Licha ya
kukabiliwa na marufuku ya FIFA ya miezi minne kwa kumng'ata mlinzi wa
Italia Giorgio Chiellini Barcelona ya Uhispania haijakata tamaa ya
kumsajili mshambulizi machachari wa wa Uruguay Luiz Suarez.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Stori: WAANDISHI WETU HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa!
Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na
mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana,
Risasi Jumamosi linakuwa nambari wani kukuhabarisha.
Kijana
mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 28-30 ambaye hajafahamika
jina lake wala makazi ameuawa na wananchi wanaodaiwa kuwa na hasira kwa
tuhuma za wizi katika mtaa wa Muhongolo wilayani Kahama mkoani
Shinyanga.
UMEKUCHA! Unaweza kusema kwa maana nyingine wakati
wasanii kutoka Afrika watakapokuwa pamoja kwenye Ukumbi wa Nokia Theatre
uliopo Los Angeles, Marekani katika sherehe za utoaji tuzo za BET 2014
kesho Juni 29. Macho na masikio yote yameelekezwa kwa mtu mmoja kutoka Tanzania ambaye ni Nasibu Abdul ‘Diamond Plutnumz’.
“Eeh
Mungu sikia kilio changu unisaidie!” Ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto
Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka
kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kwa taarifa tulizozipata hivi punde
ni kwamba ‘wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) wanajiandaa
kuandamana kushinikiza kupewa hela zao za mafunzo kwa vitendo’ mtoa
taarifa amesema chuo ilishapokea pesa hizo tangu wiki mbili zilizopita
lakini mpaka sasa bado wanafunzi hawapewa KUSAINI pesa hizo. Na ukisoma
Mwanamke
mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu,
amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuunguza midomo
mwanaye, huko Yombo Buza, jijini Dar, Juni 24 mwaka huu.
WAKATIGazeti laChampionilinaanza
kuripoti juu ya ujio wa Kocha Marcio Maximo mnamo Mei 24, ambapo pia
ndiyo lilikuwa gazeti la kwanza kabisa kuripoti juu ya Mbrazili huyo
kuja nchini kuinoa Yanga, ilionekana kama ni ndoto, hatimaye neno
limetimia.
TAFRANI iliyojitokeza bungeni juzi kwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick Werema kumuita Mbunge wa Kigoma
Kusini, David Kafulila(NCCR Mageuzi) tumbili, naye kumjibu kwa kumuita
mwizi imeingia katika hatua nyingine ambapo wawili hao wamekataa
kusuluhishwa. Jana asubuhi baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai,
kuahirisha shughuli za Bunge, Mwenyekiti wa Bunge, Mbunge wa Ilala,
Mussa Azzan ‘Zungu’, aliwakuta Werema na Kafulila wakiendeleza mzozo nje
ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.
MATOKEO ya Mtihani wa Majaribio (Mock)
kwa mtihani wa Kidato cha Nne mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani,
yatachangia alama 10 za Alama Edelevu (CA). Kwa utaratibu huu, matokeo
ya mwisho ya mtahiniwa, yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na
asilimia 70 ni mchango wa Alama za Mtihani wa Taifa.