Wednesday 25 June 2014

INJINIA SUA WAFANYA SHEREHE:KUMPONGEZA BEDON(UNPERISHABLE) KUWA WAZIRI MKUU,JERIMIAH KUWA MBUNGE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

                                                  
JUMUIYA YA WANA SUA WANAFUNZI WASOMAO INJINIA LEO HII WAMEFANYA SHEREHE AMBAYO ITAKUMBUKWA NA WATU WENGI BAADA YA MTAJWA HAPO JUU MH.BEDON KUTEULIWA NA MH.RAS KUWA WAZIRI MKUU WA CHUO HICHO.
Share:

Tuesday 24 June 2014

TOA MAONI YAKO:Unalizungumziaje suala la nguo fupi kwenye filamu?


Unalizungumziaje suala la nguo fupi kwenye filamu?
Moja ya mambo yanayojadiliwa sana na vyombo vya habari kwa sasa, ni suala la kina dada wa bongo movies kupenda kuvaa nguo fupi sana wanapokuwa wanaigiza filamu zetu hizi. Ikizingatiwa ni karibuni tu, suala hili lilijadiliwa mpaka bungeni na pia siku chache zilizopita
Share:

DOWNLOAD NA SIKILIZA WIMBO MPY 2FACE IDIBA &BRIDGET KELLY-I LOVE YOU


Share:

MOE:TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO 2014

                                   

 TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO

KIDATO CHA TANO KWA TAHASUSI ZA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI, ENGLISH NA UALIMU KWA MUDA WA MIAKA 3

UTANGULIZI
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inakaribisha maombi ya kujiunga na Masomo ya Kidato cha Tano kwa tahasusi za masomo ya Sayansi, Hisabati English, na Ualimu kwa muda miaka 3 kwa wahitimu wa Kidato cha IV wenye ufaulu wa Daraja la I hadi III kati ya mwaka 2004 na 2013. Katika masomo haya mwanafunzi atasoma masomo ya Sekondari ya Kidato cha V na VI na kufanya mtihani wa taifa wa Kidato cha VI na kuendelea na Mafunzo ya Ualimu kwa mwaka mwingine mmoja ambapo atatunukiwa Stashahada ya Ualimu. Awali, mfumo huu ulikuwa unajulikana kama half combination.
Share:

MAJAMBAZI YAUA SISTA DAR-ANGALIA PICHA ZOTE HAPA


Share:

KANGA MOJA:HUYU HAPA YULE MAMA ALIEPIGWA RISASI WAKATI WAKISHIRIKI NGOMA HIZO

MAMA mzazi wa binti aliyesababisha wasichana wawili kujeruhiwa kwa kupigwa risasi na polisi baada ya kushiriki ngoma maarufu ya Kanga Moko iliyopigwa marufuku, huko Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es Salaam, amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na sherehe yoyote nyumbani kwake siku hiyo ya tukio.
Grace Loy (20), mkazi wa Mwananyamala Mchangani, aliyepigwa risasi katika paja la kulia wakati wa vurugu iliyotokea.
Mama huyo, Rehema Aziz alisema waliojeruhiwa walikuwa wakisherehekea kuolewa kwa mwanaye aitwaye Aziza Aziz, ambao walikuwa ni marafiki zake na walifanya hivyo kwa mujibu wa mila za watu wa Pwani, za kucheza na kufurahi wakizunguka mitaani, lakini bila kufanya fujo yoyote.
Share:

MAMA AMUUA MTOTO WAKE -DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WAKATI wanaharakati wanaendelea kupiga kelele kuhusu kushamiri kwa
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE


1_4ee28.jpg
Share:

KIWANDA CHA MAFUTA IRAQ CHATEKWA

Wapiganaji wa kisunni wamekuwa wakiteka miji nchini Iraq na kuwaacha maelfu bila makao
Share:

Monday 23 June 2014

ORODHA YA MAJINA AJIRA KWA WALIMU WAPYA NA VITUO WALIVYOPANGIWA 2014 AWAMU YA PILI


                                                             


BONYEZA HAPA KUANGALIA TANGAZO LA AJIRA HIZI,NA LINI UNATAKIWA KURIPOTI KAZINI  Tangazo la Ajira 
Share:

ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2014 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC) ,DIT,WDMI, NA MIST

Share:

MTOTO MWENYE UMRI WA MWAKA MOJA ATELEKEZWA NA MAMA YAKE

VITUKO uswahilini! Mtoto wa mwenye umri umri wa mwaka mmoja ambaye jina halikufahamika ameokolewa na Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers baada ya kudaiwa kutelekezwa kwa siku nzima na mama yake mzazi, Mama Sofia.
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja aliyetelekezwa na mama yake
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU

1_0e1ef.jpg
Share:

MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWATEMBELEA WANANCHI WAKE,SOMA HAPA



Mbunge wa  jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa akitumia usafiri wa Baiskeli kuwafikia
Share:

"KONDOMU" ZANASWA UKUMBI WA BUNGE,SPIKA ASHITUSHWA

Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi. 
Katika hali isiyo ya kawaida,
boksi la kondomu lilikutwa ndani ya ukumbi huo na kuwashtua wabunge wote akiwamo spika wa bunge hilo.
Mwakilishi wa eneo la Karura, Kamau Thuo ndiye aliyekuwa wa kwanza kuliona boksi hilo na kuwashtua wabunge wengine hali iliyoibua mjadala mzito.
Kutokana na sintofahamu hiyo Spika Alex Ole Magelo aliwataka wahudumu kufungua boksi hilo kujua kilichomo ndani yake ndipo walipokuta kondomu.
Share:

MMUME WA FLORA MBASHA:MWAKA WA MAJANGA KWANGU NIMETAPELIWA HATI YA NYUMBA NA VIWANJA


MAJANGA! Siku chache baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, mwimbaji wa Injili na mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha amedaiwa kuibiwa hati za nyumba na viwanja.
Mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha.
Share:

" RAISI WA CHUO CHA BUGANDO" APATIKANA AKIWA HOI NA HAJITAMBUI


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger