Tuesday, 22 April 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRILI 22,2025

 

Share:

Monday, 21 April 2025

JINSI YA KURUDISHA MALI ZA URITHI ZILIZOCHUKULIWA KISHIRIKINA!

Jina langu ni Max kutokea Arusha, miaka kama minne nilifiwa na baba yangu, ilikuwa kwenye ajali ya moto uliovuka katika nyumba ambayo walikuwa wanaishi, alifariki yeye na aliyekuwa mkewe baada ya kuachana na mama yangu. 

Ilikuwa ni uzuni kwangu maana bado nilikuwa ndio nimemaliza Chuo Kikuu kwa hiyo bado nilikuwa sijaweza kuwa na maisha mazuri ya kusema naweza kujitemea moja kwa moja. 

Nakumbuka kuuna vitu mzee aliviacha, vingine aliandika kwa jina langu maana mimi nilikuwa mtoto wa kwanza kwake, hivyo vyote vingekuwa ni mali zangu.

Hakubahatika kufunga ndoa na mama yangu, baada ya kuachana na Mama, alioa mke mwingine ambaye nae alizaa nae watoto wawili, waliachana pia na akaenda kuoa mwanamke mwingine ambaye alifariki nae katika ajali ya gari.

Kilichonishangaza, baada ya kumzika Baba nilijikuta nimeondoka nyumbani, sikurudi tena na sikufuatilia nini kiliendelea baada ya hapo, hivyo sikuweza kujua zile mali zipo katika hali gani. 

Baada ya miaka mingi kupita ndio nikakumbuka kuna vitu Mzee aliniachia, bahati mbaya tayari vitu vyote vipo chini ya yule mwanamke mwingine aliyezaa nae watoto wawili, na sijui chochote kilichotokea upande wa sheria na mirathi.

Mimi na Mama yangu hatukukumbuka kudai kitu chochote cha Mzee, nikawa kila nikipanga kufuatilia najikuta nasahau au napotezea. 

Nikienda kutafuta msaada kwa mwanasheria ujue sirudi tena pale tu nikimueleza matatizo yangu, yaani inakuwa hivyo, mpaka nilipokuja kugundua kuna tatizo. 

Nilienda kwa Baba mdogo na kumuelezea hiyo shida yangu, ndipo alipochukua simu yake na kumpigia mtu aliyeniambia anaitwa Kiwanga Doctors kutokea Migori nchini Kenya. Baada ya kuongea nae tulifika ofisini kwake. 

Huku alitufanyia matambiko kibao (find lost items spell) na kutumbia yule mwanamke aliyezaa na Baba watoto wawili ndiye amefanya ushirikina na ili kuchukua mali hizo. 

Basi tulimuomba aondoe ushirikina huo na kweli akafanya hivyo, nilirudi nyumba na kuchukua baadhi ya mali ambazo Baba aliandika kuwa ni zangu bila kizuizi chochote kile. 

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.  

Share:

Breaking : PAPA FRANCIS AFARIKI DUNIA


 

Papa Francis amefariki dunia Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025, akiwa na umri wa miaka 88 katika makazi yake katika Casa Santa Marta, Vatican.

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo April 21,2025 kwenye Jumatatu ya Pasaka akiwa na umri wa miaka 88 ambapo Vatican imethibitisha na kusema Papa amefia kwenye makazi yake Vatican na taarifa zaidi kuhusu kifo chake zitatolewa.

Papa ambaye alizaliwa mwaka 1936 hivi karibuni amepitia changamoto ya upumuaji hadi kuhitaji mashine ya kusaidia kupumua na amekuwa akikabiliwa na matatizo ya kiafya ikiwemo maambukizi ya mapafu(nimonia) hadi kupelekea kulazwa kwa wiki kadhaa kabla ya baadaye afya yake kuimarika.
Share:

BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII WA INJILI


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililoandaliwa na Wasanii wa Muziki wa Injili nchini.

Hafla hiyo iliyofanyika Jumapili tarehe 20 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, jijini Dar es Salaam, ilihusisha wasanii nguli wa muziki huo, wakiongozwa na Christina Shusho, kupitia taasisi yake ya Relax East Africa Limited.

Akizungumza katika tukio hilo, Dkt. Nchimbi alisisitiza umuhimu wa kudumisha mshikamano, amani, na upendo miongoni mwa Watanzania. Alihimiza jamii kuendeleza maadili mema na kuimarisha mshikamano wa kitaifa kama msingi wa maendeleo endelevu.

Aidha, aliwapongeza waandaaji wa hafla hiyo kwa kubuni na kutekeleza wazo la kuwaunganisha watu katika kusherehekea Pasaka, akibainisha kuwa matukio kama hayo yanachangia kuijenga jamii yenye mshikamano na matumaini kwa ajili ya mstakabali mwema wa taifa.
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU APRILI 21, 2025

Share:

Sunday, 20 April 2025

MBINU YA KUSHINDA VITA VIKALI VYA KIBIASHARA!



Naitwa Juma Ally kutokea Same, katika maisha yangu nimekuja kuamini kuwa hakuna sehemu ambayo ina vita kali iliyojificha kama kwenye biashara maana watu wengi huwa wapendi kuona wenzao wanafanikiwa kimaisha. 

Kutokana na hilo watu hufanya kila njama kuhakikisha wanawashusha wenzao kibiashara, sasa baada ya kufanya tathimini na kujiridhisha kuwa sehemu nilipopanga naweza kufanya biashara, niliongea na mwenye nyumba na alinikubalia kufungua.

Iliniambia itabidi nilipie kodi pia, sikuwa na tatizo na hilo, nililipa na kuanza biashara, baada ya kufungua na kuona biashara inaanza kusimama, mtoto wa mwenye nyumba akaanza visa. 

Aliniambia pale nilipojenge kibanda changu cha kazi siku yoyote ataniambia nibomoe wajenge nyumba, nikamwambia sawa haina shida nitafanya hivyo siku ikiwadia, 

Miezi ilipita na biashara ikasimama, ikabidi niongeze kibanda cha pili, baada ya kuona vile, mtoto wa mwenye nyumba aliniambia nisijenge au kuongeza kitu kingine chochote. 

Natamani kuboresha na kufanya marekebisho mengi, ila nikifirilia naona nitazidisha wivu tu na baada itakuwa ugomvi. 

Maana kuna kipindi niliongeza friji na hiyo ikawa shida tena, kwa hiyo nikawa naafanya biashara hivyo hivyo, tatizo lilikuwa kwa wale watoto niliijua siku yoyote wakiamka vibaya, naweza kubomolewa kibanda changu cha biashara ingawa Baba yao hana shida kabisa.

Kuna mfanyabiashara mwenzangu aliniambia naweza kushinda vita hiyo kupitia kwa Kiwanga Doctors kutokea Migori nchini Kenya ambaye amekuwa akiwasaidia wafanyabiashara wengi Afrika Mashariki na Kati. 

Basi akanipatiwa mawasiliano yake ambayo ni +254 116469840, niliongea na akanihakikishia ndani ya siku tatu mambo yatakuwa mazuri baada ya kutupa uchawi wake na kunipa pete ya miujiza (magic ring) ambayo imenisaidia. 

Hazikupita siku watoto wa yule Baba wakaniruhusu nijenge kabisa, halafu nitakuwa nawalipa kidogo kidogo fedha ya ardhi yao hadi pale itakapokamlika. 

Ikiwa nawe anahitaji huduma kama hiyo, basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kupitia namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi. 

Share:

Saturday, 19 April 2025

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI APRILI 20,2025



Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger