Saturday 28 June 2014

BAI LA NBS LAPATA AJALI-KIMARA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar
kwenda Mwanza eneo la Kimara.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI-MASWAYETU BLOG

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
01_293fb.jpg
Share:

ADA VYUO VYA UALIMU JUU,YAPANDA ZAIDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

\Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo.
Share:

BARCELONA YAMWINDA SUAREZ


Licha ya kukabiliwa na marufuku ya FIFA ya miezi minne kwa kumng'ata mlinzi wa Italia Giorgio Chiellini Barcelona ya Uhispania haijakata tamaa ya kumsajili mshambulizi machachari wa wa Uruguay Luiz Suarez.
Share:

MBASHA NA FLORA-"MUNGU YUMWEMA SIKU ZOTE" BIFU LIMEISHA WASAMEHANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: WAANDISHI WETU
HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi Jumamosi linakuwa nambari wani kukuhabarisha.
Share:

JAMAA AUAWA KWA TUHUMA ZA WIZI WA TV NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28-30 ambaye hajafahamika jina lake wala makazi ameuawa na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira kwa tuhuma za wizi katika mtaa wa Muhongolo wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Share:

DIAMOND PLATNUMZZ KATIKA BET AWARDS NYINGINE TENA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
UMEKUCHA! Unaweza kusema kwa maana nyingine wakati wasanii kutoka Afrika watakapokuwa pamoja kwenye Ukumbi wa Nokia Theatre uliopo Los Angeles, Marekani katika sherehe za utoaji tuzo za BET 2014 kesho Juni 29.
Macho na masikio yote yameelekezwa kwa mtu mmoja kutoka Tanzania ambaye ni Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
Share:

JAMANI NANOMBA TUMSAIDIE KIJANA HUYU-YEYOTE MWENYE UWEZO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


“Eeh Mungu sikia kilio changu unisaidie!” Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Share:

JOINT MASS-SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-MAZIMBU KWA AJILI YA MITIHANI YA UE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        

Wanfunzi wa chuo kikuu cha sokoine kilichopo mjini morogoro jana wame fanya misa ya pamoja kwa ajili ya mitihani inaoenda kuanza hapo jumatatu.
Share:

Friday 27 June 2014

WANAFUNZI UDOM WADAI PESA ZAO ZA FIELD,WATISHIA KUANDAMANA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                      
Kwa taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba ‘wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) wanajiandaa kuandamana kushinikiza kupewa hela zao za mafunzo kwa vitendo’ mtoa taarifa amesema chuo ilishapokea pesa hizo tangu wiki mbili zilizopita lakini mpaka sasa bado wanafunzi hawapewa KUSAINI pesa hizo. Na ukisoma
Share:

TUHUMA ZA WIZI :MTU NA MKE WAKE WAVULISHWA NGUO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

"WANAMITINDO WA TANZANIA" WATAZAME HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MAMA AMUUNGUZA MTOTO WAKE WAKUMZAA MDOMO JIJINI DAR ES SALAAM

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu.
Paulina, akiwa na majeraha ya moto midomoni.
Share:

MARCIO MAXIMO:KOCHA WA YANGA AWA HABARI YA MJINI,KILA KONA MAXIMO SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kocha Marcio Maximo.
WAKATI Gazeti la Championi linaanza kuripoti juu ya ujio wa Kocha Marcio Maximo mnamo Mei 24, ambapo pia ndiyo lilikuwa gazeti la kwanza kabisa kuripoti juu ya Mbrazili huyo kuja nchini kuinoa Yanga, ilionekana kama ni ndoto, hatimaye neno limetimia.
Share:

MAHABUSU GEITA WAVUA NGUO KUGOMEA HALA MBAYA GEREZANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mahabusu Mkoani Geita leo wameamua kuvua nguo,wakidai haki zao,uamuzi huo uliibua tafrani mpaka jeshi la Polisi kuingilia kati.
Share:

WEREMA AFUNGUKA:ADAI NINA WATOTO ALAFU NATUKANWA?,KASHFA YAINGIA SURA MPYA SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                         
TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
Share:

NECTA YATANGAZA,ALAMA ZA MITIHANI YA MOCK SASA KUTUMIKA KAMA CONTINUOS ASSESMENT

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MATOKEO ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na asilimia 70 ni mchango wa Alama za Mtihani wa Taifa.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger