Saturday 27 June 2015
KONDA APIGA VIROBA, AZIMA!
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KONDAKTA mmoja wa daladala ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, juzikati alinaswa mchana akipiga pombe aina ya kiroba kisha kuzidiwa na ulevi hadi kufikia hatua ya kutojitambua.
Konda huyo alinaswa majira ya saa 9 alasiri maeneo ya Stendi ya Buhongwa, wilayani Nyamagana, mkoani Mwanza.
Kwa mujibu wa mmoja wa mashuhuda waliokuwepo eneo hilo,
KONDAKTA mmoja wa daladala ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, juzikati alinaswa mchana akipiga pombe aina ya kiroba kisha kuzidiwa na ulevi hadi kufikia hatua ya kutojitambua.
Konda huyo alinaswa majira ya saa 9 alasiri maeneo ya Stendi ya Buhongwa, wilayani Nyamagana, mkoani Mwanza.
Kwa mujibu wa mmoja wa mashuhuda waliokuwepo eneo hilo,
MSANII AMRITHI KAPTENI JOHN KOMBA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu 2015 utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu, msanii ambaye ni kiongozi wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre linalorusha mchezo wake kupitia Televisheni ya ITV, Daudi Mponji a.k.a Lazi amerithi mikoba ya aliyekuwa mtunzi wa nyimbo za kuhamasisha za Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia Februari 28, mwaka huu.
Akizungumza na gazeti hili, Mponji alisema ametunga nyimbo tano ambazo ni Pambazuko, Sema Usiogope, CCM Imeweza, Tumpambe na Mambo Hadharani, zinazokamilisha albam inayokwenda kwa jina la Pambazuko.
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu 2015 utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu, msanii ambaye ni kiongozi wa Kundi la Sanaa la Jakaya Theatre linalorusha mchezo wake kupitia Televisheni ya ITV, Daudi Mponji a.k.a Lazi amerithi mikoba ya aliyekuwa mtunzi wa nyimbo za kuhamasisha za Chama Cha Mapinduzi (CCM), marehemu Kepteni John Komba aliyefariki dunia Februari 28, mwaka huu.
Akizungumza na gazeti hili, Mponji alisema ametunga nyimbo tano ambazo ni Pambazuko, Sema Usiogope, CCM Imeweza, Tumpambe na Mambo Hadharani, zinazokamilisha albam inayokwenda kwa jina la Pambazuko.
Kwa Mwanangu Nitakayemzaa
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ABIKANILE
anazidi kuandamwa na misukosuko ya kutisha. Alinusurika kifo siku
waliyouawa wazazi wake na siku aliyouawa mpenzi wake Mathius, lakini pia
katika hali ambayo hakuitegemea usiku wa siku hiyo aliyouawa Mathius
aliingia mikononi mwa vijana wanne waliompeleka kwa mganga wa kienyeji
ndani ya msitu wa Nyika.
Jamani Dada Martha… Looo!-16
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
ILIPOISHIA RISASI JUMATANO:
Martha ndiye aliyekuwa mchokozi pale
kitandani. Alimshikashika Roi kwa kuanzia kichwani, akaja kifuani,
akampa kidole chake kwenye kinywa, Roi akakipokea, akamlalia kifuani
huku akianza kuhema kwa staili ya mahaba.
Mara, mlango mkubwa wa kuingilia sebuleni uligongwa…
“Mh! Martha! Si jamaa yako huyo kweli?”
JIACHIE NAYO MWENYEWE…
VIATU VIREFU VYAMUUMBUA KAJALA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
read more about Kajala story here down>>>>
read more about Kajala story here down>>>>
Kajala Masanja ‘Kay.
Masanja ‘Kay’ amezua miguno na mishangao miongoni mwa wapenzi na wadau wa burudani UGONJWA WA BANZA UNAWAUMIZA VICHWA MADAKTARI, HALI MBAYA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
please pray for BANZA STONE
please pray for BANZA STONE
INASIKITISHA sana! Wakati hali
ya afya ya mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhani
Masanja ‘Banza Stone’ ikiwa ni mbaya nyumbani kwao Sinza jijini Dar es
Salaam, madaktari wanapata tabu na kusumbuka kuhusu ugonjwa wa fangasi
ya kichwa unaomsumbua.
Licha ya ugonjwa huo, pia kwa mujibu wa
ndugu wa
Godbless Lema Aahirisha Maandamo Kukutana na Jaji Mutungi
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Read the followings story consines Godbless Lema>>>>>
Read the followings story consines Godbless Lema>>>>>
MBUNGE
wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, amesitisha maandamano ya
kuishinikiza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuongeza muda katika vituo
vya uandikishaji, kufuatia mazungumzo yake na msajili wa vyama vya
siasa nchini, Jaji Francis Mutungi.
FAIZA: MIMI NI WA NUSU UTUPU TANGU UTOTONI
JK, BABU SEYA KUONANA USO KWA USO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Nguza Vicking Babu Seya, (kulia) na Mtoto wake Papii Nguza.
Haruni Sanchawa
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ‘JK’, leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza ya Ukonga jijini Dar, ana ratiba ya kuzungumza na maafande na maafisa wa jeshi la magereza na wafungwa katika Siku ya Magereza Tanzania 2015 ambayo huadhimishwa kila mwaka.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani ya jeshi hilo, pia Rais Kikwete atatumia nafasi hiyo kuliaga jeshi hilo kwa vile Oktoba, mwaka huu, nchi itamchagua rais atakayepokea kijiti chake cha urais kwa awamu ya tano.
Msingi wa habari hii ni wafungwa wanaotumikia kifungo cha maisha jela kwa makosa ya ulawiti na ubakaji, wanamuziki Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwani katika hafla kama hiyo, mwaka jana, walimtumia salamu JK wakimwomba awasamehe kwani walishatambua makosa yao.
Risasi Jumamosi: “Je, rais hawezi kuitumia nafasi hiyo kuwaachia huru wanamuziki, Nguza Vicking na mwanaye, ‘Papii Kocha’ ambao wanatumikia kifungo cha maisha jela?”
Chanzo: “Mh! Sina hakika sana. Maana kama hilo lipo ina maana ni jukumu la rais mwenyewe na mipango yake kwa mujibu wa katiba, rais ana mamlaka ya kumsamehe mfungwa kwa kosa lolote lile.”
KUHUSU WARAKA
Risasi Jumamosi: “Juni mwaka jana wakati wa maadhimisho kama hayo, mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe, Babu Seya na Papii walimuomba Rais Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya ambapo waziri, katika kuwajibu alisema mtu akishatumikia kifungo kwa miaka saba au 10 gerezani ana hakika kama ana moyo na nafasi ya kuacha, atakuwa amebadilika hivyo anaweza kupewa msamaha. Je, rais hawezi kutumia mwanya huo?”
Chanzo: “Sijui. Unajua haya mambo ya msamaha ni ya kiitifaki zaidi. Hawezi kila mtu kujua zaidi ya yeye anayekusudia kusamehe.”
JK, BABU SEYA KUONANA
Kwa mujibu wa chanzo kingine, JK anaweza kuonana na Babu Seya moja kwa moja kwani huenda wafungwa hao watatumbuiza kwenye hafla hiyo kama ilivyokuwa mwaka jana ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Chikawe.
VIONGOZI WA MAGEREZA WANENA
Baada ya kunyetishiwa hayo na chanzo chetu hicho, Risasi Jumamosi lilimtafuta Afisa Habari wa Jeshi la Magereza Makao Makuu Tanzania, ASP Lucas Mbonje na kumuuliza kuhusu JK kufika kwenye Gereza la Ukonga leo na kuaga jeshi hilo na kuonana na wafungwa, akiwemo Babu Seya na mwanaye, Papii Kocha ambapo alisema:
“Mimi nipo safarini, hiyo ziara ya rais naijua, ni kwenye Siku ya Magereza, lakini mpigie mrakibu wa magereza, anaitwa SP Edwin Kisiluka.”
MRAKIBU SASA
Risasi Jumamosi lilimtafuta mrakibu huyo na kuzungumza naye kuhusu uwepo wa Rais Kikwete kwenye sherehe ya Siku ya Magereza ambapo alisema:
“Ni kweli, kwa ratiba yetu, Rais Kikwete ndiye mgeni rasmi. Tutakuwa naye. Mbali na hilo, Magereza Day kuna maafisa wa cheo cha inspekta watapandishwa vyeo na kuwa ma-ASP.”
“Vipi, unajua lolote kuhusu rais kuitumia nafasi hiyo kuwaachia huru Babu Seya na mwanaye?”
Mrakibu: “Hilo silijui mimi. Ila ratiba ya shughuli yetu ni hiyo niliyokupa.”
WAKATI HUOHUO
Hali ya kiafya ya Papii Kocha inadaiwa kwenda halijojo gerezani humo akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kifua.
Kwa mujibu wa chanzo, Papii alianza kuumwa mwanzoni mwa mwaka huu hivyo kudhoofika sana na mpaka sasa anaendelea na matibabu.
“Jamani mimi nilikuwa kule kwa miaka kadhaa. Yaani nilifungwa. Papii Kocha anaumwa kifua. Amedhoofika sana. Lakini bado anaendelea na matibabu,” kilisema chanzo hicho hivi karibuni.
Babu Seya na Papii walihukumiwa kifungo cha maisha mwaka 2004 hivyo mwaka huu wametimiza miaka 11 jela.
MAGAZETI LEO JUMAMOSI JUNE 27 2015
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
THE FOLOWINGS ARE TRHE NEWS PAPER OF TODAY JUNE 27 2015,PLEASE READ>>>>>
THE FOLOWINGS ARE TRHE NEWS PAPER OF TODAY JUNE 27 2015,PLEASE READ>>>>>
news:"HAYA HAPA MAJINA KIDATO CHA 4 WALIOCHAGULIWA JESHI LA POLISI 2015"read here more
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jeshi la polisi linatangaza majina ya
wanafunzi kidato cha nne waliomaliza shule mwaka 2014 na kujaza fomu
za kujiunga na jeshi la polisi walipokuwa shuleni.
SERIKALI YAUONDOA MUSWADA WA HABARI BUNGENI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Waziri wa nchi ofisi ya rais (kazi maalumu) Prof Mark Mwandosya(picha kutoka Maktaba)
Montoya set to leave Barcelona for Inter on two-year loan
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
The two clubs have agreed a €1.5 million [£1m] fee,
with the Serie A outfit holding the option to buy the player outright
for €6m [£4.2m] at the end of the spell
Barcelona defender Martin Montoya is set to join Inter on a two-year loan deal, Goal understands.