
Wednesday, 28 August 2019
Video : MAANDAMANO YA KUSHINIKIZA KUACHIWA KWA NDEGE YA AIR TANZANIA ILIYOKAMATWA AFRIKA KUSINI YAANZA DAR

Airport Services Agent | Qatar Airways | Zanzibar
QR22059 – Airport Services Agent | Qatar Airways | Zanzibar Qatar Airways Welcome to a world where ambitions fly high. From experienced pilots to dynamic professionals embarking on new careers, Qatar Airways is searching for talented individuals to join our award-winning team. We take pride in our people—a dynamic and culturally diverse workforce is essential to why we… Read More »
The post Airport Services Agent | Qatar Airways | Zanzibar appeared first on Udahiliportal.com.
Franchise Manager Tanzania -The Coca-Cola Company
Franchise Manager Tanzania Location: Dar-es-Salaam, Dar es Salaam – TW Job ID: R-33078 Time Type: Full time Post Date: 8/27/2019 Post End Date: 8/27/2019 Represents the company to the bottlers in a country or group of countries; manages the day to day operations of the franchise incl. marketing and finance; provides commercial and franchise leadership to bottlers; partners… Read More »
The post Franchise Manager Tanzania -The Coca-Cola Company appeared first on Udahiliportal.com.
Waliosafirisha madini ya Bilioni 2 Walipa Faini ya Milioni 341 Kukwepa Kifungo Gerezani
Waziri Wa Mambo Ya Nje Na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi Ashiriki Mkutano Wa Mawaziri Wa TICAD Jijini Yokohama, Japan
Katibu Mkuu CCM Dkt. Bashiru ampongeza Askari aliyegoma kutumia salamu ya CCM
Tuesday, 27 August 2019
Jiji La Dodoma Latia Saini Katika Utekelezaji Wa Miradi Mikubwa Ya Maendeleo Ikiwa Ni Pamoja Na Mradi Wa Dodoma City Hotel
Jela Miaka 30 jela kwa kubaka Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 17 na kumpa mimba.
WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, MHE. UMMY MWALIMU , AZINDUA CHAMA CHA UREMBO NA VIPODOZI
Ugonjwa wa Zinaa wa Kisonono (gonorrhea) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga
- Kisonono (Gonorrhoea – “Gono” kama wengi wanavyopenda kuita kwa kifupi).
- Chlamydia
- Kaswende (Syphillis)
- Human papilloma virus (HPV)
- HIV/AIDS (Ukimwi/Upungufu wa kinga mwilini)
- Hepatitis B, C, A
- Herpes virus
- Trichomoniasis
- Bacteria Vaginosis
- Pubic lice (chawa kwenye nywele za kinena)
- Chancroid
- Vitendo vya ngono kama nilivyoeleza hapo awali
- Kuanza vitendo vya ngono mapema au wakati wa umri mdogo
- Kuwa na wapenzi wengi
- Kufanya mapenzi ambao sio salama
- Maambukizi kupitia michibuko au sehemu zilizokatika kwenye ngozi kwa kugusana na majimaji ya aina yoyote yanayotoka kwa mtu mwenye ugonjwa wa zinaa kama damu, shahawa nk. Hii inaweza kutokea bila mtu kujua kwani mara nyingi dalili za magonjwa ya zinaa zinakuwa hazionekani kwa wanawake na hata baadhi ya wanaume.
Soma pia: Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa
Soma Pia: Ugonjwa wa Zinaa wa Kaswende (Syphilis) : Dalili Zake, Madhara Yake Na Jinsi Ya Kujikinga
- Kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa (burning sensation)
- Kutokwa na majimaji ya njano au meupe au ya kijani kutoka kwenye uume yanayoambatana na maumivu makali sana
- Wakati mwengine maumivu au kuvimba kwa korodani (swollen testicles)
- Maambukizi yakiwa kwenye puru (rectum) huambatana na maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa, kuwashwa sehemu za haja kubwa, na hata haja kubwa inaweza kutoka ikiambatana na damu, hii inatokea kwa wanaume na wanawake.
- Maumivu au kuhisi kama kichomi wakati wa kukojoa
- Kuongezeka kwa kutoka majimaji kutoka kwenye tupu ya mwanamke ambayo ni ya njano au yamechanganyika na damu
- Kutokwa na damu kupitia tupu ya mwanamke kabla ya hedhi kufika.
- Kutokwa na damu baada ya kujamiana au baada ya tendo la ndoa
- Kichefuchefu
- Homa (fever)
- Kutapika
- Swab for culture – Kipimo hiki hufanyika maabara kwa kupandikiza bakteria baada ya kufuta sehemu za siri kwa kutumia swab ili kuona kama kuna bakteria wanaosababisha gono.
- Polymerase Chain Reaction (PCR) – Kipimo cha kuangalia vina saba (DNA) ya bakteria, ni ghali sana.
Soma Pia: Saratani ya tezi dume : Madhara Yake, Dalili Zake, Chanzo na Tiba Yake
- Kutoweza kuzaa kwa mwanamke (tasa) au kutoweza kutungisha mimba kwa mwanamume (infertility)
- Huweza kuathiri moyo (heart valves), ubongo,ngozi nk ambayo ni hatari sana kwa mtu yoyote.
- Madhara kwenye sehemu za maungio au jointi (joint inflammation)
- Kwa wanawake wale ambao hawajatibiwa wanaweza kupata ugonjwa wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) ambao huongeza asilimia ya mwanamke kuwa tasa.
- Wale wanawake ambao ni wajawazito na wameambukizwa gono wako kwenye hatari ya mimba kutoka au kuzaa mapema kabla mimba haijatimiza umri wake (preterm labor).
- Kwa wale wanaoambukizwa gono kipindi cha kukaribia kujifungua, wanaweza kuwaambukiza watoto wao na hivyo watoto kupata ugonjwa wa uti wa mgongo (meningitis), kuwa kipofu (blindness), homa ya mapafu (pneumonia) na ugonjwa wa mifupa (septic arthritis).
- Kutumia kondomu wakati wa kujamiana
- Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
- Kuacha vitendo vya ngono kama matumizi ya vifaa vya ngono hasa kwa wanawake mfano vibrators nk.
- Kwa wanawake wajawazito – Hakikisha unahudhuria kliniki mapema ili upate kuchunguzwa na kupatiwa tiba muafaka kama utagundulika na ugonjwa wa gono au ugonjwa mwengine wowote.
- Wanawake wajawazito wanashauriwa kujifungulia hospitali ili kama mtoto ameathirika na gono apate matibabu ya haraka baada ya kuzaliwa kuepusha kuwa kipofu.
- Epuka kufanya ngono na mtu aliyeambukizwa gono.
Tatizo la Kutokwa na usaha Wakati wa Kukojoa
- Ugonjwa wa mfumo wa mkojo (UTI)-Maambukizi kwenye figo, kwenye mrija wa mkojo na kwenye kibofu cha mkojo (cystitis- amabayo huonekana sana)
- Magonjwa ya Zinaa-Kama ugonjwa wa kisonono au ‘’gono’’ kama wengi wanavyoita, ugonjwa wa Chlamydia na Trichomoniasis
- Sumu inayotokana na kemikali (Chemical poisoning) kama 4-Aminodiphenyl inayotumika kwenye maabara na kwa ajili ya tafiti
- Tatizo linajulikana kama Reiter’s syndrome
- Pyelonephritis-Maambukizi ya bakteria kwenye sehemu za figo zinazojulikana kama calyces, renal pelvis na tishu za figo
- Madhara ya pyelonephritis ambayo husabababisha ugonjwa unaojulikana kama renal abscess
- Maambukizi kwenye tezi dume-Prostatitis (Kwa wanaume)
- Upungufu wa kinga mwilini
- Mcharuko (Inflammation) kutokana kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
- Mzio (Allergy) au kuota uvimbe sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo
- Maumivu makali ya kuchoma (Painful burning sensation) wakati wa kukojoa
- Maumivu chini ya kitovu
- Homa
- Kutapika
- Urinalysis – Kipimo cha mkojo
- Urine for culture and sensitivity - Kipimo cha kuangalia bakteria kwenye mkojo
- Complete blood count – Kipimo cha kuangalia wingi wa damu na chembechembe za damu (husaidia kuonyesha kama kuna maambukizi kwenye mwili)
- Blood culture - Kuangalia kama kuna maambukizi kwenye damu
- Prostate –Specific Antigen (PSA) Test-Kipimo cha tezi dume
- Kipimo cha mionzi ya X-ray - Huonyesha kama tatizo ni kubwa sana
- Kipimo cha ultrasound
- Kipimo cha CT scan au MRI - Husaidia kuonyesha kama tatizo hili lipo ndani ya tishu za figo (Intra-renal abscess) au nje ya tishu za figo (Extra-renal abscess)
- Kutosafisha vizuri sehemu za siri baada ya kujisaidia haja ndogo
- Kujamiana na mtu mwenye maambukizi ya ugonjwa wowote wa zinaa
- Ugonjwa wa kisukari
- Madhara yanayotokana na kutumia mpira wa mkojo - Kwa wale wote waliowekewa mpira huu wa mkojo (catheter)
- Saratani ya kwenye mfumo wa mkojo au sehemu za siri
- Matumizi ya dawa za jamii aina ya Non-steoridal anti-inflammatory drugs (NSAIDS) au madawa yanayopunguza kinga mwilini (Immuno-suppressant medications) kwa muda mrefu
- Kuvimba kwa tezi dume
- Tiba hutegemea na chanzo cha tatizo hili
- Dawa za kutibu vimelea (antibiotics)
- Matibabu ya mawe kwenye kibofu cha mkojo au kwenye figo
- Kunywa maji kwa wingi mara kwa mara ili kusaidia kutoa chembechembe za usaha kupitia njia ya haja ndogo-Ikumbukwe ya kwamba maji sio tiba
Bara La Afrika Lataka Kuwezeshwa Kujitegemea
Wimbo wa TETEMA Wa Rayvanny na Diamond Platnumz Wapigwa Marufuku Kenya
Mbali na Tetema, wimbo mwingine uliopigwa marufuku kupigwa maeneo hayo ni Wamlabez wa msanii Sailors wa nchini Kenya.
Kiongozi wa Bodi ya Filamu nchini Kenya (KFCB), Ezekiel Mutua amesema sababu ya kuzizuia nyimbo hizo ni kuwa na maudhui yanayokwenda kinyume na maadili.
"Maneno katika nyimbo hizo ni uchafu na hayafai kusikilizwa hadharani hususan mahali ambapo kuna watoto wanaoweza kuwa wanasikiliza maneno au kuona mtu akicheza. Nyimbo zote mbili ni ponografia halisi ," ameandika bwana Mutua.
"Japo hatuzipigi marufuku kwasababu zinaimbwa kwa mtindo wa mafumbo , ni muhimu kwa umma kufahamu kuwa nyimbo hizi ni chafu, na hazifai kuchezwa mahala penye mchanganyiko wa watu wa rika tofauti. Acha zipigwe kwenye vilabu , kwa ajili ya watu wazima pekee !" aliandika.
Hata hivyo haijafahamika ni vipi agizo la Bwana Mutua litatekelezwa na bodi ya udhibiti wa maudhui ya kiusanii.
Usisumbuke Tena na Tatizo la Nguvu za Kiume....Soma hii
Ofisi zetu zinapatikana DAR ES SALAAM, SONGEA - BOMBAMBILI, SHINYANGA - KAHAMA MJINI. na pote pale ulipo utaipata huduma hii,kama huna nafasi utaletewa hulipo.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR. MACHIMKENDA simu no, 0717 339 771AU 0763 172 670whatsApp 0621998653






























