Sunday, 20 October 2019

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili October 20

















Share:

Saturday, 19 October 2019

Waziri Mkuu: Viwanda 4,000 vimejengwa chini ya Serikali ya awamu ya tano | Sasa Vinachangia Pato la Taifa kwa asilimia 8.05 na kutoa ajira 306,180

Waziri  Mkuu  Kassim Majaliwa amesema tangu Serikali ya Awamu ya Tano iingie madarakani, viwanda vipya zaidi ya 4,000 vimejengwa na hivyo kufanya sekta hiyo kuchangia Pato la Taifa kwa asilimia 8.05 na kutoa ajira 306,180 mwaka 2018.

Akizungumza kwa niaba ya Rais John Magufuli jana Dar es Salaam, wakati wa utoaji wa tuzo za Rais kwa wazalishaji bora wa viwandani (PMAYA)  mwaka  2018 alisema  kutokana na sekta hiyo kuwa na mchango mkubwa, Serikali itavipa kipaumbele viwanda vinavyotumia malighafi za ndani zaidi.

Tuzo hizo ambazo zimeandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) ilishirikisha makampuni 61 ambapo mshindi wa jumla ilikuwa ni kampuni ya Hanspaul iliyoko mkoani Arusha.

“Sekta ya viwanda imeendelea kuongeza pato la taifa na mwaka 2018 imeongezeka kwa asilimia 8.05  tofauti na mwaka  2017ambayo ilikuwa asilimia 7.67, Aidha, katika kipindi cha mwaka 2018 Sekta ya viwanda ilichangia asilimia 18.1 ya mauzo yote ya nje, ikilinganishwa na asilimia 15 mwaka 2017 pia, takwimu zinaonyesha kwamba katika mwaka 2018 Sekta ya viwanda imetoa ajira rasmi 306,180 ikilinganishwa na ajira 280,899 mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 9.

“Mkakati wetu wa kuendeleza viwanda nchini kipaumbele kimewekwa katika viwanda ambavyo vinatumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini, tunahitaji kupunguza uuzaji wa mazao yetu ya kilimo, misitu, madini na maliasili nje ya nchi yetu yakiwa ghafi, hali kadhalika tunalenga kutumia rasilimali zilizopo nchini kuzalisha  bidhaa ambazo  hivi sasa tunaziagiza kutoka nje.

“Shabaha yetu ni kutosheleza mahitaji ya ndani ya bidhaa za viwandani, na kuwa na ziada tutakayouza nje  ya nchi ili kupata fedha za kigeni, kukuza ajira na kuongeza kipato cha Watanzania kwa ujumla,yote haya yatawezekana kama tutatengeneza miundombinu kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa bora,”alisema Majaliwa.

Alisema ili kufikia lengo la kuwa nchi ya kipato cha kati inayoongozwa na uchumi wa viwanda Serikali haina budi kuhahakikisha ukuaji wa uchumi unafikia asilimia 12 kwa mwaka.


Share:

Nafasi za kazi 2019 – Nafasi za ajira zilizotangazwa Leo- Jobs in Tanzania

Browse all latest Jobs Today  in Tanzania:  Here is the list of new jobs advertised in Tanzania, Apply Now!! JOB ADVERTISEMENTS FROM GOVERNMENT, TANZANIA NGOs AND INTERNATIONAL NGOs Tanzania Jobs in October (17-19), 2019 Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania Technical Manager Job at Mbeya Water Supply and sanitation Authority 2019 Job Opportunity at… Read More »

The post Nafasi za kazi 2019 – Nafasi za ajira zilizotangazwa Leo- Jobs in Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Monitoring and Evaluation Officer Job Opportunity Mbeya

Monitoring and Evaluation Officer Details of the Assignment HIMSO is seeking an experienced Monitoring and Evaluation Officer to undertake the assignment of monitoring and evaluation on the project ‘Promotion of collaborative Emergency Transport System and Community Health Fund in the regions of Songwe and Mbeya’. This assignment is a part time assignment for the period of up to… Read More »

The post Monitoring and Evaluation Officer Job Opportunity Mbeya appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Network Director at Vodacom Tanzania

Network Director at Vodacom Tanzania Job Number: VDTECH45 Role purpose: Formulation and execution of the overall network technology strategy aligned with the Group Technology blueprint and roadmap and with the local market business strategy to ensure network coverage and quality differentiation and service user-experience superiority. To lead the entire Network team toward excellent performance standards by monitoring, analyzing… Read More »

The post Network Director at Vodacom Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Lakamata Silaha Mbili Aina Ya Short Gun.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limekamata silaha mbili aina ya Short Gun zikiwa na risasi mbili ambazo zilikuwa kwenye mtutu wa kila silaha ambazo zilikuwa zimefichwa kwenye mfuko wa plastiki.

Kufuatia msako mkali uliofanyika Oktoba 17, 2019 saa 17:00 jioni huko maeneo ya Pambogo, mtaa wa Isengo, Kata ya Iyela, Tarafa ya Iyunga, Jiji la Mbeya, Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilikamata silaha hizo ambazo zimetengenezwa kienyeji na baada ya kuzikagua zilibainika kutokuwa na namba za usajili.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ametoa  rai kwa wananchi kutoa taarifa za mtu/watu au kikundi cha watu ambacho wanakitilia mashaka katika maeneo yao ili ufuatiliaji ufanyike. 

Aidha ametoa rai kwa mtu yeyote anayemiliki silaha kinyume cha sheria kusalimisha silaha hiyo mara moja kituo cha Polisi


Share:

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Ahojiwa TAKUKURU Kwa Ubadhirifu wa Milioni 300

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa - Takukuru Mkoa wa Tanga inamhoji aliyekuwa mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Kazimbaya Makwega kwa tuhuma za ubadhirifu wa Shilingi 300 milioni za upimaji wa viwanja katika shamba la Mnazi wilayani Lushoto.

Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga, Christopher Mariba jana alisema Makwega alihamishiwa Halmashauri ya Wilaya Mbozi kabla kutenguliwa na Rais John Magufuli.

Alisema zipo fedha zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya upimaji wa viwanja na mkataba ulikuwa wa Sh300 milioni ambapo mtuhumiwa kwa kutumia nafasi yake anatuhumiwa kubadilisha baadhi ya vipengele.

Alivitaja vipengele vinavyodaiwa kubadilishwa mkurugenzi huyo ni vile vilivyoitaka Kampuni ya Geoplan (EA) ya jijini Dar es Salaam kuweka kiasi cha gharama kwa ajili ya tahadhari ikiwa itachelewa kukamilisha kazi ile gharama itakatwa.

Kamanda huyo wa Takukuru alisema mkataba huo wa upimaji ulitakiwa uanze Juni  28 mwaka 2013 hadi Agosti 28, 2018 kitu ambacho hakikufanyika hadi Desemba 3, 2018 ambapo muda ulikuwa  kinyume na taratibu za mkataba na hata fedha za dharura zilizotakiwa kukatwa kama kipengele cha 44 kinavyoonyesha hazikukatwa.


Share:

TMA yatoa angalizo la Mvua Kubwa Kanda ya Ziwa, Tanga na Kigoma

Mvua kubwa inatarajiwa kunyesha kwenye baadhi ya maeneo ya Kagera, Geita, Mwanza, Kigoma, Tanga, visiwa vya Unguja na Pemba.

Hayo yalibainika Dar es Salaam jana Oktoba 18,2019 baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kutoa utabiri wa kifurushi cha siku tano.

Utabiri huo umetoa angalizo la mvua kubwa kwenye mikoa hiyo kwa siku mbili kuanzia Oktoba 19 hadi 20 mwaka huu na kubainisha kuwepo kwa kiwango cha joto chini ya nyuzi joto 11 mkoani Njombe na nyuzi joto 15 mkoani Mbeya.

TMA pia imeeleza kwamba Mkoa wa Tabora unatabiriwa kuwa na kiwango cha juu zaidi cha joto cha nyuzi joto 33.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, athari zinazoweza kukitoleza ni baadhi ya makazi kuzungukwa na maji, ucheleweshwaji wa usafiri, kusimama kwa muda kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi na kijamii.

Aidha imewataka wananchi na mamlaka za kiserikali kuchukua tahadhari dhidi ya athari zinazoweza kutokea.


Share:

Muuguzi anayedaiwa kumbaka binti aliyekuwa akimuuguza mama yake asimamishwa kazi

Baraza la Ukunga na Uuguzi Tanzania (TNMC) limeisimamisha kwa miezi mitatu leseni ya Muuguzi aliyemchoma sindano ya usingizi na kisha kumbaka kuanzia saa nne usiku hadi saa nane msichana mwenye umri wa miaka 16

Damian Mgaya(41) aliyetoroka anadaiwa kumfanyia hivyo msichana huyo aliyekuwa akimuuguza mama yake katika hospitali ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora

Inaelezwa kuwa mara baada ya kumaliza kumbaka binti huyo aliamua kumtupa eneo la kufulia nguo kwenye nyasi akiwa hajitambui na kummwagia maji mwili mzima

Inaelezwa kuwa mnamo mwaka 2017, Damiani akiwa katika kituo cha Afya cha Igurubi, aliwahi kufanya tukio kama hilo, ambapo alipelekwa Polisi na kisha Mahakamani na aliachiwa huru na kurejeshwa kazini mwaka 2018

Taarifa hiyo imetolewa na Msajili wa Baraza hilo, Agnes Mtawa na kusema kuwa baada ya mtumishi huyo kurejeshwa kazini, alihamishwa kutoka kituo cha Afya cha Igurubi na kupelekwa katika hospitali ya Wilaya ya Igunga

Kufuatia mtiririko wa matukio hayo, Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, (TNMC) limeamua kumchukulia hatua ya kusimamisha leseni yake ya kutoa huduma za ukunga na uuguzi popote nchini Tanzania kwa muda wa miezi mitatu


Share:

Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kumkatakata na Kumuua Mdogo wake

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma, linamshikilia Mohamed Luambano (70) mkazi wa Mtelamwai wilayani Namtumbo kwa tuhuma za kumkata na kitu chenye ncha kali kichwani na kiganja cha mkono wa kulia mdogo wake, Abeid Luambano (65) na hatimaye kufariki dunia.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Simon Maigwa, alisema tukio hilo limetokea juzi majira ya saa 2:00 usiku katika kitongoji cha Doroba kilichoko katika kijiji cha Mtelemwai.

Alisema inadaiwa siku ya tukio, Abeid alikutwa akiwa ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali na pia kukatwa kiganja cha mkono wa kulia na watu wasiofahamika.

Maigwa alisema Abeid kabla ya kuuawa, alivamiwa ghafla na watu wasiojulikana nyumbani kwake na kisha kutolewa nje ya nyumba yake na kuanza kupigwa na kitu chenye ncha kali hadi kupoteza maisha.

Kutokana na tukio hilo, alisema Luambano ambaye ni kaka wa marehemu, amekamatwa kwa mahojiano zaidi kutokana na madai kwamba siku za karibuni kumekuwapo na kutoelewana kati ya ndugu hao.

Alisema ugomvu huo ulisababishwa na Abeid kuchomewa nyumba yake aliyokuwa akiishi akimtuhumu kaka yake na mtoto wake aliyetajwa kwa jina la Msajiri kuwa walikuwa wakimfanyia vitu vibaya.

Mtoto huyo wa Luambano amekimbia na kutokomea kusikojulikana baada ya tukio hilo la mauaji. Kamanda maigwa alisema juhudi za kumtafuta zinaendelea.


Share:

Job Opportunity at Bariadi District Council-Watendaji wa kijiji

Bariadi is a town and ward in Simiyu Region of Tanzania, East Africa. It is the capital of Simiyu Region[1] and the administrative seat of Bariadi District. Village exacutive officers (2 posts) NEW Job Opportunity at Bariadi District Council | Mtendaji wa Kijiji Daraja la 111 | Deadline: 30th October, 2019.   Download the PDF attached below for… Read More »

The post Job Opportunity at Bariadi District Council-Watendaji wa kijiji appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Documentation Specialist -Job Opportunity at PCI Tanzania

Documentation Specialist Tanzania Deadline of this Job: 31th October 2019 JOB DETAILS: PCI Tanzania implements development programs in different regions in Tanzania and we are increasing the documentation outputs. This Documentation Specialist will support the development of high-quality documents to be shared with externa stakeholders. She/he will work with the technical teams to fully understand the specific programming… Read More »

The post Documentation Specialist -Job Opportunity at PCI Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Warehouse Officer Job Opportunity at Kibondo Tanzania

Warehouse Officer (INT5995) Contract Period: 6 Months Salary: Competitive Package in line with Oxfam Values Location: Kibondo, Tanzania Oxfam is a global movement of people working together to end the injustice of poverty. Background Oxfam in Tanzania envisions empowered citizens with reduced poverty, reduced inequality and injustice with especially women and young people having access to resources and… Read More »

The post Warehouse Officer Job Opportunity at Kibondo Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Monitoring, Evaluation and Learning Team Lead Job Opportunity at Abt Associates

Position: Monitoring, Evaluation and Learning Team Lead Abt Associates, a mission-driven, global leader in research and program implementation in the field of international development, seeks a qualified Monitoring, Evaluation and Learning (MEL) Team Lead for the anticipated USAID/Tanzania Public Sector Systems Strengthening Plus Activity (PS3+). The goal of the anticipated project is to institutionalize Government of Tanzania (GOT)… Read More »

The post Monitoring, Evaluation and Learning Team Lead Job Opportunity at Abt Associates appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Regional Sales Manager (2 Position) Job Opportunity Tanzania

Type: Full Time Category: Sales Location: – Other Categories: Energy & Utilities , Job Level: Manager Roles and Responsibilities Sales Targets • The Manager ensures that the Sales Teams in each region meet their Daily, weekly, Monthly quarterly and Annual sales targets; • Collaboratively sets targets and budgets with National Sales Manager; • Develops Sales pipelines to effectively… Read More »

The post Regional Sales Manager (2 Position) Job Opportunity Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania

Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania Purpose of the position: To coordinate the development of ENRICH project Gender and Advocacy strategy and oversee the implementation of the strategy. The gender specialist will be responsible for facilitating training on gender equality and Advocacy for staff and partners and for monitoring gender equality and advocacy results.… Read More »

The post Project Officer – Gender & Advocacy at World Vision Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technical Manager Job at Mbeya Water Supply and sanitation Authority 2019

Technical Manager Deadline of this Job: 05th Nov 2019 JOB DETAILS: Mbeya Water Supply and sanitation Authority (Mbeya WSSA) is an autonomous water supply organization mandated to provide water and sewerage disposal services within the urban area of Mbeya city. It was established in January 1998 under section 3(1) of Act No.8 OF 1997, repealed by Act No.12… Read More »

The post Technical Manager Job at Mbeya Water Supply and sanitation Authority 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger