Tuesday, 15 October 2019

Adolescent Sexual and Reproductive Health and Rights Analyst at UNFPA

Adolescent Sexual and Reproductive Health and Rights Analyst at UNFPA Deadline:29 October 2019 Level: NOB (ICS 09) Full-time Fixed-term Non Rotational One year fixed term (renewable based on performance) Purpose The ASRHR Analyst provides strategic support and guidance as part of a broader team in advancing key UNFPA interventions encompassing Adolescent and Youth Empowerment and Engagement; Sexual and… Read More »

The post Adolescent Sexual and Reproductive Health and Rights Analyst at UNFPA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Deputy of Education at Silverleaf Academy, October 2019

Deputy of Education at Silverleaf Academy, October 2019 Deadline Date: Wednesday, 23 October 2019 Organization: Silverleaf Academy Country: United Republic of Tanzania City: Arusha/Babati About Silverleaf Academy Silverleaf believes that quality education should be accessible to every child. We know education levels the playing field. We are Tanzania’s first chain of affordable pre-primary and primary schools, educating children aged 3-14. Our mission… Read More »

The post Deputy of Education at Silverleaf Academy, October 2019 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

LIVE: Rais Magufuli katua Jimboni kwa Nape Nnauye

LIVE: Rais Magufuli katua Jimboni kwa Nape Nnauye


Share:

Transport Officer at The United Nations Volunteers (UNV)

UN VOLUNTEER DESCRIPTION OF ASSIGNMENT TZAR000112–Transport Officer The United Nations Volunteers (UNV) programme is the UN organization that promotes volunteerism to support peace and development worldwide. Volunteerism can transform the pace and nature of development and it benefits both society at large and the individual volunteer. UNV contributes to peace and development by advocating for volunteerism globally, encouraging… Read More »

The post Transport Officer at The United Nations Volunteers (UNV) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Land Tenure Specialist, Africa, Dar es Salaam – Landesa Tanzania Program Office

Position Title:            Land Tenure Specialist Status:                        Regular, Full Time Location:                    Dar es Salaam / Landesa Tanzania Program Office Contract Duration:     Two Years, renewable subject to availability of funds Classification:            Exempt (Not Eligible for Overtime Pay) Job Summary:  The Land Tenure Specialist position includes informing public discourse on the issue of Land based Investments; influencing policy reforms and programmatic interventions; building… Read More »

The post Land Tenure Specialist, Africa, Dar es Salaam – Landesa Tanzania Program Office appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Assistant Food and Beverage Manager Job at Hyatt Hotels Corporation,

Assistant Food and Beverage Manager  Zanzibar Summary The Management of Park Hyatt Zanzibar is looking for Assistant Food and Beverage Manager to join the team and perform the below responsibilities. Main Duties Administration To assist in the revision and updating of the Outlet’s Departmental Operations Manuals. To attend weekly Food and Beverage and Department Head Meetings in absence… Read More »

The post Assistant Food and Beverage Manager Job at Hyatt Hotels Corporation, appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Event Sales Executive Jobs at Hyatt Hotels Corporation

Event Sales Executive Dar es Salaam Summary ” In Hyatt we care for people so they can be their best” Hyatt ensures associates working with them a chance to grow and explore at their best , You will be assisting the Event sales Manager to run the department in line with Hyatt International`s Corporate strategies and brand standards,… Read More »

The post Event Sales Executive Jobs at Hyatt Hotels Corporation appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Research and Innovation Hub Coordinator Jobs at International Rescue Committee

Requisition ID: req6503 Job Title: Research and Innovation Hub Coordinator Sector: Research & Development Employment Category: Regular Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: Yes Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Description IRC’s Research and Innovation (R&I) Unit brings together a multi-disciplinary team combining IRC’s commitment to rigorous research and evidence-based programs with new approaches to designing, testing and scaling… Read More »

The post Research and Innovation Hub Coordinator Jobs at International Rescue Committee appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Finance Manager Jobs Opportunity at Nature Conservancy

Finance Manager Kigoma, Tanzania a Little About Us Founded in 1951, the Nature Conservancy is a global conservation organization dedicated to conserving the lands and waters on which all life depends. Guided by science, we create innovative, on-the-ground solutions to our world’s toughest challenges so that nature and people can thrive together. We are tackling climate change, conserving… Read More »

The post Finance Manager Jobs Opportunity at Nature Conservancy appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

International Jobs at SADC – Programme Coordinator, Support to Industrialization and Productive Sectors (SIPS)

The Southern African Development Community (SADC) New International Jobs at SADC – Programme Coordinator, Support to Industrialization and Productive Sectors (SIPS) | SADC Jobs The SADC Secretariat invites suitably qualified, experienced, innovative, result oriented and self-driven individuals who are citizens of SADC to apply for the following positions tenable at SADC Secretariat Headquarters. Position title : Programme Coordinator,… Read More »

The post International Jobs at SADC – Programme Coordinator, Support to Industrialization and Productive Sectors (SIPS) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Waziri Biteko Akutana Na Wawekezaji Kujadili Changamoto Za Makaa Ya Mawe

Na Tito Mselem, Mwanza
Waziri wa Madini Doto Biteko amewatoa wasiwasi Wawekezaji wa Viwanda vinavyotumia Makaa ya Mawe na kuieleza Kampuni inayochimba Makaa ya Mawe ya TANCOAL kuwa hairuhusiwi kuongeza bei kiholela badala yake inatakiwa kuuza kulingana na bei elekezi iliyopangwa na serikali.

Kauli hiyo ilitolewa Septemba 15, 2019 na Waziri Biteko baada ya kukutana na wawekezaji wa Viwanda vya Saruji na Vigae kujadili changamoto za Makaa ya Mawe katika kikao kilichofanyika katika Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza.

Katika Kikao hicho kilichoongozwa na Waziri Biteko, kilihudhuriwa pia na Mkurugenzi wa huduma za Leseni wa Tume ya Madini Mhandisi, Yahaya Samamba, Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza Fredy Mahobe, Afisa Kodi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Venance Kasiki pamoja na wawekezaji wa viwanda vya Tanga Cement, Kada (T) Ceramics Company pamoja na Lake Cement Ltd.

Kampuni hizo tatu za Tanga Cement, Kada (T) Ceramics Company pamoja na Lake Cement Ltd. zinatumia kiasi kikubwa cha Makaa ya Mawe kwa matumizi ya kuyeyushia Mawe kwa ajili ya uzalishaji wa saruji na vigae ambapo zaidi ya nyuzi joto 2000 zinatakiwa ili kuyeyusha Mawe hayo ziliomba kukutana na Waziri wa Madini ili kueleza changamoto zao.

Hatua hiyo ilikuja kutokana na wanunuzi wakubwa wa makaa yam awe nchini kuwa na mvutano wa bei ya Makaa ya Mawe kati yao na mzalishaji wa Makaa hayo kampuni ya TANCOAL anayozalisha Mawe hayo katika eneo la Kitai Mkoani Ruvuma katika Mgodi wa Ngaka.

Mvutano huo ulianza mara baada Serikali kupitia Tume ya Madini Kuitaka Kampuni ya TANCOAL Kulipa deni lake la kiasi cha shilingi Bilioni 23.9 ambazo zilitokana na malimbikizo ya kutolipa mrabaha wa mauzo na usafirishaji wa Makaa hayo pamoja na adhabu ya asilimia 50 kuanzia Septemba 2011 mpaka Juni 2019.

Aidha, Waziri Biteko amezitaka kampuni hizo kuendelea na uzalishaji wa Saruji na Vigae bila kuhofia kupandishiwa bei kwa maana bei hazitapanda kiholela, ameeleza kuwa, Makaa ya Mawe kote nchi yatauzwa kulingana na bei iliyo elekezwa na serikali.

Imeonekana kwamba, deni la kampuni ya TANCOAL kuwa kubwa, kampuni hiyo imeonesha nia ya kupandisha bei kwanye Makaa ya Mawe ili kufidia deni wanalodaiwa na Serikali.

Kwa upande wake, Mdhibiti wa Fedha wa Tanga Cement, Issac Lupokela alimweleza Waziri Biteko kuwa, kitendo cha kupandishiwa bei na kampuni ya TANCOAL ni kama wanawaadhibu kutokana na ukweli kwamba hakuna mbadala wa kununua kwa wingi sehemu ingine makaa hayo baada ya serikali kusitisha uingizwaji wa Makaa ya Mawe nchini.

“Kipindi cha Nyuma tulikuwa tunanunua Makaa ya Mawe kutoka Afrika ya Kusini kwa kuwa Makaa yaliyokuwa yanazalishwa nchini hayakuwa na kiwango cha kutosha hivyo baada ya serikali kusitisha uingizwaji wa Makaa ya Mawe nchini, tulilazimika kushirikiana na kampuni ya TANCOAL ili kutoa elimu ya namna bora ya uzalishaji wa Makaa hayo, leo tunashangaa wameamua kutupandishia bei,” alisema Lupokela. 


Share:

Serikali Kulipa Mil 315.1 Za Wakulima Wa Muzia Amcos

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Rukwa
Serikali imetangaza dhamira yake ya kuwalipa wakulima 156 wa mahindi jumla ya Shilingi 315,118,510 kutokana na kuzulumiwa na mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Ndg Linus Kalandamwazye.

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga ametoa kauli hiyo tarehe 13 Octoba 2019 wakati akizungumza na wanachama wa Muzia Amcos Wilayani Kalambo wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya siku moja mkoani Rukwa.

Malipo hayo yatawahusu wakulima wa Tarafa ya Mwimbi yenye kata nne ambazo ni Mambwe Kenya, Ulumi, Mkombo na Mwazye kutokana na kupima mahindi yao zaidi ya Tani 622.679 kwenye Chama cha Muzia Amcos kilichopewa uwakala na serikali wa kununua mazao kwa wakulima tarehe 8 Agosti 2017 kwa makubaliano ya kulipwa ndani ya wiki tatu kutoka tarehe ya kupimwa lakini hawakulipwa mpaka sasa.

“Kesi ikiwa mahakamani serikali haiwezi kuingilia badala yake wakati tunaendelea na kesi hiyo ninaziagiza taasisi zangu tatu kuchanga fedha kwa ajili ya kuwalipa wakulima hao” Alikaririwa Mhe Hasunga

Alisema wanaotakiwa kuchanga fedha hizo kwanza ni Wizara ya Kilimo kwa kushindwa kulishughulikia jambo hilo kwa wakati ili wakulima hao waweze kulipwa fedha zao.

Ameiagiza pia Tume ya Maendeleo ya Ushirika kuchanga fedha hizo kwani wao ndio wasimamizi wa Vyama vya Ushirika lakini kwa kipindi chote wameshindwa kushughulikia changamoto hiyo ya wakulima.

Kadhalika, Mhe Hasunga Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula kuchangia fedha hizo.

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga alisema kuwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli haina dhamira ya kuwadunisha na kuwafedhehesha wananchi badala yake imejipambanua kuwanufaisha wakulima katika kilimo.

Alisema kuwa serikali imeamua kuwalipa fedha hizo wakulima ili kuendelea na uzalishaji bora wa mazao ya kilimo lakini kesi itakapomalizika serikali itazidai fedha hizo.

Mhe Hasunga amemuagiza Mrajisi Msaidizi wa Mkoa wa Rukwa kupanga vizuri madai ya wakulima hao huku akisisitiza kutoingizwa majina mapya (Majina Hewa) yasiyohusika na madai ya fedha hizo.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe Joachim Wangabo amempongeza Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) kwa kukubali kulivalia njuga jambo hilo kwa kuwalipa fedha hizo wakulima kwani kufanya hivyo kutarahisisha wakulima hao kuendelea na uzalishaji wa mazao katika msimu wa kilimo wa mwaka 2019/2020.

Amesema kuwa maamuzi hayo ya wizara kuamua kuwalipa wakulima huku taratibu zingine za kisheria ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua Mwenyekiti huyo zikiwa zinaendelea zimeibua ari na nguvu mpya katika kilimo.

Awali, akisoma taarifa ya malalamiko ya kutapeliwa fedha hizo katibu wa chama cha MUZIA AMCOS Ndg Geofrey Mbati amesema kuwa pamoja na kupeleka malalamiko katika maeneo mengi lakini ameishukuru Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa ushirikiano wa karibu katika kipindi chote cha kutafuta muarobaini wa malipo ya wakulima.

Alisema kuwa miongoni mwa maoni ya wakulima ilikuwa ni ombi la kupatiwa fedha hizo kwa ajili ya kuwanusuru kutokana na kadhia hiyo ya muda mrefu iliyopelekea kushindwa kulipa ada za wanafunzi shuleni, kushindwa kuwekeza tena kwenye kilimo pamoja na kushindwa kumudu gharama za maisha hali iliyopelekea kuishi maisha ya kifukara.

MWISHO


Share:

Lusinde: Kijana Mdogo,una miaka 22,huna kazi ya uhakika,huna mshahara lakini una mademu wanne ,wewe ni tatizo

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Mbunge wa jimbo  la Mtera mkoani Dodoma Livingstone Lusinde amewataka vijana kote nchini kujitathimini na kuachana na masuala ya anasa ikiwa ni pamoja na Umalaya na badala yake wawajibike katika kazi za kuwaletea maendeleo. 

Mhe.Lusinde amesema hayo jijini Dodoma akiwa mgeni Rasmi katika kongamano la  Vijana Mkoa wa Dodoma lililolenga kujadili mchango wa  Baba wa Taifa Mwl.Julus  Kambarage Nyerere ikiwa  taifa la Tanzania likifanya kumbukizi ya Miaka 20 tangu afariki dunia  mwaka 1999. 

Mbunge huyo amesema vijana wa siku hizi wamekuwa wakifanya masuala ya Umalaya na ukahaba na mambo mengine ya anasa wakiwa wadogo na kushinda baa badala ya kuwajibika katika kazi hivyo wanapaswa kubadilika. 

“Kijana Mdogo,una miaka 22,huna kazi ya uhakika,huna mshahara lakini una mademu wanne ,wewe ni tatizo,shida ni wewe,piga hela zote ulizotoa Guest na chipsi ni mtaji.Wewe ni tatizo kubwa,huwa ninaangalia sana mitaala ya elimu,wakati mwingine watoto tunawafundisha ujinga.Alisema. 

Mhe.Lusinde amesema kuna baadhi ya mambo vijana wanatakiwa kujitathimin na kufanya mambo makubwa na kwa kasi na kuacha kupoteza muda kupoteza fedha kwa kujiunga internet na kuchati kwenye Magroup ya Whatsaap yasiyokuwa na tija kwani ni kupoteza muda na badala yake watumie miundombinu iliyoachwa na   Mwalimu Nyerere katika kuwaletea Maendeleo. 

“Lazima kuna baadhi ya vitu unapaswa kugundua na kung’amua,lazima miundombinu tuifanyie kazi katika kutuletea maendeleo,kuna mambo mengine yanahitaji haraka,mtu anakwambia polepole ndio mwendo na wewe unakubali.huna shughuli,huna mshahara lakini una simu tatu unachati group hili hadi lile,wewe ni Poyoyo.Amesema. 

Hata hivyo,Mhe.Lusinde amewaasa  Vijana kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa kupambana na rushwa kwani rushwa hunyonya haki ya mtu. 

Aidha,Mhe.Lusinde amewataka vijana kujiandaa mapema pindi wanapotaka kufanya maendeleo na akatolea mfano mwanafunzi anayefaulu vizuri mtihani ni Yule aliyejiandaa mapema katika  na kudai kuwa ng’ombe hanenepi siku ya mnada. 

Kwa upande wake katibu wa  Vijana mkoa wa Dodoma Joel Makwaia  amesema Mwl.Nyerere alikuwa kiongozi Mzalendo wa Taifa na alijitolea kwa hali na mali ili kuhakikisha taifa linasonga mbele.


Share:

JPM Anamuenzi Nyerere Kwa Vitendo-RC Mtaka

Na Stella Kalinga, Simiyu RS
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema serikali ya awamu ya tano chini ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe inamuenzi Hayati Baba wa Taifa, Mwl Julius Kambarage Nyerere kwa vitendo hususani katika kuendeleza kazi nzuri alizozifanya.

Mtaka ameyasema hayo Oktoba 14, 2019 katika Kongamano la Kitaifa la Kumbukizi ya Miaka 20 ya Kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere lililofanyika Oktoba 14, 2019 Mjini Bariadi, likiwashirikisha viongozi wa Serikali, wananchi na baadhi ya viongozi wa CCM Mkoa wa Simiyu, UVCCM Simiyu, UVCCM kutoka mikoa mbalimbali nchini na ngazi ya Taifa(makao makuu).

“Mwalimu amepewa heshima ya kuenziwa ninyi  kizazi hiki mnashuhudia kwa macho, wapo watu wanasimuliwa tu kuwa ile barabara inaitwa ‘Nyerere road’, lakini hamkuwepo; leo mnajua kwamba hifadhi fulani inaitwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere, mnasikia Mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji wa  J.K. Nyerere,  Mhe.Rais amemheshimisha Mwalimu kwa vitendo,” alisema Mtaka

“Mwalimu aliamini katika Watanzania kufanya shughuli za kiuchumi  ikiwemo kilimo,  ufugaji na uvuvi  na akataka waongeze thamani katika shughuli hizo; ndiyo maana Mhe Rais ameanza kufufua viwanda vya nguo, viwanda vya korosho, viwanda vya kahawa na mengine aliyoyaacha Mwalimu, “ aliongeza Mtaka.

Aidha, Mtaka amemzungumzia Mwalimu Nyerere kuwa alikuwa kiongozi wa karne mwenye utu, maono na msimamo ambaye alijua wapi anapotoka na anapotakiwa kwenda kama kiongozi na aliyewaheshimisha Watanzania.

Katika hatua nyingine Mtaka ametoa wito kwa Vijana wa UVCCM  kuwaeleza ukweli na kuwashauri viongozi vijana ndani ya Serikali kufanya kazi zao kwa kuzingatia misingi ya uongozi na kuepukana na tabia ya kuweka urasimu wa kufikika na watu , ili viongozi hao watekeleze vema wajibu wao wa kuwatumikia wananchi na kumsaidia Mhe. Rais Magufuli katika majukumu aliyowapa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Mhe.Enock Yakobo amewataka vijana kumuenzi Hayati  Baba wa Taifa, Mwl. Julius K. Nyerere kwa kufanya kazi kwa bidii, ili wajiletee maendeleo kwa kuwa Mwalimu aliamini kuwa kazi ni kipimo cha uhai.

Naye Kaimu Katibu Idara ya Mahusiano ya Kimataifa na Vyuo Vikuu, Bi Asha Feruz amesema kwa kuwa vijana wengi wamezaliwa wakati Hayati Baba wa Taifa,Mwl. Julius K. Nyerere akiwa amefariki ni vema vijana hao wakasoma  vitabu, ili wajue historia ya mwalimu na waasisi wengine wa Taifa la Tanzania.

Mmoja wa Wajukuu wa Mwalimu Nyerere Chifu Edward Magige amesema pamoja na Watanzania kuendelea kukumbuka na kuenzi mambo mazuri yaliyofanywa na Hayati Mwalimu Nyerere ni vema pia wakaukumbuka mchango wa Mama Maria Nyerere katika kazi zilizofanywa na mwalimu.

Mbunge wa Jimbo la Itilima Mhe. Njalu Silanga ametoa wito kwa Vijana hapa nchini kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la orodha ya wapiga kura, ili waweze kuitumia vema haki yao kuchagua viongozi bora ikiwa ni namna mojawapo ya kumuenzi Baba wa Taifa kwa kuchagua viongozi watakaosimamia misingi ya uongozi aliyoiweka.

MWISHO


Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne October 15























Share:

Monday, 14 October 2019

Barabara ya Segera - Mkomazi yafunguliwa baada ya Mafuriko Kupungua

Barabara ya Segera - Mkomazi ambayo ilikuwa imefungwa tangu jana kutokana na barabara hiyo kujaa maji eneo la Mandera, imefunguliwa leo baada ya maji kupungua na Tanroads kuifanyia marekebisho.



Share:

Ongeza Nguvu Za Kiume, Maumbire Madogo Pamoja Na Tiba Mbalimbali

MASISA 3 POWER nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa muundo wa vidonge na unga  , Huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80)   Inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii)  inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa  tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoazaidi ya maratatu (3)bila hamu kuisha wara kuhisi kuchoka na  itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20-40

SUPER MONGERA  Hurefusha na kunenepesha maumbile madogo yaliosinyaa. Matatizi haya huchagizwa ama husababishwa na tumbo kuunguluma na kujaa gesi,ngili, kisukari, presha korodani moja kuvimba au kuingia ndani nk yote haya yanatibika kabisa na kupona kwa mad mfupi sana,

Pia ninadawa ya vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto na kupata nganzi, maumivu ya mgongo na kiuno 

Ni DR CHIPUPA  pekee mwenye uwezo wa kumrudisha mume , mke ,mchumb.

Kwa nini uhangaike na matatizo ya uzazi;   ninadawa ya uzazi kwa pandezote mbili, kupunguza unene kitambi ( nyama uzembe)        kuondoa makovu mwilini, kuzuia mimba kuharibika,kusafisha nyota,  kuzuia majini wachafu, pete ya bahati,

 wasiliana na DR. CHIPUPA 

Call+255 0620510598

watsap +255 0758840958

Huduma hii inakufikia popote ulipo


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger