Friday 21 February 2020

Finance Officer at Norwegian Refugee Council (NRC)

Position: Finance Officer (Tanzania Nations only Tanzania, Norwegian Refugee Council NRC is looking for qualified candidate base at Kibondo,Kigoma The purpose of the Finance Coordinator is to Ensure accountability and accurate financial reporting in conformity to NRC’s accounting practices and standards and donor requirements. All NRC employees are expected to work in accordance with the organisation’s core values: dedication, innovation,… Read More »

The post Finance Officer at Norwegian Refugee Council (NRC) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Program Officer at Kilimo Trust

Job Advert – Program Officer – Policy Advisor Job Grade: KT4 Unit of Service: KT Tanzania Reports To: Country Team Leader Tanzania Duty Station : Dar-es- Salaam -Tanzania Employment Category: One Year Renewal Contract Purpose of the Job ➢ To support Program Development through, Program implementation, Policy Development & Promotion ➢ To ensure that Private sector interests are reflected in… Read More »

The post Program Officer at Kilimo Trust appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Finance Manager at School of St. Jude

Finance Manager  Job Summary To oversee all areas of finance related to the school including but not limited to; accounts receivable, accounts payable, capital spending, budgeting, financial reporting and purchasing. Job Description Reporting To – Founding Director. Working relationships – Accounts Team, all Business Teams, Purchasing Teams and Academic Departments. Key Responsibilities & Tasks Oversee all finance related… Read More »

The post Finance Manager at School of St. Jude appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Territory Manager at Vodacom

Territory Manager   Description Maximises sales revenue by working through and with distributors, dealers and other partners within assigned territory. Works alongside distributors and staff to carry out all the activities required to achieve set targets. Monitors stock levels both at distributor level and in the trade; also identifies gaps in the distribution chain and brings them to management… Read More »

The post Territory Manager at Vodacom appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Senior Specialist, Occupational Health and Safety (OHS) at NMB Bank Plc

Senior Specialist, Occupational Health and Safety (OHS) at NMB Bank Plc Dar es Salaam, Tanzania Reporting Line: Senior Manager BCM/OHS Job Purpose Coordination and effective implementation of the Occupational health and safety program. Main Responsibilities Implement internal Occupational Health and Safety (OHS) management systems to ensure compliance to the OHS Act 5 0f 2003 and the Fire &… Read More »

The post Senior Specialist, Occupational Health and Safety (OHS) at NMB Bank Plc appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Engineering Assistant Director at Park Hyatt

Engineering Assistant Director   Summary We are currently seeking for passionate and dynamic Engineering professionals who pride themselves on their ability to deliver extraordinary levels of customer service and provide creative solutions to our guests. As an Assistant Chief Engineer / Assistant Director of Engineering you are responsible to assist the Chief Engineer / Director of Engineering on all… Read More »

The post Engineering Assistant Director at Park Hyatt appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Finance Team Leader at Park Hyatt

Finance Team Leader   Summary Person responsible for below Account payable Cost control General cashier Qualifications To be Successful in This Role, You Will Require to Have; Minimum of two years’ experience in the industry and previous experience at a 5 start hotel. Certificate or qualification in Finance and/or Accounting. CLICK HERE TO APPLY

The post Finance Team Leader at Park Hyatt appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Head, Procurement at Standard Bank

Head, Procurement   Job Details Finance: budgeting and forecasting, creating interim and annual financial statements, facilitating internal mergers and acquisitions, as well as dealing with analysts and investors. Job Purpose – Establish and managed the country procurement centre excellence, and enforce adherence to good procurement governance framework (Policy and Procedure) – To facilitate the imparting of procurement skills including… Read More »

The post Head, Procurement at Standard Bank appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Job vcancies at Bukoba District

Share:

Head, Procurement at Standard Bank

Head, Procurement   Job Details Finance: budgeting and forecasting, creating interim and annual financial statements, facilitating internal mergers and acquisitions, as well as dealing with analysts and investors. Job Purpose – Establish and managed the country procurement centre excellence, and enforce adherence to good procurement governance framework (Policy and Procedure) – To facilitate the imparting of procurement skills including… Read More »

The post Head, Procurement at Standard Bank appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Branch Manager at Standard Bank

Branch Manager   Job Details Retail & Business Banking Job Purpose Ensure that all customers receive a consistently high quality service by effectively managing and developing all available resources (staff, systems, processes) and ensuring that a strong customer-focused service culture becomes entrenched in the branch. Ensure that cross-selling opportunities are actioned and customers are migrated to more appropriate and… Read More »

The post Branch Manager at Standard Bank appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Mbowe: Tunawafahamu Wote Wanaotaka Kuhama CHADEMA

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema wanawafahamu Wanachama wote wa chama hicho wenye nia ya kutengeneza migogoro na baadaye kuhama

Hata hivyo, kiongozi huyo wa Chadema amesema hawawezi kuwafukuza katika chama hicho hadi pale watakapoamua kuondoka wenyewe.

Mbowe aliyasema hayo jana alipohojiwa kuhusu makada wa Chadema waliokihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi hivi karibuni.

Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, alidai makada wa chama hicho waliotimkia CCM hivi karibuni, ni majeruhi wa uchaguzi wa ndani ya chama hicho uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana na baadhi yao kushindwa kutetea nafasi zao

“Tunatambua watu ambao wanatengenezwa ili wazue migogoro ndani ya chama chetu, na tunatambua watu ambao wakati wowote wakikamilisha malengo waliyopewa, wataondoka.

“Hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hata tukiwafukuza, baadaye watapiga kelele tumefukuzwa... tumefukuzwa... tumeonewa... tumeonewa! Tunawaacha waondoke wenyewe kwa utashi wao," alisema.

Alisema sababu zinazotolewa na makada hao kwa sasa hazina mashiko kwa kuwa chama kinatambua kuondoka kwao kunasukumwa na matokeo ya majeraha waliyoyapata katika uchaguzi wa ndani ya chama hicho na si rahisi kuwazuia.

“Wote hao walipoingia, walitoa kauli nzito nzito, lakini katika kipindi cha miaka mitatu, minne, wanatoka wanakimbia sasa. Leo wakitoka wanapiga kelele, haiwasaidii," alisema.

Mwanzoni mwa wiki, aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Vicent Mashinji, alikihama Chadema na kujiunga na CCM, akidai chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakina uwezo wa kuwaletea maendeleo wananchi na kimekuwa na malumbano na migogoro ya ndani.

Dk. Mashinji alitangaza uamuzi huo ikiwa ni siku chache baada ya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema katika uchaguzi uliopita, Cecil Mwambe, kutangaza mwishoni mwa wiki kujiuzulu ubunge wa Ndanda na uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.

Vigogo wengine walioihama Chadema na kurejea CCM walikotoka ni mawaziri wakuu wastaafu, Edward Lowassa na Frederick Sumaye.

Credit: Nipashe


Share:

Rais Magufuli Atoa Onyo kwa Wanasiasa Kuwaweka Ndani Madaktari na Watumishi Wengine wa Umma

Rais Magufuli amewaonya viongozi wa kisiasa kuacha vitendo vya kuwaweka ndani madaktari hata kwa makosa madogo, vitendo ambavyo amesema yeye hakubaliani navyo.

Rais ametoa kauli hiyo jana alipokuwa akihutubia mamia ya madaktari waliokusanyika katika ukumbi kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) ikiwa ni maadhmisho ya Siku ya Madaktari Tanzania mwaka 2020.

“Nasisitiza Viongozi msipende kuwekaweka Watu ndani, hawa Madaktari mkiwaweka ndani na wao mkiwakuta Hospitali watawaweka ndani pia, anauliza tu nani huyo anaumwa wakisema ni DC au RC fulani anasema muache hapo kwanza, ila na nyinyi Madaktari msije mkafanya hivyo ni dhambi”” alisema Rais Magufuli.

Hata hivyo Rais amesema kuwa onyo hilo alilolitoa sio kigezo cha kwamba madaktari hawatowekwa ndani endapo watatenda makosa, huku akitolea mfano wa daktari anayedaiwa kumbaka mjamzito na kusema kwamba, daktari anayefanya vitendo kama hivyo, hata akiwekwa ndani, madaktari wenzake wasilalamike.

Kuhusu wataalamu kutoka sekta nyingine alisema, “Na hii sio kwa madaktari tu, hata kwa wahandisi na walimu, haiwezekani kila mtu wewe unaweka ndani”

Aidha, Rais amekiagiza Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kuwaonya na kuwachukulia hatua madaktari wachache wanaoshindwa kutumia taaluma zao vizuri, kabla hawajashughulikiwa na wanasiasa.


Share:

Hatima Kesi Ya Halima Mdee Kujulikana April 1, 2020

Hatima ya Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, anayekabiliwa na kesi ya uchochezi itajulikana Aprili Mosi kama ana kesi ya kujibu au la.

Hatua hiyo imefikiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, iliyoketi chini ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, baada ya upande wa Jamhuri kufunga ushahidi wao.

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, alidai kuwa kesi hiyo imepangwa kwa ajili ya kusikilizwa, lakini upande wa Jamhuri umefunga ushahidi wao na kwamba mashahidi watatu wanatosha kujenga kesi yao.

Hakimu Simba alisema upande wa utetezi uwasilishe hoja zao ndani ya siku 14 na upande wa Jamhuri uwasilishe majibu baada ya siku 14 nyingine.

Alisema mahakama yake itatoa uamuzi wa kama  Mdee ana kesi ya kujibu au la Aprili Mosi.

Katika kesi ya msingi, ilidaiwa kuwa Julai 3, 2017 katika Makao Makuu ya Ofisi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), iliyopo Mtaa wa Ufipa Wilaya ya Kinondoni, Mdee anadaiwa kutamka maneno dhidi ya Rais John Magufuli kuwa “anaongea ovyo ovyo, anatakiwa afungwe breki” kwamba kitendo ambacho kingeweza kusababisha uvunjifu wa amani.



Share:

IGP Sirro Afungua Mkutano Wa Nchi 14 Za Shirikisho La Wakuu Wa Polisi Mashariki Mwa Afrika

Mwenyekiti wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Mashariki mwa Afrika (EAPCCO) ambaye pia ni mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Simon Sirro, amefungua mkutano wa siku mbili wa nchi wanachama wa shirikisho hilo unaofanyika jijini Dar es salaam.

IGP Sirro amesema kuwa wakati wa mkutano wao washiriki kutoka nchi 14 Wanachama wa EAPCCO, watajadili masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na utaalamu wa namna ya kupambana na ugaidi na uhalifu unaovuka mipaka na kuongeza kuwa suala la mipaka lisiwe kikwazo kwa nchi Wanachama katika kushughulikia makosa mbalimbali.


Share:

Rais Magufuli Amwaga Ajira 1000 Kwa Madaktari...."Tuanze na madaktari 1000, mambo yakiwa vizuri tena tutaajiri wengine"

Na WAMJW – Dar Es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ametoa kibali kwa Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora inayoongozwa na Mhe. Kapteni Mstaafu George Mkuchika kuajiri madaktari 1000.

Rais Magufuli ametoa kibali hicho jana  alpohudhuria maadhimisho ya siku ya madaktari katika ukumbi wa mikutanao wa kimataifa wa Julius Nyerere. 

“Ninafahamu kuna madaktari 2700 bado hawajaajiriwa, nitalifanyia kazi” alisema Rais Magufuli na kuendelea kwa kumuuliza Waziri Mkuchika uwezekano wa kuajiri Madaktari 1000.

 “Tuajiri madaktari 1000 na wasambazwe vizuri katika Mikoa yote” alisema Rasi Magufuli kauli ambayo ilipokelewa kwa furaha na shangwe kutoka kwa wajumbe waliohudhuria Mkutano huo wa 55 wa Chama cha madaktari Tanzania (MAT)

Rais Magufuli amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imewekeza nguvu kubwa kwenye Sekta ya Afya nchini kwa kujenga miundombinu (majengo) pamoja na ununuzi wa vifaatiba na mashine za kitaalam na kusema kuwa bila ya kuwa na wataalam wa kutosha bado Sekta ya Afya itakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa huduma bora za afya. 

“Tuanze na madaktari 1000, mambo yakiwa vizuri tena tutaajiri wengine, tunahitaji madaktari mpaka vijijni, tumejenga vituo vya afya 352 tumejenga Hospitali za Wilaya 77 zote hizi zinahitaji madaktari” alisema Rais Magufuli.

Rais Magufuli ameonyeshwa kufurahishwa na utendaji kazi wa madaktari ambao wanatumia muda mwingi kuokoa maisha ya watanzania na kuwaahidi kuzishughulikia changamoto walizonazo ili waweze kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.


Share:

Sudani Kusini: Rais Kiir na Mpinzani wake, Riek Machar wakubali kuunda Serikali ya Muungano

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir na Mpinzani wake Riek Machar wamekubaliana kuunda serikali ya muungano kufikia siku ya Jumamosi kama walivyokubaliana.

Hatua hiyo inafuatia mkutano uliofanyika katika Ikulu katika mji mkuu wa Juba siku ya Alhamisi. Rais Kiir ameahidi kuwalinda viongozi wa upinzani .

Washirika wa bwana Machar walikuwa wanatafuta hakikisho kuhusu usalama wake iwapo atarudi katika mji mkuu wa Juba.

Bwana Kiir alisema kwamba masuala muhimu ambayo hayajasuluhishwa , kama vile jinsi yeye na Machar watakavyogawana mamlaka ni masuala ambayo yanatarajiwa kuangaziwa na kukamilishwa katika siku zijazo.

Bwana Machar amekubali kuchukua wadhfa wake wa zamani kama makamu wa rais wa kwanza na baraza la mawaziri lililopo litavunjwa ili kuruhusu viongozi zaidi wa upinzani.

Kuna matarajio kwamba makubaliano hayo yatamaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vya miaka sita ambavyo vimegharimu maisha ya zaidi ya watu 400,000.

Wawili hao waliunda serikali ya muungano ya muda mfupi mara moja 2016 . Ilikuwepo kwa miezi mitatu pekee kabla ya bwana Machar kuondoka Juba huku mapigano yakiendelea.

Kila upande umekuwa ukimshutumu mwenzake. Kundi la Machar linalilaumu kundi la rais Salva Kiir kwa kushindwa kuiongoza nchi na limekuwa likimtaka kiongozi wa taifa hilo changa kujiuzulu.

Kwa upande mwingine, wafuasi wa rais Kiir wanasisitiza kuwa iwapo kutakuwa na mazungumzo yoyote ya kuunda serikali ya muungano, hawatomruhusu Machar awe kiogozi wa Sudan Kusini.

Umoja wa mataifa na Marekani zimetishia kuidhinisha vikwazo dhidi ya watu wa Sudan kusini iwapo hakutofikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi.

-BBC


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger