











Jina langu Paulo kutoka Mbeya, katika maisha yangu hadi sasa nimefikisha umri wa miaka 41, nimefanya kazi sana katika kampuni nyingi, nilikuwa napata fedha za kunitosha mimi na familia yangu.
Kwa moyo wa kujituma na nidhamu, niliendelea kufanya kazi vizuri kila mwisho wa mwezi nilikuwa naingiziwa kwenye akaunti yangu ya benki, lakini ikawa siku zinavyozidi kwenda sioni fedha zangu wala matumizi yake.
Yaani ilikuwa kila nikipata fedha sijui zinaishaje, sizioni nikizitumia kwa faida hadi nikakata tamaa ila nikawa naendelea kufanya kazi bila kujua fedha zinapotelea wapi, ni jambo ambalo lilikuwa linanipa sana msongo wa mawazo kupita kiasi.
Unajua kila mtu anapofanya kazi anataka kuona na maisha yake yakibadilika na kusonga mbele, hakuna mtu anayetaka kufanya kazi na kuona akiendelea kusalia katika hali ya umaskini au maisha duni yaliyokosa usawa.
Katika kuchunguza na kutafakari kwangu nikaona kabisa kuna kitu hakipo sawa katika maisha yangu hasa upande wa kutunza fedha, ila tatizo ni kwamba sikufahamu naanzia wapi kutatua shida hiyo iliyokuwa inaninyima raha maishani mwangu.
Nakumbuka katika mizunguko yangu, siku moja nilikutana na mama mmoja anatoka kazini, huyu ni rafiki yangu tuliyepotezana miaka mingi, nilimsimamisha na kumuelezea jinsi fedha zangu zinavopotea bila kujua.
Yula mama alinisikiliza na kuniambia kuna mtu atakusaidia matatizo yako, mtu huyo anajulikana kwa jina la Kiwanga Doctors kutokea Migori, Kenya, huyu atakusaidia kila aina ya changamoto unayopitia katika maisha yako. Alisema yule mama.
Alifungua pochi yake na kutoa simu yake ya mkononi kisha kunitajia namba zake, nilipofika nyumbani nikamtafuta nikamuelezea shida yangu.
Nashukuru Kiwanga Doctors alinihudumia (find lost items spell) kwa upendo mkubwa sana hadi nikajihisi vizuri ingawa nilikuwa nimetingwa na matatizo mengi sana.
Kusema ukweli tangu wakati huo ndio ukawa mwisho wa fedha zangu kupotea, kila nikipata fedha iwe ni mshahara au njia yoyote ile basi isingeisha bila ya mimi kuona maendeleo yake, hakuna fedha inayoenda bila kujua imefanya nini hasa.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata uponyaji na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +254 116 469840 au tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
Kwanza naomba nikiri kuwa hakuna taasisi ina siri kubwa kama ndoa jamani na hiyo ni kutokana na msingi wake wa kuanzishwa kwake, haifai hata kidogo kutoa siri za ndani ya ndoa kwa marafiki hata kama mnapendana na kuaminiana kwa kiasi gani.
Hata hivyo, nikiri wazi kuna wakati uvumilivu ulinishinda na kujikuta nimetoa siri za ndani ya ndoa yangu, sikuwa na jinsi ilinibidi nifanye hivyo ili kuweza kupata raha kama wanawake wengine au kama ilivyokuwa mwanzo.
Mimi naitwa Mama Jeni kutokea Pwani, nimeishi katika ndoa kwa miaka saba sasa na mume wangu kipenzi na tayari tumejaliwa kupata watoto wawili ambao tayari sasa wamenza shule na wanaendelea vizuri.
Mwanzo wa ndoa yetu mume wangu alikuwa akinitimizia mahitaji yangu ya msingi kama mwanamke na kufurahia sana hadi nikawa najiuliza kwanini nilichelewa kuolewa na kupata raha hizi.
Lakini ghafla mambo yalianza kwenda sivyo, mume wangu alikuwa hawezi kunifikisha katika kilele kama ilivyokuwa mwanzo, hata raundi moja tu nilikuwa sipati wakati mwanzo nilikuwa napata hata raundi nne.
Hali hiyo ilikuwa inaniacha njiapanda kiasi kwamba nilikuwa nalala na kiu, kila mara nilikuwa mtu mwenye hasira, nilijikuta nagombana na watoto hata jambo la kawaida tu ambalo sikupaswa kugombana.
Ndipo ikanibidi nimueleze rafiki yangu kuhusu hali hiyo ninayopitia katika ndoa yangu, alinisikiliza kwa makini na kunitia moyo kuwa hata yeye aliwahi kupitia changamoto hiyo lakini aliweza kuishinda.
Yeye alipata dawa kutoka kwa Kiwanga Doctors ambayo mume wake aliitumia na ndani ya muda mfupi hali ikawa nzuri, alinipatia namba ya Kiwanga Doctors na kunisisitizia niwasiliana naye kwani nitaweza kupata msaada.
Basi nilichukua hatua na kumpigia Kiwanga Doctors na kumueleza shida yote ya mume wangu, basi aliweza kunitumia dawa ambayo imekuja kurejesha furaha katika ndoa yangu ambayo niliitamani sana katika maisha yangu.
Kwa sasa mume wangu anaifanya kazi yake vizuri kiasi kwamba hadi nahisi anataka kuvunja kabisa ili tuende kununua kingine maana shughuli yake sio ya kitoto, napewa raha hadi nalia kama mtoto mdogo vile.
Huwa nafurahia sana hali hiyo maana nilikuwa nimeimisi kwa muda mrefu sana, yaani hadi naandika ujumbe huu namngoja mume wangu arejee kazini aweze kunipa raha hiyo ambayo ndio imenitoa kwa wazazi wangu.
Ni watu wengi hadi sasa wamepata mafanikio na furaha kupitia huduma za Kiwanga Doctors ambao unaweza kuwasiliana na kwa namba +254 116469840 au tembelea tovuti yao, www.kiwangadoctors.co.tz kwa maelezo zaidi kuhusu huduma zao ambazo zimewasaidia wengi.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kikundi cha watu waliozaliwa mwezi wa tatu, ‘Team March’, kilichopo Manispaa ya Shinyanga, kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (‘pre-mature’) pamoja na vifaa vya mradi wa ushonaji kofia, masweta, na soksi kwa akina mama waliojifungua watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Wanakikundi hao wametoa msaada huo leo Aprili 1, 2025, wakiongozwa na Mwenyekiti wa ‘Team March’, Dkt. Yustina Tizeba, ambaye pia ni Daktari Bingwa wa Watoto katika hospitali hiyo.
Dkt. Tizeba amesema kuwa vifaa hivyo vitasaidia watoto njiti, lakini pia vifaa vingine vitahusiana na mradi wa ushonaji waliouanzisha katika hospitali hiyo kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kijasiriamali akina mama waliojifungua watoto njiti wakati watoto wao wanaendelea kupatiwa huduma za kiafya hospitalini.
“Team March tumeanzisha mradi wa ushonaji wa kofia, masweta, soksi kwa akina mama waliojifungua watoto njiti. Tunataka kuwawezesha akina mama hawa kwa kuwapa ujuzi wa ushonaji ili waweze kujiinua kiuchumi, huku wakiendelea kutunza watoto wao hospitalini,” amesema Dkt. Tizeba.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, Dkt. John Luzila, amepokea msaada huo na kuwashukuru wanakikundi kwa kujitolea kuokoa maisha ya watoto njiti.
“Tunaipongeza ‘Team March’ kwa juhudi zao kubwa za kusaidia watoto njiti. Mmeacha alama kubwa katika hospitali hii. Tunawashukuru kwa namna mnavyoguswa na afya za Watanzania na tunawaomba wadau wengine waendelee kutembelea hospitali hii na kusaidia changamoto zinazojitokeza,” amesema Dkt. Luzila.

