INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Sunday 28 February 2016
Saturday 27 February 2016
UCHAGUZI MEYA JIJI LA DAR:VURUGU KUBWA ZAIBUKA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
VURUGU
kubwa zimetokea wakati wa Uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam
mara baada ya uchaguzi huo kuhairishwa tena kwa mara ya nne leo,huku
Jeshi la Polisi likivamia ukumbi wa Karimjee na kuanza kupambana na
Madiwani na wabunge wa Muunganiko wa umoja wa Vyama vinavyounda UKAWA.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam mara baada ya mkurugenzi wa Jiji kutangaza kuahirisha uchaguzi huo kwa madai ya uchaguzi kuwekewa pingamizi na CCM mahakamani.
Jambo hilo liliwachukiza madiwani wa UKAWA ambao walidai kuwa hawajapata barua ya pingamizi hilo, hivyo wakataka waruhusiwe kufanya uchaguzi peke yao kwa kuwa akidi ya madiwani kufanya uchaguzi ilikuwa imetimia.
Wakati UKAWA wakijiiandaa kufanya uchaguzi huo wenyewe ,Polisi zaidi ya 15 walivamia ukumbi huo na kuwataka madiwan hao waondoke ukumbini,jambo lilowachukiza tena na kuibua patashika ndani ya ukumbi.
Tukio hilo la aina yake limetokea leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam mara baada ya mkurugenzi wa Jiji kutangaza kuahirisha uchaguzi huo kwa madai ya uchaguzi kuwekewa pingamizi na CCM mahakamani.
Jambo hilo liliwachukiza madiwani wa UKAWA ambao walidai kuwa hawajapata barua ya pingamizi hilo, hivyo wakataka waruhusiwe kufanya uchaguzi peke yao kwa kuwa akidi ya madiwani kufanya uchaguzi ilikuwa imetimia.
Wakati UKAWA wakijiiandaa kufanya uchaguzi huo wenyewe ,Polisi zaidi ya 15 walivamia ukumbi huo na kuwataka madiwan hao waondoke ukumbini,jambo lilowachukiza tena na kuibua patashika ndani ya ukumbi.
SCHORASHIP:China scholarship opportunities for 2016/2017
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
1. INTRODUCTION
Applications are invited from committed, motivated and qualified Tanzanians to apply for postgraduate studies in the one of China’s best Oil and Gas Universities – the China University of Geosciences (Wuhan).
Sponsorship will be in the fields of oil and gas. The scholarships will be processed in collaboration with the Embassy of China in Tanzania and will be awarded to the best twenty two (22) candidates.
2. ELIGIBILITY
a) Applicants must be holders of Bachelor’s degree in Earth Sciences or Engineering from recognized universities;
b)Master’s Degree and Ph.D. applicants should not be older than 35 and 40 years respectively;
c)Applicants will be required to pay for a ticket to China; other costs will be paid by the Government of China including return ticket; and
d)Applicant once awarded scholarship, will not be allowed to decline for any reasons.
>>Read More>>
1. INTRODUCTION
Applications are invited from committed, motivated and qualified Tanzanians to apply for postgraduate studies in the one of China’s best Oil and Gas Universities – the China University of Geosciences (Wuhan).
Sponsorship will be in the fields of oil and gas. The scholarships will be processed in collaboration with the Embassy of China in Tanzania and will be awarded to the best twenty two (22) candidates.
2. ELIGIBILITY
a) Applicants must be holders of Bachelor’s degree in Earth Sciences or Engineering from recognized universities;
b)Master’s Degree and Ph.D. applicants should not be older than 35 and 40 years respectively;
c)Applicants will be required to pay for a ticket to China; other costs will be paid by the Government of China including return ticket; and
d)Applicant once awarded scholarship, will not be allowed to decline for any reasons.
>>Read More>>
Mawaziri ‘Waliombip’ Magufuli Hadharani
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MAWAZIRI watano wamewekwa hadharani kuwa ndio hawakujaza Tamko la
Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu na kurejesha fomu hizo
katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Akizungumza na waandishi wa habari jana asubuhi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema Rais John Magufuli, aliagiza mawaziri hao watekeleze wajibu huo kabla ya saa 12.00 jioni, vinginevyo watakuwa wamejiondoa wenyewe katika nafasi zao.
“Rais ameelekeza mawaziri popote walipo warudi na kutekeleza hilo na ofisi yangu itasimamia kwa karibu kutoa Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu. “Wafanye hivyo na kuzirejesha kabla saa 12 jioni na Waziri ambaye atashindwa kutekeleza agizo hili, atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye nafasi yake,” alisema Waziri Mkuu Majaliwa.
Majaliwa alisema Rais ameelekeza mawaziri hao watajwe ili popote walipo wajue na kurejea kuzijaza fomu hizo.
Kutokana na maelekezo hayo, Majaliwa aliwataja mawaziri hao kuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba, ambao hawajarudisha fomu zote mbili za Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu.
Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dk Augustine Mahiga ambaye alikuwa hajarejesha Hati ya Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa umma na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, ambaye alikuwa hajarudisha Tamko la Rasilimali na Madeni.
Waziri Mkuu alisema Naibu Waziri wa Nchi (Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira), Luhaga Mpina, yeye alikuwa hajarejesha fomu zote mbili za Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu.
Aliweka msisitizao kuwa kiongozi yeyote wa umma, anatakiwa kujaza fomu ya kutamka mali na madeni kwa viongozi wa umma na kuhaidi uadilifu uliotukuka na sheria hiyo itaendelea kufanyiwa kazi kwa wote wanoendelea kuteuliwa.
Akizungumzia suala la mawaziri waliokuwa safari ambao pengine wangeshindwa kuwasilisha fomu hizo, Majaliwa alisema cha muhimu agizo limetolewa na sababu nyingine zitaangaliwa kama zina msingi.
Alisema kama mawaziri hao wako nje ya nchi, ni lazima Rais anajua kwani ndiye anayetoa kibali na ikiwa wako mikoani ambako hawataweza kufika mpaka jana jioni, Waziri Mkuu anafahamu hivyo wataangalia sababu hizo.
Waziri Mkuu amesema wakati akifungua mafunzo ya mawaziri na naibu mawaziri kuhusu Mwongozo wa Maadili ya Viongozi wa Umma na Utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu yaliyofanyika Ikulu juzi, alikabidhiwa majina ya mawaziri hao.
Akifafanua Majaliwa alisema kila kiongozi anawajibika kutoa tamko la mali na madeni ndani ya siku 30 baada ya kuteuliwa, mwisho wa kutumia wadhifa husika na kila mwisho wa mwaka.
Alisema mawaziri walikabidhiwa fomu hizo walipoteuliwa na viongozi wengine wameendelea kujazafomu hizo na kurudisha kwa Kamishna.
Akizungumza juzi katika mafunzo hayo, Kamishna wa Maadili Jaji mstaafu Salome Kaganda, alisema ofisi yake ilikuwa imepokea fomu za matamko ya mali kutoka kwa baadhi ya mawaziri na baadhi yao walikuwa hawajajaza fomu hizo wala za ahadi ya uadilifu.
Alisema Sheria ya Maadili inamtaka kila kiongozi, kuwajibika kuwasilisha tamko la mali kwa sekretarieti hiyo na jukumu la chombo hicho cha kusimamia maadili ya viongozi, ni kupokea fomu za tamko la kiongozi wa umma za rasilimali, maslahi na madeni.
Jukumu linguine alitaja kuwa ni kupokea, kuchambua na kuchunguza malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu ukiukwaji wa maadili unaodaiwa kufanywa na viongozi wa umma na kuandaa na kutunza daftari la rasilimali, maslahi na madeni ya viongozi hao.
Alisema sekretarieti hiyo ina wajibu wa kuratibu vikao vya Baraza la Maadili kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tuhuma za ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma na kuwasilisha kwa Rais taarifa hizo za uchunguzi.
Kwa mujibu wa jaji Kaganda, Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma namba 13 ya mwaka 1995, inatamka maadili yanayotakiwa kuzingatiwa na kila kiongozi kuwa ni uadilifu, haki na uwajibikaji ambazo ni sifa muhimu za kiongozi bora.
Jaji Kaganda alisema kwa kuzingatia misingi na miongozo hiyo, katika sheria hiyo mawaziri na wakuu wa mikoa wamewekewa kifungu maalumu kinachobainisha maadili wanayopaswa kuyatekeleza.
Akizungumza na waandishi wa habari jana asubuhi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alisema Rais John Magufuli, aliagiza mawaziri hao watekeleze wajibu huo kabla ya saa 12.00 jioni, vinginevyo watakuwa wamejiondoa wenyewe katika nafasi zao.
“Rais ameelekeza mawaziri popote walipo warudi na kutekeleza hilo na ofisi yangu itasimamia kwa karibu kutoa Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu. “Wafanye hivyo na kuzirejesha kabla saa 12 jioni na Waziri ambaye atashindwa kutekeleza agizo hili, atakuwa amejiondoa mwenyewe kwenye nafasi yake,” alisema Waziri Mkuu Majaliwa.
Majaliwa alisema Rais ameelekeza mawaziri hao watajwe ili popote walipo wajue na kurejea kuzijaza fomu hizo.
Kutokana na maelekezo hayo, Majaliwa aliwataja mawaziri hao kuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba, ambao hawajarudisha fomu zote mbili za Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu.
Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dk Augustine Mahiga ambaye alikuwa hajarejesha Hati ya Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa umma na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako, ambaye alikuwa hajarudisha Tamko la Rasilimali na Madeni.
Waziri Mkuu alisema Naibu Waziri wa Nchi (Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira), Luhaga Mpina, yeye alikuwa hajarejesha fomu zote mbili za Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu.
Aliweka msisitizao kuwa kiongozi yeyote wa umma, anatakiwa kujaza fomu ya kutamka mali na madeni kwa viongozi wa umma na kuhaidi uadilifu uliotukuka na sheria hiyo itaendelea kufanyiwa kazi kwa wote wanoendelea kuteuliwa.
Akizungumzia suala la mawaziri waliokuwa safari ambao pengine wangeshindwa kuwasilisha fomu hizo, Majaliwa alisema cha muhimu agizo limetolewa na sababu nyingine zitaangaliwa kama zina msingi.
Alisema kama mawaziri hao wako nje ya nchi, ni lazima Rais anajua kwani ndiye anayetoa kibali na ikiwa wako mikoani ambako hawataweza kufika mpaka jana jioni, Waziri Mkuu anafahamu hivyo wataangalia sababu hizo.
Waziri Mkuu amesema wakati akifungua mafunzo ya mawaziri na naibu mawaziri kuhusu Mwongozo wa Maadili ya Viongozi wa Umma na Utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu yaliyofanyika Ikulu juzi, alikabidhiwa majina ya mawaziri hao.
Akifafanua Majaliwa alisema kila kiongozi anawajibika kutoa tamko la mali na madeni ndani ya siku 30 baada ya kuteuliwa, mwisho wa kutumia wadhifa husika na kila mwisho wa mwaka.
Alisema mawaziri walikabidhiwa fomu hizo walipoteuliwa na viongozi wengine wameendelea kujazafomu hizo na kurudisha kwa Kamishna.
Akizungumza juzi katika mafunzo hayo, Kamishna wa Maadili Jaji mstaafu Salome Kaganda, alisema ofisi yake ilikuwa imepokea fomu za matamko ya mali kutoka kwa baadhi ya mawaziri na baadhi yao walikuwa hawajajaza fomu hizo wala za ahadi ya uadilifu.
Alisema Sheria ya Maadili inamtaka kila kiongozi, kuwajibika kuwasilisha tamko la mali kwa sekretarieti hiyo na jukumu la chombo hicho cha kusimamia maadili ya viongozi, ni kupokea fomu za tamko la kiongozi wa umma za rasilimali, maslahi na madeni.
Jukumu linguine alitaja kuwa ni kupokea, kuchambua na kuchunguza malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu ukiukwaji wa maadili unaodaiwa kufanywa na viongozi wa umma na kuandaa na kutunza daftari la rasilimali, maslahi na madeni ya viongozi hao.
Alisema sekretarieti hiyo ina wajibu wa kuratibu vikao vya Baraza la Maadili kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa kina kuhusu tuhuma za ukiukwaji wa maadili ya viongozi wa umma na kuwasilisha kwa Rais taarifa hizo za uchunguzi.
Kwa mujibu wa jaji Kaganda, Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma namba 13 ya mwaka 1995, inatamka maadili yanayotakiwa kuzingatiwa na kila kiongozi kuwa ni uadilifu, haki na uwajibikaji ambazo ni sifa muhimu za kiongozi bora.
Jaji Kaganda alisema kwa kuzingatia misingi na miongozo hiyo, katika sheria hiyo mawaziri na wakuu wa mikoa wamewekewa kifungu maalumu kinachobainisha maadili wanayopaswa kuyatekeleza.
RAIS MPYA WA FIFA NI GIANNI INFANTINO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka barani Ulaya-Uefa, Gianni Infantino amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Soka duniani-Fifa.
Infantino alishinda awamu ya pilii ya uchaguzi huo uliofanyika Uswisi kwa kura 88 kati ya kura 207 akifuatiwa na Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa wa Bahrain aliyepata 85.
Mwanafalme wa Jordan Ali Bin Hussein alipata kura 27 na mgombea kutoka Ufaransa Jerome Champagne alipata kura saba.
Infantino mwenye umri wa miaka 45 anashika nafasi hiyo kumrithi Sepp Blatter aliyesimamishwa kushiriki shughuli zozote za soka kwa miaka minane adhabu ambayo ilipunguzwa kuwa miaka sita pamoja na Rais wa zamani wa Uefa Michel Platini kwa tuhuma za rushwa.
"Ndugu zangu, siwezi kuelezea hasia zangu kwa wakati huu," Infantino alisema wakati akizungumza baada ya kuchaguliwa. "Tutarejesha hadhi na heshima ya Fifa. Watu watatupongeza, watawapongeza ninyi kwa mabadiliko tutakayofanya.
Gianni Infantino
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka barani Ulaya-Uefa, Gianni Infantino amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Soka duniani-Fifa.
Infantino alishinda awamu ya pilii ya uchaguzi huo uliofanyika Uswisi kwa kura 88 kati ya kura 207 akifuatiwa na Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa wa Bahrain aliyepata 85.
Mwanafalme wa Jordan Ali Bin Hussein alipata kura 27 na mgombea kutoka Ufaransa Jerome Champagne alipata kura saba.
Infantino mwenye umri wa miaka 45 anashika nafasi hiyo kumrithi Sepp Blatter aliyesimamishwa kushiriki shughuli zozote za soka kwa miaka minane adhabu ambayo ilipunguzwa kuwa miaka sita pamoja na Rais wa zamani wa Uefa Michel Platini kwa tuhuma za rushwa.
"Ndugu zangu, siwezi kuelezea hasia zangu kwa wakati huu," Infantino alisema wakati akizungumza baada ya kuchaguliwa. "Tutarejesha hadhi na heshima ya Fifa. Watu watatupongeza, watawapongeza ninyi kwa mabadiliko tutakayofanya.
VIDEO_NAY WA MITEGO-SHIKA ADABU YAKO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Huku
audio ya wimbo Shika Adabu yako wake Nay wamitego, ykizidi kufanya poa
kabisa, hatimaye Nay amekuletea Official Video ya wimbo huwo.
Bofya hapa chini kuutazama