This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content
Yetu Microfinance Bank Plc is a fast growing microfinance bank in Tanzania, it operating with three branches and sixteen connected financial service centre. The bank is known for its unique and distinct way of creating a conducive banking environment, where the expectations of our stakeholders, customers and employees can be fulfilled. Yetu Microfinance Bank is […]
This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akikagua mifugo iliyopo katika mnada wa kimataifa wa Pugu uliopo jijini Dar es Salaam huku akimuuliza mmoja wa wafanyabiashara wa mnada huo bei ya mifugo inayouzwa mnadani hapo. (Picha na Edward Kondela.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel (mwenye fimbo) akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa mnada wa kimataifa wa Pugu uliopo jijini Dar es Salaam mara baada ya kusikiliza kero zao na kubainisha namna wizara ilivyojipanga kuziba maeneo yasiyo na uzio na kutatua kero za maji kwa ajili ya kunyweshea mifugo. (Picha na Edward Kondela.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa katika Mnada wa Kimataifa wa Pugu uliopo jijini Dar es Salaam amezungumza kwa njia ya simu na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff, kuhusu uboreshaji wa barabara kutoka Gongo la Mboto hadi katika mnada huo, baada ya wafanyabiashara kulalamikia ubovu wa barabara hiyo hali inayoathiri mifugo yao. (Picha na Edward Kondela).
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel akipima kwa kutumia fimbo eneo ambalo linalalamikiwa na wafanyabiashara kuwa ni hatari kwa ng’ombe kupita kutokana na ardhi ya eneo hilo kuwa na maji mengi na udongo kuwa laini. Prof. Gabriel amefanya ziara ya kikazi ya siku moja katika Mnada wa Kimataifa wa Pugu uliopo jijini Dar es Salaam. (Picha na Edward Kondela).
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akiongea na Meneja Mnada wa Kimataifa wa Pugu Bw. Kerambo Samwel (wa kwanza kulia) na daktari mkuu wa mnada huo Dkt. Abdul Kyarumbika, wakati akimaliza zaiara yake katika Mnada wa Kimataifa wa Pugu na kuwataka kuwa na utaratibu wa kutatua changamoto ndogokwa wakati ambazo zipo ndani ya uwezo wao. (Picha na Edward Kondela.







