Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma Pendo Damas,akizungumza kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuboresha huduma ya maji katika kata nane za Wilaya hiyo,katikati Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Mji wa Mbinga(Mbiuwasa)Mhandisi Yonas...
Mbunge wa Jimbo la Madaba Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama akiwapungia mkono wananchi wa kijiji cha Lituta Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma
Mbunge wa Jimbo la Madaba Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama akicheza ngoma wakati wa mapokezi yake kijiji cha Lituta Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma
Wananchi...
Mbunge wa Jimbo la Madaba Mhe. Joseph Kizito Mhagama akizungumza na wananchi katika eneo la stendi inayotarajiwa kuanza ujenzi wake wiki ijayo
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Madaba Abdul Manga akizungumza na wananchi kuhusu mradi huo wa ujenzi wa stendi Lituta kitongoji cha kifaguro Madaba
Mhandisi...