maadili kwa vyombo vya habari vya Kimtandao

Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Mkutano unaendelea
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao 'Blogs & Online Tv) Kanda ya Ziwa wakiwa ukumbini
Share:

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI YAIPONGEZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZA UMMA


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Daniel Sillo akizungumza na wananchi wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma

Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Eliamani Sedoyeka akiishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti baada ya ziara ya kukagua miradi ya ujenzi wa lango la kuingilia wageni, barabara ya kilomita 47.2 na ujenzi wa Picnic Site. kwenye Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma.Afisa Uhifadhi Miundombinu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Noti Mgaya akitoa maelezo kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu ujenzi wa Picnic Site katika Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani DodomaNaibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akitoa ufafanuzi kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu mradi wa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 47.2 katika Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ikikagua mradi wa ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 47.2 katika Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma.

*************

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Daniel Sillo ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa matumizi mazuri ya fedha za umma katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa lango la kuingilia wageni, barabara ya kilomita 47.2 na ujenzi wa Picnic Site. kwenye Pori la Akiba Mkungunero.

Ameyasema hayo leo wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali kwenye Pori la Akiba Mkungunero lililopo Wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma.

“Tuipongeze Wizara ya Maliasili na Utalii kwa usimamizi mzuri wa fedha hizi za umma ambazo zinaleta tija katika suala zima la maliasili na utalii hapa nchini” Mhe. Sillo amesisitiza.

Amesema Wizara ya Maliasili na Utalii ilipata kiasi cha shilingi bilioni 90.2 ambapo bilioni 12.9 ilikabidhiwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) na kisha kiasi cha shilingi milioni 672 kupelekwa Pori la Akiba la Mkungunero kwa ajili ya kuboresha eneo hilo ili kuvutia wawekezaji na watalii.

Amefafanua kuwa uboreshaji wa miundombinu ya Pori ya Akiba la Mkungunero utafungua fursa za utalii nchini Tanzania na pia itaongeza uchangiaji wa Sekta ya Maliasili na Utalii kwenye pato la Taifa ambapo kwa sasa sekta hiyo inachangia takribani asilimia 17 ya pato la Taifa na asilimia 25 ya fedha za kigeni.

Naye, Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) Wizara ya Maliasili na Utalii ilifaidika na mgao wa fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19 ambapo ilipokea kiasi cha shilingi bilioni 88.57 sawa na asilimia 98 ya mpango huo.

Amefafanua kuwa Pori la Akiba Mkungunero ilitengewa kiasi cha shilingi milioni 672 na mpaka sasa fedha hizo zimepokelewa zote na zimepangwa kutekeleza miradi mitatu ambayo ni ujenzi wa lango la kuingilia wageni, barabara ya kilomita 47.2 na ujenzi wa Picnic Site.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti iko Wilayani Bababti na inaendelea na ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara ya Maliasili na Utalii.
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JULAI 6,2022



Magazetini leo Jumatano July 6 2022











 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger