Saturday, 27 February 2016

UCHAGUZI MEYA JIJI LA DAR:VURUGU KUBWA ZAIBUKA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY VURUGU kubwa zimetokea wakati wa Uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam mara baada ya uchaguzi huo kuhairishwa  tena kwa mara ya nne leo,huku Jeshi la Polisi likivamia ukumbi wa Karimjee na kuanza kupambana na Madiwani na wabunge wa Muunganiko wa umoja wa...
Share:

SCHORASHIP:China scholarship opportunities for 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 1. INTRODUCTION Applications are invited from committed, motivated and qualified Tanzanians to apply for postgraduate studies in the one of China’s best Oil and Gas Universities – the China University of Geosciences (Wuhan). Sponsorship...
Share:

Mawaziri ‘Waliombip’ Magufuli Hadharani

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MAWAZIRI watano wamewekwa hadharani kuwa ndio hawakujaza Tamko la Rasilimali na Madeni na Hati ya Ahadi ya Uadilifu na kurejesha fomu hizo katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Akizungumza na waandishi wa habari jana asubuhi, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,...
Share:

RAIS MPYA WA FIFA NI GIANNI INFANTINO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Gianni Infantino KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka barani Ulaya-Uefa, Gianni Infantino amechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Soka duniani-Fifa. Infantino alishinda awamu ya pilii ya uchaguzi huo uliofanyika Uswisi kwa kura 88 kati ya kura 207 akifuatiwa...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI FEBRUARY 27 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

VIDEO_NAY WA MITEGO-SHIKA ADABU YAKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   Huku audio ya wimbo Shika Adabu yako wake Nay wamitego, ykizidi kufanya poa kabisa, hatimaye Nay amekuletea Official Video ya wimbo huwo. Bofya hapa chini kuutazama  ...
Share:

VIDEO:MWANAFUNZI WA SAUT MWANZA AKIPIGWA MAWE,BAADA YA KUNG'ANG'ANIA SIMU YA MPENZI WAKE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY marehemu akiwa na mpenzi wake aliemsababishia kif...
Share:

Friday, 26 February 2016

Video:UKAWA/CHADEMA WAONGELEA KUHUSU UCHAGUZI WA MEYA LEO DAR FEB 27 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kesho February 27  Dar es salaam inategemea kufanya uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji,  Vyama mbalimbali vimejiandaa kwa uchaguzi huo. Leo Katibu Mkuu wa Chadema Salum Mwalimu ameongea na waandishi wa...
Share:

GARI LA NAY WA MITEGO LAVUNJWA VIOO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   Mkali wa muziki wa Bongo fleva na hit song ya Shika adabu yako Nay wa Mitego, amekutwa na majanga ya kuvunjiwa kioo cha gari usiku huu na kumsababishia ashindwe kuachia rasmi Video ya wimbo wake huwo. ...
Share:

MAJAMBAZI WATATU WAUAWA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI BENKI YA ACCESS MBAGALA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MAJAMBAZI WATATU WAUAWA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI BENKI YA ACCESS MBAGALA Benki ya Access tawi la Mbagala Rangi Tatu kumetokea tukio la ujambazi -Majambazi watatu wameuawa na polisi baada ya kuzidiwa nguvu. CHANZO:JMF Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu Benki...
Share:

BREAKING NEWS:CHUO KIKUU ST.JOSEPH ARUSHA CHAFUTWA RASMI NA TCU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY 1.Tunapenda kuuarifu umma kwamba, Chuo Kikuu cha Mt. Yosefu Tanzania (SJUIT) Kampasi ya Arusha ni mojawapo ya vyuo vikuu vilivyosajiliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ambacho kilianza kudahili wanafunzi kwa mara ya kwanza mwaka wa masomo 2013/2014. 2.Kwa...
Share:

MPYA:HII NDIO LIST YA VYUO BORA TANZANIA 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY University Location 1  University of Dar es Salaam Dar es Salaam ... 2  St. Augustine University of Tanzania Mwanza ... 3  Sokoine University of Agriculture Morogoro ... 4  Mzumbe University Morogoro 5  Ardhi University Dar...
Share:

MPYA:HIVI HAPA VIWANGO VIPYA VYA UFAULU KIDATO CHA PILI(FTSEE),NNE(CSEE) NA SITA(ACSEE) 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MFUMO WA KUTUNUKU MATOKEO YA UPIMAJI/MITIHANI YA TAIFA bango viwango Division.pdf ...
Share:

BREAKING NEWSSerikali yatoa muda mpaka saa 12 jioni kwa mawaziri wasiopeleka tamko la mali

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari:Rais John Pombe Magufuli ametoa muda mpaka leo jioni kwa Mawaziri wanne na Naibu waziri 1 ambao hawajarejesha fomu kwa Sekrtariati ya maadili kwa ajili ya kuanisha mali na madeni wanayodaiwa ambapo wamepewa muda mpaka saa 12 wawe wamesharejesha fomu hizo. Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataja majina mawaziri hao kuwa ni Agustine Mahiga Charles Kitwanga, January...
Share:

TANZIA:MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU SUA Bsc.IRRIGATION AND WATER RESOURCE ENGINEERING AMEKUTWA KAFARIKI KATIKA PORI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Ipatapo jana mida ya saa 9 jioni nilipata meseja ikisema  kwamba kuna mwanafunzi kakapotea ni mwaka wa kwanza kozi ya irrigation engineering-sua,wenzako wanaekaa nae room walisema kwamba mwenzao alikuwa ni mgonjwa hivyo siku hiyo aliondoka tangu asubuhi na laiacha simu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger