Thursday 22 August 2024
TRA YATOA ELIMU KUHUSU MABADILIKO YA SHERIA ZA KODI 2024/2025 KWA WAFANYABIASHARA SHINYANGA
WATAALAMU KITENGO CHA BANDARI WMA WAAHIDI WELEDI ZAIDI KAZINI
WANAGDSS WATAKA WATUHUMIWA WANAODAIWA KUMBAKA BINTI WA YOMBO WASHUGHULIKIWE
Wednesday 21 August 2024
MABORESHO HUDUMA YA MAJI GOBA
WAKULIMA WA MWANI, WAFUGAJI WA MAJONGOO BAHARI NA WANENEPESHAJI KAA JIJI LA TANGA WAPEWA MBINU MPYA
WAFANYABIASHARA TANGA WATOA USHAURI KWA BENKI YA NMB WALIOCHUKUA MIKOPO NA KUSHINDWA KUIREJESHA
Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Tanga (JWT) Ismail Masoud akizungumza wakati wa mkutano huo
Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini Baraka Ladislaus akizungumza wakati wa mkutano huo |
Na Oscar Assenga, TANGA.
JUMUIYA ya wafanyabiashara Mkoa wa Tanga JWT imeiomba Benki ya NMB nchini kuweka utaratibu nzuri wa kudai madeni yao kwa wafanyabiashara waliochukua mikopo kwa kuunda kamati kila wilaya ambazo zitaratibu na kufuatilia walioshindwa kuilipa waone njia sahihi ya ya kulipwa badala ya kufikiria kuwauzia nyumba zao na mali ili kufidia mikopo hiyo.
Kauli hiyo ilitolewa leo na Katibu wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Tanga Masoud Ismail wakati wa mkutano wa Business Club 2024 uliofanyika Jijini Tanga ambapo alisema wanataka wafanyabiashara wasiuziwe nyumba zao na mali wanazomiliki bali ziundwe kamati za madeni kila wilaya zitakayowezesha upatikanaji wa fedha zinazodaiwa.
Alisema kwamba kamati hizo zihusishe wafanyabiashara wenyewe kwamba mfanyabiashara amekutana na changamoto badala ya kwenda kuuza nyumba yake deni lipelekewe kwenye kamati ya wafanyabiashara wenyewe kwamba anadaiwa na anatakiwa kwenda kuuziwa nyumba yake wafanyaje na itakuwa ni benki ya kwanza kuwashirikisha wafanyabiashara wenyewe kusaidia kulipa madeni badala ya kuuza nyumba.
“NMB chukueni Sera hii na mkiifanya mtafanikiwa nchini nzima kwamba kila wilaya kuwa na kamati ya Madeni ikihusisha wafanyabiashara na unakuta mtu nyumba ikienda kuuzwa anadaiwa milioni 3 hivyo wakikutana wanaweza kuchangishana na kuweza kumaliza deni hilo”Alisema
Aidha alisema kwamba biashara zimekuwa na changamoto nyingi hasa ushindani umekwa juu wafanyabiashara kupitia ushindani wa mifumo ya biashara unawaumiza na bahati mbaya wanashindana na watu wasiolipa kodi kwenye biashara ambazo wanazifanya wao.
“Lakini wengine hawalipi kodi hilo ni tatizo linawaumiza wafanyabiashara hivyo NMB lazima tubadilishe sera asilimia 60 ya wafanyabiashara nchini ni wamachinga hawalipi kodi asilimia 40 ni wafanyabiashara wanaolipa kodi na kuchukua mikopo kwao kuna namna mbili wanatakiwa kufanya biashara walipe kodi na wanatakiwa kufanya biashara kurudisha mikopo hivyo mifumo ya mabenki lazima ibadilike kulingana na hali biashara ilivyo”Alisema
Aidha alisema kwamba wasipobadilisha sera hali ya biashara itaendelea kuwa ngumu na wafanyabiashara hawataki akaunti zao zikamatwe na wanaaza kurudi nyuma kwenye mfumo wa Tanzania kutunza fedha kwenye vitanda kwa sababu akaunti zao zinakamatwa na TRA wafanyaboashara hawataki.
Alisema kwamba benki akaunti ni siri ya mtu na benki na wanataka mfumo wa kutumia fedha taslimu uachwe watumie swap sasa benki na JWT na TRA wanashindwa kutumia njia zipi za watu wanadaiwa wafanywaje walipe mpaka wanakwenda kuingilia akauti za watu wanalalami fedha zao.
“Niwaambie kwamba benki ndio zinafanya kazi sana kuliko mitandao lakini Tanzania mitandao ndio inafanya kazi zaidi kuliko benki na mifumo ya fedha Tanzania inazunguka sana kwenye mifumo ya mitandao kuliko benki inabidi tushirikina na sisi Jumuya za wafanyabiashara tuone namna ya kufanya mifumo ya fedha ipitie kwenye mabeki
Awali akizungumza Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini Baraka Ladislaus alisema kwamba leo la kuanzishwa kwa NMB Business ni kuwafanya wateja wao wawe karibu na wao lakini kupitia huko wanapat fursa ya kusikia changamotoo mbalimblai za wateja wao na hivyo kuwasaidia kufanya maboresho katika huduma ambazo wamekuwa wakizitoa.
“Ni matumaini yangu baada ya kusikia mada mbalimbali zitakazotolewa nanyi watapata fursa ya kuwapa maeneo yenu ili waendelea kuyachukua na kuyachakata na kuzipatia ufumbuzi na kujenga NMB na wateja walio imara”Alisema
Hata hivyo alisema kwamba benki hiyo itaendelea kuboresha huduma zake katika maeneo mbalimbali na sasa wameendelea kuwafikia wateja wadogo wadogo wa kule chini na akaunti za NMB zimeboresha.
“Maboresho makubwa ni kiu ya Benki ya NMB kuendelea kuwa chaguo lako ukitaka kuchagua benki NMB iendelea kubaki kuleta huduma za kibunifu zitakazoleta matokeo chanya kwa wateja wetu”Alisema
Tuesday 20 August 2024
IJUE DAWA YA MATAPELI WA VIWANJA
Jina langu ni Amosi kutokea Meru nchini Kenya, mwaka 2019 nilinunua kiwanja kwa ajili ya kuanza ujenzi baada ya kukusanya fedha zangu kwa miaka mingi sana.
Hii ilikuwa ni ndoto yangu ya miaka mingi kwamba siku moja nami nije kuwa na kwangu kisha kuanzisha familia yenye furaha.
Basi nilikutana na madalali na kuniambia kuna kiwanja kikubwa kinauzwa mahali na kipo katika eneo zuri hivyo naweza kuchangamkia fursa hiyo mara moja.
Nilienda kuona kiwanja hicho na kujidhirisha kweli ni kizuri, basi nilianza mchakato wa malipo mara moja ili asije akatokea mtu mwingine akakinunua kiwanja hicho.
Hatimaye nilifanikiwa kulipia na kupatiwa hati kuwa mimi ndiye mmiliki wa eneo hilo. Hapo moyo wangu ulitulia na kujua kilichobakia sasa ni hatua tu ya ujenzi ambao ulitarajia kuanza siku sio nyingi.
Cha kushangaza ni kwamba nilikuja kupata taarifa kuwa yule aliyeniuzia kile kiwanja ni mtu tapeli ambaye ameshatapeli watu wengi katika maeneo mengi nchini Kenya.
Ni mtu ambaye ana mtandao mrefu sana kiasi kwamba ni vigumu sana kumpata na hatia hata ukimfikisha mahakamani.
Kuna ndugu yangu aliniambia kuwa nikaonane na Dr Bokko atanisaidia kushinda kesi hiyo ya madai ambayo nilikuja kuifungua siku za mbeleni.
Nashukuru Dr Bokko alinifanyia tiba ya kweli na kunihahakikishia haki yangu itapatikana tena ndani ya muda mfupi tu. Basi nilifungua kesi ya utapeli mahakamani na shauri letu likaanza kusikilizwa.
Watu wengi walijua nitashindwa kesi hiyo maana mtu huyo ni tapeli aliyebobea. Lakini kwa nguvu ya dawa za Dr Bokko nilishinda kesi hiyo na kurudishiwa fedha zangu pamoja na gharama za kesi hiyo. Mpigie kwa namba +255618536050.
Mwisho.