Friday 21 February 2014

ANGALIA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2013

Share:

Saturday 15 February 2014

MAKAMBA, WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI CCM

MAKAMBA, WASSIRA NAO WAHOJIWA NA KAMATI NDOGO YA MAADILI CCM


 Naibu Waziri wa Mawasiliano  Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa White House mjini Dodoma mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili CCM jana.
January Makamba akiondoka kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi mara baada ya kuhojiwa na Kamati ya Maadili.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wassira akitoka nje ya ukumbi wa White House baada ya kumaliza mahojiano na Kamati Ndogo ya Maadili CCM mjini Dodoma jana.
Stephen Wassira akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi. Wassira aliwaeleza waandishi kuwa hakukuwa na tuhuma juu yake.
Wassira akifurahia jambo na Kada maarufu wa CCM, Adam Soud mara baada ya kumaliza mazungumzo na waandishi wa habari mjini Dodoma.
(PICHA NA DODOMA YETU BLOG)
Share:

MASTAA WAMBWATUKIA DUDE

Stori: The blogger boy

WASANII wa kike wanaotamba kwenye filamu za Kibongo, hivi karibuni wamembwatukia staa mwenzao, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na kuipinga kauli yake kwamba mastaa wengi wa kike wametokea kwenye uchangudoa na kuvamia tasnia hiyo, shuka na mistari uipate habari hii.
Kulwa Kikumba ‘Dude’.
Wakizungumza na Risasi Jumamosi, mastaa hao wamemtaka Dude kuacha tabia ya kuropoka kwani kauli yake imewavunjia heshima mbele ya jamii.
Baadhi ya mastaa waliotoa kauli za kumbwatukia Dude na kauli zao ziko hapa chini ni hawa wafuatao:

Tamrina Poshi ' Amanda".
TAMRINA POSHI ‘AMANDA’
“ Ni heri Dude aache kuzungumza vitu visivyokuwa na maana, ajifunze  mambo mazuri kwani ni mtu mzima sasa. Kila mara anatuponda wasanii wa kike, kila mtu ana maisha yake kama wapo wanaofanya uchangudoa hao ni hulka zao, sina tabia hiyo na sanaa nimeianzia kwenye vikundi .”
Upendo Mushi 'Pendo'.
UPENDO MUSHI ‘PENDO’
“Kauli ya Dude siyo ya kweli kama wapo ni  baadhi na siyo wote, sijaingia kwenye sanaa kwa rushwa ya ngono na sina tabia hizo, sijaipenda kauli yake.”
BABY MADAHA
“Siyo kweli kwamba sisi ni machangudoa . Wasanii wa kike wenye tabia hizo wanatoka katika maisha duni na wale wanaolipwa malipo duni kwenye filamu lakini wengine tumetokea kwenye familia   za hadhi na tunaishi kwa kufuata maadili.”
HALIMA YAHAYA ‘DAVINA’
“Sijaipenda kauli ya Dude, ametukosea sana ingawa watu wengi wanaona tasnia hii ni kama  ya kihuni lakini siyo wote wenye tabia hizo za kihuni, wengine tunajiheshimu na tuna familia zetu tunaithamini sanaa  tunaichukulia kama kazi.”
SNURA MUSHI
“Dude ameongea uongo, binafsi siko hivyo na sina maisha ya kuzurura, starehe na pombe na sitarajii kuwa na maisha hayo, ili heshima yake iendelee, angetuomba radhi na kuifuta kauli yake.”
MIRIAMU JOLWA ‘JINI KABULA’
“Huo ni mtazamo wa Dude, wasanii wa kike tunatakiwa kumuombea kwa Mungu ili ampe akili za kuweza kuzungumza vitu vya maana na siyo hivyo vya kutushushia heshima kwenye jamii.”
Share:

ROSE NDAUKA: NUSURA WATOTO WANIVUE NGUO



Stori: The blogger boy mahiri Bongo, Rose Ndauka amefunguka kuwa amenusurika kuvuliwa nguo na watoto ambao walipandwa na midadi baada ya kumuona ‘live’.
Rose Ndauka.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika sherehe ya arobaini ya mwanaye iliyofanyika nyumbani kwao, Tandale-Tanesco, jijini Dar ambapo watoto hao walimvizia Rose alipotoka nje, walimvaa na kuanza kumng’ang’ania nguo.
“Hawakutegemea kuniona pale, wengi wamezoea kuniona kwenye TV. Daah nilipata wakati mgumu kidogo maana ilibaki kidogo wanivue nguo, lakini nashukuru Mungu niliwatuliza, wakanielewa nikarudi zangu ndani,” alisema Rose.

Share:

RAY,CHUCHU HANS NI PIGO

Stori: The blogger boy
Ni pigo kubwa! Ile ndoa inayodaiwa kukaribia kufungwa kati ya nyota wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Miss Tanga 2006 aliye pia msanii wa filamu Bongo, Chuchu Hans imepingwa isifungwe mpaka mambo f’lani yakae  sawa.
Ray na Chuchu wakijiachia.
Kwa mujibu wa mtonyaji wetu, Ray na Chuchu wako mbioni kufunga ndoa wakati wowote kuanzi Mei, mwaka huu, lakini mjadala mzito uliopo mbele yao kwa sasa ni uhalali wake.
“Unajua wanachofahamu wao (Ray na Chuchu) wanaweza kufunga ndoa kwa ulaini kabisa, lakini ukweli ni kwamba kuna ugumu mkubwa.

UGUMU ULIPO
“Kanisa analosali Ray, viongozi wanasema wao si wa dunia hii mpaka wakubali kufunga ndoa ambayo mmoja wa wahusika ana ndoa yake,” kilisema chanzo hicho.
Kikaendelea: “Kwa hiyo kama wako tayari kufunga ndoa hiyo lazima Chuchu akubali kubadili dini yeye ndipo ataruhusiwa kungia kanisani kufungishwa ndoa.”
Mtume na Nabii Onesmo Ndegi.
KANISA LA RAY
Juzi Alhamisi, Risasi Jumamosi lilifunga safari hadi kwenye Kanisa la Living Water-Makuti Kawe, Dar ambako mpaka mwaka uliopita magazeti pendwa yaliandika Ray anaabudu huko.
Lengo la Risasi Jumamosi lilikuwa kuonana na Mtume na Nabii Onesmo Ndegi lakini hakuwepo ofisini, ila msaidizi wake mmoja alipopatikana alikiri kumfahamu Ray.
Msaidizi:  Ray alishasali hapa, lakini sijamwona siku nyingi, sijui ana matatizo gani?
Risasi Jumamosi: “Oke, tukiacha hilo la kutofika kwa siku nyingi. Lililopo sasa hivi ni kwamba anataka kufunga ndoa na dada mmoja anaitwa Chuchu Hans ambaye ana ndoa tayari, hajaachika na mumewe yu hai. Unasemaje kuhusu hilo?
Msaidizi: “Sisi hatuamini katika kuachana. Kama alishafunga ndoa na mume yupo hai, hao wametengana tu, lakini ndoa yao ipo.
“Huyo mwanamke alishajifunga, kifungo chake kitatenguliwa pale tu mumewe atakapoondoka duniani (kifo).
KANISA LA MTAKATIFU MAXIMILIAN KOLBE
Baada ya kuondoka kanisani hapo, mapaparazi wetu walikwenda Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Maximilian Kolbe, Mwenge, Dar es Salaam.
Risasi Jumamosi liliambiwa Baba Paroko hakuwepo kwa wakati huo, lakini muumini mmoja aliyesema yeye ni mwalimu alipoulizwa kuhusu nafasi ya Ray kufunga ndoa na Chuchu Hans alisema:
“Maandiko yako wazi. Sasa kama huyo mwanamke ana mume wake tena mmesema yupo nje ya nchi, siku akija si atamshika ugoni kwa mke wake?
“Huwezi kufunga ndoa kama bado una ndoa. Mungu hajaagiza hivyo. Ndiyo maana sisi (Wakristo) huwa tunatoa siku ishirini na moja za kutangaza ndoa ili kama kuna mwenye pingamizi ajitokeze na kulianika.
“Watu waongo siku hizi. Wapo wachumba wanakuja kuandikisha ndoa kumbe mmoja bado yupo kwenye ndoa halali.”
 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum.
IMANI YA KIISLAM INASEMAJE?
Mapaparazi wetu hawakuchoka, walimtafuta Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Musa Salum ambaye kuhusu Ray na Chuchu kufunga ndoa alifunguka hivi:
“Kama Chuchu ni Muislam, itabidi Ray abadili dini awe Muislam, si vinginevyo.”
Risasi Jumamosi: Chuchu alifunga ndoa Bomani na mume Mkristo, ila yeye Muislam. Inakuwaje hapo?
Sheke Mkuu: “Itakubalika kama Ray atabadili dini tu, maana hiyo ndiyo ya Bomani, Kiislam siyo.”
Blandina Chagula ‘Johari’.
JOHARI, MAINDA WAPATANA
‘Johari’ ambaye ni Blandina Chagula na ‘Mainda’ mwenye uhalisia wa jina la Ruth Suka (zamani Mwanaid), wawili hao sasa ni mashosti wakubwa baada ya kuwa na bifu la miaka 8 kisa kikitajwa  kuwa ni ‘kaka mkubwa’ huyo (Ray) kuwachanganya kimapenzi.
Kwa mujibu wa chanzo, mastaa hao wanaotamba kwenye filamu za Bongo kwa miaka mingi wameamua kumaliza tofauti zao huku wengi wakitafsiri kuwa, wanashikamana kwa sababu ya  kuumaliza uhusiano wa Chuchu na Ray. Haikufafanuliwa.
Mainda.

MADAI MENGINE
Pia ilidaiwa kuwa, Mainda aliamua kumaliza bifu na Johari kwa sababu mchungaji wake alimtaka  kufanya hivyo.
“Niliwakuta kambini wakishuti filamu, Mainda akaniambia aliitwa kushiriki filamu hiyo kama mpambaji, Johari yeye amecheza baadhi ya  vipande ndipo Mainda akamtaka mwenzake wamalize tofauti zao,” kisema chanzo chetu.
Hivi karibuni, Risasi Jumamosi liliinasa picha iliyotundikwa mtandaoni na Mainda akimwonesha yeye, Johari na Mtangazaji wa StarTV, Sauda Mwilima.
Mainda aliisindikiza picha hiyo na maneno  yaliyosema: “Nimejifunza kitu katika maisha, kusamehe.”
KAKA MKUBWA RAY
Juzi, Risasi Jumamosi lilimpigia simu ya mkononi Ray lakini hakupokea. Akatumiwa meseji, hakujibu!
CHUCHU HANS
Baada ya kusomewa mashitaka yote, alijibu kwa ufupi: “Sina cha kuongea.”
JOHARI
Johari naye hakupokea simu yake ya mkononi licha ya kuita kwa muda mrefu na kukatika kisha kupigwa tena. Akatumiwa meseji, hakujibu!
MAINDA
Na yeye simu yake iliita sana bila kupokelewa, akatumiwa meseji, hakujibu!
Share:

NAY WA MITEGO ANASWA KIMAHABA

PICHA za mkali wa Hip Hop Bongo anayesumbua na wimbo wa Nakula Ujana, Emanuel Eribarik ‘Nay wa Mitego’ akiwa na Mbongo Muvi, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ katika pozi za kimahaba zimenaswa.

Nay wa Mitego akiwa na Mbongo Muvi.
Baada ya picha hizo kutua mikononi mwa paparazi wetu, alimtafuta Nay wa Mitego ambaye inafahamika na wengi kuwa mpenzi wake ni binti aitwaye Siwema, alipopatikana aliumauma maneno lakini kwa upande wake Bozi, bila hiyana alifunguka:

Emanuel Eribarik ‘Nay wa Mitego’ akiwa na Mbongo Muvi, Fatuma Ayubu ‘Bozi’.
“Siwezi kubisha hata kidogo nampenda sana huyu mwanaume (Nay) hata aende wapi atarudi hapa, huyo Siwema hawezi kunikondesha, siwezi kumwacha huwa nalala kwake napika na kupakua,” alisema Bozi.
Share:

Friday 14 February 2014

CHEAP DOMAIN REGISTRATION HOSTING

The Ultimate Web Business Solution - Name Secure

Domain Name Registration

Domain name registration with NameSecure gives you good value at a great price. You can register a 1-year domain for only $14.95*, or even less with longer terms.
With each domain name you register at NameSecure, you receive unlimited Web forwarding, lock-protect security and many more services completely free. If you transfer an existing domain name to NameSecure, you get these services plus one free year on your domain registration.

Bulk Domain Names

If you are a bulk domain name buyer, you can save time and money with our Domains@Discount program. Membership in this program makes it cheaper to register domain names and easier to manage multiple domains at the same time.
NameSecure allows you to get more for your dollar by offering great prices on domains, as well as services such as e-mail, private WHOIS registration, Web hosting, domain transfers, and more.

Web Hosting

NameSecure also offers a variety of Web hosting packages. Now it's easier than ever to register a domain name and host your own personal or small business Web site.

If you haven't given us a try, now's the time! See how our cheap domain name and web hosting services have made thousands of our customers happy since 1995.
Share:

Donate Car in Sacramento

Car Donation in Sacramento for a Tax Deduction

A car donation in Sacramento to a charity is tax deductible. The amount of your car donation tax deduction is the full sale amount of your car. We work hard to get you the highest tax deduction value possible. We will send you a donation receipt that you can provide your accountant for this year's taxes. Not only can you get a write off with car donations in Sacramento, but you will also be giving a sizeable donation to charity! It's a win-win situation.
      

Donate Car in Sacramento & Raise Money for Charity Today!

Donating cars in Sacramento is a great way to raise money for your favorite charity. Many people end up contributing more to charity through their car donations than they would otherwise be able to by giving cash. Cars 4 Causes®, "The Charity That Gives to Charities®," is America's first vehicle donation charity. We are America's most trusted and recognized choice for turning your vehicle donation into cash for charity. Since 1997, we have received over 200,000 vehicle donations; raised more than $120 million; and shared proceeds with more than 16,500 charities, schools and/or religious organizations throughout the United States.
Help raise money for charity by donating your car in Sacramento today.

Sacramento is the county seat of Sacramento County and the state capital of California. This large city, which is known for providing a high quality of life for its residents and being one of the most culturally diverse cities in America, boasts a motto of ''At Your Service''. You can provide a service to your community by donating your car now.
Share:

DID YOU KNOW:STRUCTURED ANNUITY SETTLEMENT

A structured settlement is a type of annuity that pays out an award from personal injury cases, lottery winnings, workers' compensation claim or any form of legal settlement in a lump sum with certain tax advantages. Structured settlement owners receive periodic tax-free payments over time in accordance with the terms, but can also cash out lump-sum buyouts.

PEOPLE CHOOSE IT BECAUSE;

Personal Injury

A plaintiff wins a large jury award or settles a claim for a large sum, and the amount is structured into monthly or annual payments over time. Those payments help recipient pay for medical expenses or other costs.

Wrongful Death

A common way to compensate the family of someone whose death was the subject of a wrongful death claim.

Workers' Compensation


Structured settlements are used to pay workers who get injured on the job while they recover from their injuries.
Share:

Asbestos Exposure and Cancer Risk

  1. Asbestos is the name given to a group of minerals that occur naturally in the environment as bundles of fibers.
  2. Exposure to asbestos may increase the risk of asbestosis, other nonmalignant lung and pleural disorders, lung cancer, mesothelioma, and other cancers.
  3. Smokers who are also exposed to asbestos have a greatly increased risk of lung cancer.
  4. Individuals who have been exposed (or suspect they have been exposed) to asbestos on the job, through the environment, or at home through a family contact should inform their physician and report any symptoms.
  5. Government agencies can provide additional information on asbestos exposure.
  1. Asbestos is the name given to a group of minerals that occur naturally in the environment as bundles of fibers that can be separated into thin, durable threads. These fibers are resistant to heat, fire, and chemicals and do not conduct electricity. For these reasons, asbestos has been used widely in many industries.
    Chemically, asbestos minerals are silicate compounds, meaning they contain atoms of silicon and oxygen in their molecular structure.
    Asbestos minerals are divided into two major groups: Serpentine asbestos and amphibole asbestos. Serpentine asbestos includes the mineral chrysotile, which has long, curly fibers that can be woven. Chrysotile asbestos is the form that has been used most widely in commercial applications. Amphibole asbestos includes the minerals actinolite, tremolite, anthophyllite, crocidolite, and amosite. Amphibole asbestos has straight, needle-like fibers that are more brittle than those of serpentine asbestos and are more limited in their ability to be fabricated (
Share:

FACTS ABOUT: DONATE CAR TO CHARITY CALIFORNIA

These below are the facts consine with this company of donating car charity at california;

Free Local Towing: We will pick up your car donation, running or not, when it's most convenient, at home or work.
Fast Pickup: Same Day to 24 Hours.
All Cars Accepted: We take your car regardless of its condition or registration status.
Max Income Tax Deduction: We issue you an IRS tax receipt & offer the largest resale network to get you the highest tax write-off possible.
No Paperwork Hassles: We take any car and handle everything: DMV, Smog and    IRS paperwork.
Car donations help fund programs: And benefit National Veterans Services Fund. An IRS 501(c)3 nonprofit organization.

Free Vacation Voucher: 3 day stay. Choose from 38 resorts. Just call or submit the online donation form.                   
Share:

INSURANCE: GET YOUR OWN CAR AT CHEAP PRICE

Boise Used Cars from Dennis Dillon Auto Park | Pre-Owned Nissan, GMC, Mazda, Kia, FIAT and Suzuki Cars in Boise


Dennis Dillon Auto Park serving Meridian, Caldwell, & Nampa has a complete selection of Boise used cars to choose from. A member of our Boise used car staff is ready to take you for a test drive in your favorite pre-owned car, truck, SUV or van. If you are looking for a used Nissan, FIAT, GMC, Suzuki, Kia, or Mazda car in Boise, Dennis Dillon Auto Park is the place to shop if you value low prices and high quality pre owned cars and trucks, we can provide cheap used cars to Boise. We can be reached by phone, or visit our dealership at 2777 S. Orchard Street.  Check out our Boise used car specials!
Share:

news : MESOTHELIOMA LAW FIRM

Exposure to asbestos fibers has been linked to asbestos cancer, asbestosis (scarring of the lungs that restricts breathing), asbestos mesothelioma (cancer of the lining of the chest cavity), and silicosi. The chances of getting an asbestos-related illness increase as the level and duration of exposure to asbestos increases.



If you suspect that you might have an asbestos mesothelioma case, it's best to first ensure you follow these steps in preparation for meeting with an asbestos mesothelioma attorney:

1. Get a clear diagnosis which ideally includes a tissue biopsy; or get a copy of the medical records and diagnostic documents from your loved one’s physicians.

2. Prepare a will. If you, yourself, are a victim of asbestos mesothelioma, it’s best to prepare a will that stipulates which law firm is to represent your case. While no one likes to think of these things, the executor of your will may ultimately need to work with this law firm. Better to identify your law firm rather than risk having multiple lawyers getting involved in the case as a result of various family members seeking to find counsel on your behalf.

3. Write down when and where you believe you or your loved one was exposed to asbestos.

4. Write down the name of the company or companies you or your loved one worked for, even if you or your loved one worked as a contractor.

5. Write down the names of fellow workers that knew there may have been asbestos on the job site(s).

6. Contact an asbestos mesothelioma lawyer. If you have not already done so, you should meet with an asbestos lawyer and bring all supporting documentation with you.

7. Have the lawyer prepare an affidavit of critical facts for preserving your case.

If you have been diagnosed with asbestos disease, there’s a good chance that your colleagues will also have been exposed. They may even have contacted a lawyer already, and be familiar with the process. If possible, reach out to your former colleagues to find out how they are and what, if anything they may have done or be doing, and if they will support you in your claim.

If you are a spouse of a mesothelioma victim who has recently died from the illness, you and your heirs could have between one to three years from the date of death to file a wrongful death action, which may result in the recovery of substantial monetary damages.

Asbestos Remains in Use Despite the Health Warnings

Asbestos is not banned in the US and Canada and it is still in use in a wide variety of products. The Environmental Protection Agency (EPA)estimates that there are 3,000 different types of commercial products currently in use in the US today that contain asbestos, including building materials, brake pads, and fire retardant materials and products. Exposure can also come from unlikely sources. A weekend do-it-yourselfer may become exposed while undertaking home repair projects around the house. Asbestos fibers can also be transferred via clothing, skin or hair through contact with a household member who has worked around the deadly substance. People who suspect that they or someone they love might have been exposed to asbestos should always get a clear diagnosis to determine the severity of their illness.
Share:

Thursday 13 February 2014

COLON CANCER: DIAGNOSIS

Fast Facts About Colorectal Cancer

Of cancers that affect both men and women, colorectal cancer—cancer of the colon or rectum—is the second leading cause of cancer-related deaths in the United States. In 2010, 52,045 people in the United States died of colorectal cancer (27,073 men and 24,972 women).1*
Colorectal cancer also is one of the most commonly diagnosed cancers in the United States. In 2010, 131,607 people in the United States were diagnosed with it (67,700 men and 63,907 women), making colorectal cancer the third most common cancer in men and in women.1
Colorectal cancer screening is recommended for men and women beginning at age 50. (Men and women who think they may be at higher than average risk for this cancer should ask their doctors about getting screened earlier than age 50.)
Screening for colorectal cancer helps prevent this disease. Screening can find precancerous polyps (abnormal growths), so they can be removed before they turn into cancer. Screening also finds colorectal cancer early, when treatment works best.
While screening rates have increased in the U.S., not enough people are getting screened for colorectal cancer—
  • As of 2008, 62.9% of adults aged 50–75 years were screened as recommended. In 2002, only 51.9% of Americans were screened as recommended.2
  • While screening rates continue to rise in the U.S., 22 million people are still not up-to-date with colorectal cancer screening.2
*Incidence counts cover about 97% of the U.S. population; death counts cover about 100% of the U.S. population. Use caution when comparing incidence and death counts.
Share:

KIGOGO WA CCM...

KIGOGO WA CCM...

Na The blogger-boy , SUA
HALI inatisha! Vyama vya Chadema na CCM vinaonekana kuwa chanzo cha baadhi ya watu kubaki na ngeu baada ya juzikati vurugu kutokea katika Kata ya Ubagwe, wilayani Kahama na kusababisha majeraha kwa viongozi na watu mbalimbali.

Vurugu hizo zilitokea Februari 4, mwaka huu, majira ya saa 1:30 usiku kwenye kampeni za CCM zilizokuwa zikifanyika katika Kata ya Ubagwe ambapo Afisa Mtendaji wa Kata hiyo, Alphonce Kimaro alidaiwa kutobolewa jicho la kulia na kujeruhiwa kwenye paji la uso.
Majeruhi mwingine ni Katibu wa UVCCM Kata ya Majengo, Sebastian Masonga, ambaye alisimulia jinsi alivyovunjika mkono na kudai kuwa, siku ya tukio walikuwa wakitokea kwenye mkutano wa kampeni za udiwani, njiani wakavamiwa na vijana waliowashambulia kwa silaha.
“Tulikuwa tukitokea kwenye mkutano wa kampeni, njiani kwenye pori tukakuta magari mawili. Wakashuka vijana wakatuzingira, mmoja wao akavunja mlango kwa shoka na baadhi wakaanza kutuvuta kutoka kwenye gari,” alisimulia Masonga ambaye alilazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza na kuongeza;
“Kuona hali hiyo, nilifungua mlango wa nyuma wa gari letu aina ya Toyota Land Cruiser nikakimbia ili kujikoa, lakini mmoja wao akanidaka, akaanza kunishambulia kwa nondo.
“Nilipojaribu kukinga mkono nondo ikatua hapo na kunivunja vibaya, alinisachi na akafanikiwa kuchukua kila kitu zikiwemo fedha.”
Kutokana na hali hiyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja ambaye aliwatembelea majeruhi hao, amelaani vikali vurugu hizo alizodai zimefanywa na baadhi ya viongozi wa Chadema wilayani Kahama na kusema madaraka hayawezi kupatikana kwa kumwaga damu.
Share:

WATATU WAHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM‏

na blogger boy;

 Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye akiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma tayari kwa kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili.

Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa…
 Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye akiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma tayari kwa kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili.
Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa akizungumza na Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye kabla ya kuanza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma.
Ndugu William Ngeleja akisubiri kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama.
Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu Edward Lowasa kizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi ambapo alisema mazungumzo yalikuwa mazuri,yalikuwa yenye nia ya kukijenga chama kwa ajili ya uchaguzi 2015.
Waandishi wa Habari wakiwajibika kuandika habari nje ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi ambapo viongozi watatu walihojiwa na Kamati ndogo ya Maadili.
Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Phillip Mangula  leo imewahoji watu watatu ambao wawili walishawahi kuwa Mawaziri Wakuu katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Mawaziri hao waliohojiwa leo ni Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa,Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye na Mbunge wa Sengerema Ndugu William Ngeleja ambaye pia alishawahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini.
Kamati hiyo bado ina kazi ya kuwahoji viongozi wengine watatu ambao leo walishindwa kufika baada ya kuomba hudhuru kwani walikuwa na majukumu mengine ya kiserikali, ambao hawajafika leo ni Waziri wa Mambo ya Nje Ndugu Bernard Membe ambaye yupo safarini nje ya nchi ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Ndugu Stephen Wassirana Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Ndugu Januari Makamba.

Share:

UCHAGUZI MDOGO KALENGA: KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA FEB 14, 2014


http://api.ning.com/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana kwa ajili ya kikao cha dharura, Februari 14, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.
Katika kikao hicho, Kamati Kuu itajadili na kufanya uteuzi wa mwisho wa jina la mgombea ubunge wa CHADEMA katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, unaotarajiwa kufanyika Machi 16, mwaka huu.
Kikao hicho kitafanya uteuzi wa mwisho, baada ya mchakato wa ndani wa kumpata mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CHADEMA, kuwa umepitia hatua za awali, ambazo ni…
http://api.ning.com/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA
KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana kwa ajili ya kikao cha dharura, Februari 14, mwaka huu, jijini Dar es Salaam.
Katika kikao hicho, Kamati Kuu itajadili na kufanya uteuzi wa mwisho wa jina la mgombea ubunge wa CHADEMA katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, unaotarajiwa kufanyika Machi 16, mwaka huu.
Kikao hicho kitafanya uteuzi wa mwisho, baada ya mchakato wa ndani wa kumpata mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya CHADEMA, kuwa umepitia hatua za awali, ambazo ni pamoja na watu wote wenye nia ya kugombea, kuchukua fomu za uteuzi, tangu Februari 5-10, mwaka huu.
Jumla ya watu 16 waliweza kuchukua fomu za kuwania uteuzi huo, ambapo hadi siku ya mwisho, watu 13 waliweza kurejesha fomu zao na kupita kwenye mchakato wa kura za maoni, zilizofanyika Februari 12, mwaka huu.
Imetolewa leo Februari 13, 2014, Dar es Salaam na;
Tumaini Makene
Ofisa Mwandamizi wa Habari- CHADEMA

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger