JUMUIYA YA WANA SUA WANAFUNZI WASOMAO INJINIA LEO HII WAMEFANYA SHEREHE AMBAYO ITAKUMBUKWA NA WATU WENGI BAADA YA MTAJWA HAPO JUU MH.BEDON KUTEULIWA NA MH.RAS KUWA WAZIRI MKUU WA CHUO HICHO.
Wednesday 25 June 2014
INJINIA SUA WAFANYA SHEREHE:KUMPONGEZA BEDON(UNPERISHABLE) KUWA WAZIRI MKUU,JERIMIAH KUWA MBUNGE
JUMUIYA YA WANA SUA WANAFUNZI WASOMAO INJINIA LEO HII WAMEFANYA SHEREHE AMBAYO ITAKUMBUKWA NA WATU WENGI BAADA YA MTAJWA HAPO JUU MH.BEDON KUTEULIWA NA MH.RAS KUWA WAZIRI MKUU WA CHUO HICHO.
Tuesday 24 June 2014
TOA MAONI YAKO:Unalizungumziaje suala la nguo fupi kwenye filamu?
MOE:TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO 2014
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO
KIDATO CHA TANO KWA TAHASUSI ZA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI, ENGLISH NA UALIMU KWA MUDA WA MIAKA 3
UTANGULIZI
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inakaribisha maombi ya kujiunga na Masomo ya Kidato cha Tano kwa tahasusi za masomo ya Sayansi, Hisabati English, na Ualimu kwa muda miaka 3 kwa wahitimu wa Kidato cha IV wenye ufaulu wa Daraja la I hadi III kati ya mwaka 2004 na 2013. Katika masomo haya mwanafunzi atasoma masomo ya Sekondari ya Kidato cha V na VI na kufanya mtihani wa taifa wa Kidato cha VI na kuendelea na Mafunzo ya Ualimu kwa mwaka mwingine mmoja ambapo atatunukiwa Stashahada ya Ualimu. Awali, mfumo huu ulikuwa unajulikana kama half combination.
KANGA MOJA:HUYU HAPA YULE MAMA ALIEPIGWA RISASI WAKATI WAKISHIRIKI NGOMA HIZO
MAMA mzazi wa binti aliyesababisha wasichana wawili kujeruhiwa kwa
kupigwa risasi na polisi baada ya kushiriki ngoma maarufu ya Kanga Moko
iliyopigwa marufuku, huko Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es Salaam,
amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na sherehe yoyote nyumbani kwake siku
hiyo ya tukio.
Grace Loy (20), mkazi wa Mwananyamala Mchangani, aliyepigwa risasi katika paja la kulia wakati wa vurugu iliyotokea.
Mama huyo, Rehema Aziz alisema waliojeruhiwa walikuwa wakisherehekea
kuolewa kwa mwanaye aitwaye Aziza Aziz, ambao walikuwa ni marafiki zake
na walifanya hivyo kwa mujibu wa mila za watu wa Pwani, za kucheza na
kufurahi wakizunguka mitaani, lakini bila kufanya fujo yoyote.KIWANDA CHA MAFUTA IRAQ CHATEKWA
Wapiganaji wa kisunni wamekuwa wakiteka miji nchini Iraq na kuwaacha maelfu bila makao
Monday 23 June 2014
ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2014 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC) ,DIT,WDMI, NA MIST
MTOTO MWENYE UMRI WA MWAKA MOJA ATELEKEZWA NA MAMA YAKE
VITUKO uswahilini! Mtoto wa mwenye umri
umri wa mwaka mmoja ambaye jina halikufahamika ameokolewa na Oparesheni
Fichua Maovu ya Global Publishers baada ya kudaiwa kutelekezwa kwa siku
nzima na mama yake mzazi, Mama Sofia.
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja aliyetelekezwa na mama yake
MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWATEMBELEA WANANCHI WAKE,SOMA HAPA
Mbunge wa jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa akitumia usafiri wa Baiskeli kuwafikia
"KONDOMU" ZANASWA UKUMBI WA BUNGE,SPIKA ASHITUSHWA
Inaweza
kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye
Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi.
Katika hali isiyo ya kawaida,
boksi la kondomu lilikutwa ndani ya ukumbi huo na kuwashtua wabunge wote akiwamo spika wa bunge hilo.
Mwakilishi
wa eneo la Karura, Kamau Thuo ndiye aliyekuwa wa kwanza kuliona boksi
hilo na kuwashtua wabunge wengine hali iliyoibua mjadala mzito.
Kutokana
na sintofahamu hiyo Spika Alex Ole Magelo aliwataka wahudumu kufungua
boksi hilo kujua kilichomo ndani yake ndipo walipokuta kondomu.
MMUME WA FLORA MBASHA:MWAKA WA MAJANGA KWANGU NIMETAPELIWA HATI YA NYUMBA NA VIWANJA
MAJANGA! Siku
chache baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kesi ya kudaiwa kumbaka
shemejiye, mwimbaji wa Injili na mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha
amedaiwa kuibiwa hati za nyumba na viwanja.
Mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha.