Friday, 18 January 2019

Live: Rais Magufuli Katika Makabidhiano Ya Mtambo Wa Kusimamia Mawasiliano Ya Simu (TTMS)

Live: Rais Magufuli Katika Makabidhiano Ya Mtambo Wa Kusimamia Mawasiliano Ya Simu (TTMS)


from MPEKUZI http://bit.ly/2T1RlgK
via Malunde
Share:

Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Chanzo Chake

Tambua Dalili Za Kupungikiwa Nguvu Za Kiume Na Uume Kuwa Mdogo Na Chanzo Chake;dalili za mwanaume kupungukiwa nguvu za kiume ni kama vile 1. mwanaume mpaka amwambie mke au mpenzi wake naomba ushike  ili usimame 2. ,kushindwa kurudia tendo,3.  kusimama na kuwa legelege 4,kuisha nguvu au kuanguka ukiwa ndani ya tendo 5,kuwai kukojoa kabla  ya mke au mpenzi wako .

NI NINI CHAZO CHA KUISHIWA NGUVU ZA KIUME,1,magonjwa ya moyo,presha,kisukari 2,usongo wa mawazo 3, utumiaji holela wa madawa  4 uume kukosa vichocheo ambavyo usababisha damu isiwe na mzunguko mzuri

NI NINI KINASABISHA UUME KUWA MFUPI? 1 unene kupita kiasi 2 kuumwa na chango hasa chini ya kitovu 3 kuvaa nguo za kubana sanasana ni wakati wa usiku,4 kufanyiwa tohara ukubwani,

SUPER MAJINJAS; ni dawa ya nguvu za kiume ambayo itakufanya urudie tendo zaidi ya Mara tatu pia itakufanya uchelewe kufika kilele dakika 10-15 kwa tendo la kwanza 

MANGUNGU NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upenda ichi 5,6,7,na 8 kwa urefu na unene wa sm 1-5 za upenyo dawa zetu ni ukweli na uhakika ni tofauti na ulizowai kutumia ni dawa za miti shama za vidonge unga na maji ,

ISENYE; ni dawa ya kisukari ambayo utibu kabisa tatizo dozi yake siku 21 pia ipo dawa ya uzazi 

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA morogoro yupo wakala maeneo ya stendi kuu mwanza yupo mtaa wa biza c mbeya yupo mbalizi ,na kahama mjini piga simu 0744040721. 0683645920 Dr BRUNO na utaletewa popote ulipo


from MPEKUZI http://bit.ly/2FArV6N
via Malunde
Share:

Super Mkongo: Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume

********************************
SUPER MKONGO MPYA,
_______________________________
********************************
Ni dawa bora ya kutibu na kumaliza matatizo yote ya nguvu za kiume na sababu zake zote kama vile,

- kuwahi kufika kileleni dakika moja ushakojoa
- maumbile kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- kushindwa kurudia tendo la ndoa
- uume kusimama kwa kulegea
- uume kulegea katikati ya tendo
- kuathirika kwa kujichua kwa muda mrefu
- kuishiwa nguvu kutokana na punyeto.

Epuka aibu hii leo kwa kutumia SUPER MCONGO MPYA, kiboko ya matatizo haya.
_______________________________
Pia kuna MCONGO POWER Kiboko ya uume mdogo inaboresha maumbile ya uume kwa kurefusha na kunenepesha kwa saizi uipendayo haijalishi umri hata kwa walioathirika na upigaji punyeto.
_______________________________
Kwanza fahamu sababu zinazopelekea kuwa na upungufu wa nguvu za kiume na uume mdogo.
_______________________________
(1) kujichua (punyeto) kwa muda mrefu maana hupelekea misuli ya uume kulegea.
(2) ngiri
(3) kuugua chango la uzazi kwa muda mrefu.
(4) kupungukiwa hormone za testosterone.
(5) ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi na visivyo na virutubisho  vya kutosha.
(6) kutokufanya mazoezi na mwenendo wa maisha.
(7) kisukari.
(8) tumbo kuunguruma na kujaa gesi.
(9) maumivu ya kiuno nk.
_______________________________
Kwanini uhangaike? Kwanini uhuzunike?
Hii ni spesho kwa waliotumia madawa mengi bila kufanikiwa hakika hautajuta kuitumia. _______________________________
WASILIANA NA:
DR. MCONGOMANI
SIMU NO:
📞0658816558
📞0682323682
Popote ulipo huduma hii inakufikia
_______________________________
********************************


from MPEKUZI http://bit.ly/2FFGmG4
via Malunde
Share:

Tiba Asilia ya Tatizo la Nguvu za Kiume

Kifaru vidonge asilia hurefusha maumbile ya kiume nchi 6-8 dk 60 garantii mika 30- 40 .itakupa nahamu ya kufanya tendo la ndoa mara 4- 5 bila kuchoka au hamu kuisha, ina imalisha misuri  ya uume  na haina madhara kwa mtuaji

Malelemba; inatibu presha kisukari, ngili, busha bila uperesheni, kiuno, kutopata choo vizuri, vidonda vya tumbo miguu kuwaka moto, kisosono

Jirumba; kumvuta mume mke mpenzi mchumba kwa masaa 3 yoyote unae mtaka  uta mpata ..acha kuumiza roho bure hatakama una fanya nae kazi sehemu moja ila unaogopa kumuanza au muone mzee jirumba atakusaidia

Fika mbagara kwa wa mikoani shinyanga kahama mwanza kwa mawasiano piga 0713560943 /0762540447 dr jirumba


from MPEKUZI http://bit.ly/2QTpspj
via Malunde
Share:

Wimbo Mpya wa Vanessa Mdee- Thats for me

Wimbo Mpya wa  Vanessa Mdee- Thats for me


from MPEKUZI http://bit.ly/2DhAZeI
via Malunde
Share:

Waziri Wa Kilimo Aiagiza Bodi Ya Tumbaku Kuhakikisha Tumbaku Yote Itakayovunwa Msimu Huu Inauzwa Ifikapo Juni 2019

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Tabora
Bodi ya Tumbaku nchini imeagizwa kuhakikisha kuwa Wakulima wote wa zao hilo wanasajiliwa katika mfumo unaoeleweka kwani hilo ni lengo la haraka la Wizara kwa taasisi zote la kuwasajili wakulima wote nchini ili kujua kiasi cha maeneo wanayolima.
 
Hayo yameelezwa jana tarehe 17 Januari 2019 na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa mwaka wa wadau wa sekta ndogo ya Tumbaku katika ukumbi wa Mwanakiyungi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora.
 
Mhe Hasunga ameitaka Bodi ihakikishe kwamba tumbaku yote itakayovunwa msimu huu inauzwa ifikapo Juni 2019 sambamba na kuagiza masoko kuwahi kuanza msimu huu ili kurahisisha kuanza mapema maandalizi ya zao hilo msimu wa 2019/2020.
 
Vilevile Waziri Hasunga ameagiza upatikanaji wa pembejeo kwa wakati. “Hili linaenda sambamba na utekelezaji wa Agizo la Mhe: Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb) – Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuhakikisha unakuwepo utaratibu wa kumwezesha mkulima anajitegemea kwa pembejeo ili aache kuwa tegemezi wa mikopo ya mabenki” Alikaririwa Mhe Hasunga
Mhe Hasunga alisisitiza kuwa lazima Bodi kutilia mkazo malengo ya muda mrefu kwenye Tumbaku ambayo ni pamoja na utafutaji wa masoko (mhakikishe mnapata wanunuzi wengine wapya ifikapo 2022), Kuhakikisha kuwa kwa ubia au ushirikiano uliopo kijengwe kiwanda kipya cha kuchakata tumbaku ili kutoa ushindani wa gharama za uchakataji wa tumbaku nchini, Kuongeza ubora wa zao kutoka asilimia 87 ya sasa hadi asilimia 92 ifikapo June 2022 na Kuongeza mbegu mpya na bora za tumbaku ili kuweza kupenyeza katika masoko ya nchi zingine kama China n.k.
 
Tumbaku ni miongoni mwa mazao makuu matano ya kimkakati ya biashara katika Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Mhe: Dkt. John Joseph Pombe Magufuli – Rais waJamhuri ya Muunganowa Tanzania. Mazao hayo ni Tumbaku,  Kahawa, Pamba, Korosho, na Chai.  Takwimu zinaonesha kwamba kwa kipindi cha zaidi ya miaka 10 hadi  kufikia mwaka 2016  tumbaku imekuwa na mchango mkubwa kuliko mazao mengine makuu ya biashara kwa kuliingizia taifa fedha nyingi za kigeni.
 
“Natambua juhudi mnazofanya katika hifadhi ya mazingira. Lakini mnatakiwa muongeze juhudi kwani taarifa zinaonesha kuwa hadi kufikia msimu wa kilimo uliopita wa 2017/2018 wastani wa miti iliyopona baada ya kupandwa na wakulima ni asilimia 40.46 tu, kiwango hiki hakiridhishi maana kiko chini mno” Alikaririwa Mhe Hasunga
 
Alisema Ili uzalishaji wa tumbaku uwe katika mtazamo wa kibiasharawataalam mnapaswa kuwaelimisha wakulima ili waelewe kwa dhati umuhimu wa  kuzingatia taratibu za kilimo cha tumbaku (Compliance).
 
Alisema kuwa Baadhi ya wakulima katika vyama vya msingi vya ushirika wameshindwa kulipwa malipo yao kutokana na vyama kuwa na madeni yasiyokuwa wazi na yasiyolipika. Hali hii imesababishwa na ubadhirifu wa baadhi viongozi na watendaji wasio waaminifu katika ushirika, utoroshaji na ulanguzi wa tumbaku.
 
Moja ya maeneo yanayojadiliwa katika mkutano huo ni pamoja na masuala yanayohusu hatua za kutatua changamoto za kulikomboa zao la tumbaku na kulipa sifa zinazohitajika katika soko la dunia. Mfano wa masuala hayo ni pamoja na Wingi na ubora wa zao, Kuongeza tija, Malipo stahili kwa wakulima, Utunzaji wa Mazingira na Kuzuia utumikishwaji wa watoto.
 
Kupitia mkutano huo Waziri wa Kilimo amebainisha kuwa Serikali iko thabiti kusimamia uendelevu na uzalishaji wenye tija wa zao la tumbaku kama zao mojawapo la biashara la kimkakati. Ni kwa msingi huo, Serikali inaendelea na jitihada za kupata ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili tasnia ya tumbaku.
 
“Tarehe 28-30/12/2018 niliwaita viongozi wa Bodi za mazao ikiwa ni pamoja na Bodi ya Tumbaku na kuwapa malengo ya muda mfupi (Januari – Juni, 2019) na mrefu (Julai – Juni, 2022) ni pamoja na nyie wadau katika nafasi zenu mshirikiane ili kuhakikisha malengo hayo yanatekelezwa” Alisisitiza
 
Naye Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe Agrey Mwanri alisema kuwa mkutano huo maalumu wa mwaka wa wadau wa Tumbaku ni mkutano ambao upo kwa mujibu wa sharia ya sekta ya Tumbaku Na 24/2001 kifungu cha 49 cha marekebisho ya sheria yam waka 2009 ambao imeweka ulazima wa wadau kukutana walau mara moja kwa mwaka kujadili masuala mbalimbali ya kuendeleza sekta hii na kutatua changamoto zilizopo na kukubaliana utaratibu wa ugharamiaji wa majukumu ya pamoja ambayo yameainishwa na sharia ya sekta ya Tumbaku.
 
Alisema uwepo wa mkutano huo umekuwa miongoni mwa mikutano yenye tija kwa kukutanisha madau wote na kuwa na mikakati ya pamoja, kuongeza ufanisi wa masoko ya Tumbaku, na uhai wa kutunza mazingira kwa kupanda miti kwa pamoja.
 
Kwa upande wake Mzee Hassan Wakasuvi, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa bodi ya Tumbaku akitoa taarifa ya utangulizi wakati wa mkutano huo alizitaja changamoto mbalimbali zinazoikabili sekta ya Tumbaku kuwa ni pamoja na kutokuwepo kwa mkakati utakaotekeleza na shirikishi  wa uhifadhi wa mazingira, kuchelewa kwa upatikanaji wa mikopo ya pembejeo kwa ajili ya kununua pemebejeo za kilimo.
 
Zingine ni utaratibu wa upatikanaji wa bei ya zao la Trumbaku katika kuhakikisha kuwa bei inapatikana mapema na kwa wakati, kushuka kwa mahitaji ya Tumbaku katika soko la Dunia, Kushuka kwa ubora wa Tumbaku ambao unachangiwa na masuala mbalimbali, Vita dhidi ya matumizi ya Tumbaku Duniani na kuboreka kwa bei ya pembejeo.
 
Sambamba na hayo pia ameishukuru serikali kwa mchango wake kwenye sekta ya Tumbaku kwa ushirikiano inaouonyesha katika suala la kuhakikisha kuwa wanapatikana wasambazaji wa pembejeo za kilimo na kufanikiwa kupunguza bei ya pembejeo za kilimo kwa msimu wa mwaka 2018/2019.


from MPEKUZI http://bit.ly/2Di68P5
via Malunde
Share:

UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAKAA YA MAWE NA CHUMA LIGANGA KUANZA RASMI.

Na, Mwandishi wetu Wizara ya Madini imesema itashirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kupitia Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) kuweka msukumo ili kuhakikisha kwamba miradi ya Makaa ya Mawe Mchuchuma na ule wa Chuma Linganga inaanza kutekelezwa. Kauli hiyo ilitolewa Januari 16 na Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli za madini mkoani Njombe na kuona namna ya kutatua changamoto zinazohusu Wizara ya Madini katika utekelezaji wa miradi hiyo. Alisema miradi hiyo ni moja ya miradi ya kimkakati ambayo Taifa linatarajiwa…

Source

Share:

Wimbo Mpya: Alicios - Nitadata

Wimbo Mpya:  Alicios - Nitadata


from MPEKUZI http://bit.ly/2W8Pn0e
via Malunde
Share:

Wizara ya Madini Kuweka Msukumo Miradi Ya Liganga, Mchuchuma

Na Asteria Muhozya, Ludewa
Wizara ya Madini imesema itashirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kupitia Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) kuweka msukumo ili kuhakikisha  kwamba miradi ya Makaa ya Mawe Mchuchuma na ule wa Chuma Linganga inaanza kutekelezwa.

Kauli hiyo ilitolewa Januari 16 na Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli za madini mkoani Njombe  na kuona namna ya kutatua changamoto zinazohusu Wizara ya Madini katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Alisema miradi hiyo ni moja ya miradi ya kimkakati ambayo Taifa linatarajiwa kunufaika kwa kiasi kikubwa, hivyo kutokana na umuhimu wake, wizara ya madini itashirikiana na wizara hiyo kuhakikisha hatua zaidi zinapigwa ili hatimaye miradi hiyo ianze kutekelezwa kwa kuwa imechukua muda mrefu.

Aliongeza kuwa, ni miradi mikubwa ambayo taifa linatarajiwa kunufaika nayo  kupitia ajira na kuongeza pato la nchi huku akiyataja madini ya chuma kuwa moja ya malighafi muhimu kwa uchumi  wa Tanzania ya viwanda na kusema kuwa, kama taifa, linautolea macho mradi huo na kwamba serikali imedhamiria kuutekeleza.

Aliongeza kwamba, katika Serikali ya Awamu ya Tano, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli anayo imani kubwa  kuwa miradi hiyo itaanza huku serikali ikitegemea kupeleka maendeleo kwa wananchi kupitia miradi husika.

“Wizara yetu ndiyo inatoa leseni za madini na tayari tulishatoa leseni ya Makaa ya mawe mchuchuma kwa hiyo nimefika kuangalia changamoto ambazo ziko upande wa wizara yetu kuweza kuzitatua ili tutoke hapa. Miradi hii tumeisikia miaka mingi ni wakati sasa tunataka ianze.” alisisitiza Nyongo.

Aliongeza kuwa, ikiwa wizara ndiyo inatoa leseni za madini,  inaowajibu wa kujua yule aliyepewa leseni kama anaifanyia kazi na kuongeza, “Sisi tuliotoa leseni lazima tuangalie tuliyempa leseni amekwama wapi  lakini pia tujue miradi hii inaanza lini? Makaa ya mawe na chuma vyote vinahitajika kwa taifa. Tunatambua makaa ya mawe ni madini ambayo yana tija kwa uchumi kwa nchi,” alisema Nyongo.

Akifafanua zaidi kuhusu miradi hiyo alisema kuwa, mradi wa Makaa ya Mawe unatarajiwa kuzalisha umeme ambao mbali ya kuuza kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), umeme huo unatarajia kutumika katika kuzalisha madini ya Chuma Liganga.

“ Mpango ni Liganga kutumia megawati 250 kwa shughuli zake za kuzalisha chuma na megawati 350 zitauzwa Tanesco kuzalisha umeme,” aliongeza.

Akifafanua sababu za kuchelewa kwa miradi hiyo, alisema ni kutokana na changamoto za kimkataba ambazo bado ziko katika majadiliano katika ngazi za juu na kuitaja baadhi ya mikataba hiyo kuwa ni  kuwa ni pamoja na mikataba ya upunguzaji wa kodi.

Aliongeza kuwa, wizara ya madini ikiwa ni wizara ambayo inasimamia Sheria ya Madini, imelenga kuhakikisha kwamba miradi hiyo mikubwa inaanza ili hatimaye iweze kuwanufaisha watanzania na taifa.

Akielezea suala la fidia kwa wananchi waliopisha miradi hiyo, alianza kwa kumpongeza Mkuu wa Wilaya ya Ludewa kwa kutenganisha suala la miradi hiyo na fidia  ambapo alisema kwamba taratibu za juu zikikamilika, wananchi watalipwa fidia na hivyo kuwataka kuwa na subira na kuwa tayari kupisha utekelezaji wa miradi hiyo.

Awali,  Mkuu wa Mkoa wa Njombe , Christopher Ole Sendeka alimweleza waziri umuhimu wa wizara ya madini kujielekeza  kwenye kupata taarifa halisi kuhusu tafiti zilizofanyika awali kuhusu akiba iliyopo ya madini ya chuma Liganga na Makaa ya Mawe mchuchuma.

Aidha, aliongeza kuwa, mbali na chuma na makaa ya mawe mkoa huo unayo madini mbalimbali ikiwemo dhahabu ambayo bado haijachimbwa kwa kiasi kikubwa.

Miradi ya Makaa ya Mawe Mchuchuma na Chuma Liganga, inatekelezwa kwa ubia kati ya Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) na kampuni ya Sichuan Hongda Group Ltd, ya China.

Pia, akiwa mkoani humo, Naibu Waziri alitembelea mgodi wa Kokoko Kokoto wa Nyakamtwe Quary, ambapo alitoa changamoto kwa mmiliki wa mgodi huo kuongeza kasi ya uzalishaji na kuwa wabunifu kutumia fursa  za miradi mikubwa ya ujenzi inayotekelezwa na serikali ikiwemo ya ujenzi wa reli ili kokoto hizo ziweze kutumika.


from MPEKUZI http://bit.ly/2VZbx4W
via Malunde
Share:

Video Mpya ya Nay Wa Mitego - Mbele Kwa Mbele

Video Mpya ya Nay Wa Mitego - Mbele Kwa Mbele


from MPEKUZI http://bit.ly/2DhXgsI
via Malunde
Share:

Wimbo Mpya wa Ben Pol - Wakuone

Wimbo Mpya wa Ben Pol - Wakuone


from MPEKUZI http://bit.ly/2MlF4S4
via Malunde
Share:

WAKAZI WA WAZO NA VITONGOJI VYAKE WAPATA MAJI, WAZIRI PROF. MBARAWA AWAPA DAWASA KONGOLE


Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (mwenye kofia) akishuhudia utokaji wa maji eneo la Kata ya Wazo mara baada ya kukamilika kwa tanki kubwa litakalowapatia maji kwa kipindi cha mwaka mzima bila kukatika.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (mwenye kofia) akiongea na wananchi waliojitokeza kuchota maji.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (mwenye kofia) akiongea na wananchi waliojitokeza kuchota maji huku akitoa maelekezo ya kuuza maji kwa tsh. 50 kwa ndoo.
Maji yakitoka.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa (mwenye kofia) akipata maelezo toka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja.

Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG.

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA) imeanza kuwasambazia maji wananchi wa Kata ya Wazo na vitongoji vyake ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotoa jumapili Jan 13, 2019.

DAWASA imewekeza na imejenga tanki kubwa lenye uwezo wa kihifadhi lita milioni sita itakayofanya wakazi wa kupata maji kwa kipindi chote bila mgao.

Akizungumza na wananchi mara baada ya kumaliza kazi na kuwapatia wananchi maji, Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Makame Mbarawa amewaomba wasimamizi wa vizimba (Maduka ya kuuzia maji) kuuza maji kwa tsh. 50 kwa ndoo na si tsh. 100 kama ilivyokuwa awali.

"Leo mnafurahi kufunguliwa maji ila naomba muuze maji tsh. 50 kwa ndoo, sitaki kuona wananchi wanalalamika eti bei kubwa, mimi ndiyo msimamizi naomba mtekeleze mkumbuke na kulipa ankara zenu za maji ili DAWASA waweze kuwahudumia vyema," amesema.

Mwishoni kwa wiki iliyopita DAWASA kupitia Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja mbele ya wananchi akiwemo Mkuu wa Wilaya Kinondoni Daniel Chongolo, aliwaahidi wakazi wa kata ya Wazo na vitongoji vyake kuanzia wiki hii maji watapata bila mgawo wowote.
Share:

Viwanja vya Makazi Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Viwanja vya Makazi, Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Kwa Mapinga (Baobab sec), vipo Viwanja kuanzia ukubwa wa 20/20 (sqm 400) bei milion 5, ukubwa 20/30 (sqm 600) bei milion 8, ukubwa wa 20/40 (sqm 800) bei milion 10, ukubwa wa 30/40 (sqm 1200) bei milion 16, sqm 1959 bei milion 25, sqm sqm 2386 bei milion 31.
 
Viwanja hivi viko umbali wa km 2 tu kutoka main road (Bagamoyo Road). Viwanja vyote vina miundombinu ya barabara (lami), umeme na maji.
 
Ruksa kulipa kwa awamu 2 (awamu ya kwanza ni 75%) na bei itapungua kwa mteja anayelipa kwa awamu moja tu (mkupuo).

Kwa Bunju B, kipo Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 1800 na tayari kina msingi imara wa ghorofa, kina view nzur ya kuona Bahari. Kipo mita 500 tu kutoka Main Road (Bagamoyo Road). Bei ya property hii ni tsh 85 milion, Negotiable.

Hakuna dalali/udalali, contact mhusika, call 0758603077, whatsap 0757489709
 
Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.


from MPEKUZI http://bit.ly/2Cx1qLx
via Malunde
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya January 18




from MPEKUZI http://bit.ly/2Dg4nlw
via Malunde
Share:

HABARI KUBWA KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA LEO JANUARI 18,2019.

Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Januari 18, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Source

Share:

SUALA LA POLISI KUWAVIZIA NA KUWAFUKUZA BODABODA KAGERA SASA BASI.

Na: Mwandishi wetu-Bukoba. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti aweka wazi mikakati yake ya kuwafanya Waedesha Pikipiki maarufu kama Bodaboda Mkoani Kagera hasa katika Manispaa ya Bukoba kuwa mojawapo ya Utalii katika Mji wa Bukoba na bodaboda hao kufanya kazi zao kiueledi na kwa kuinua vipato vyao huku wakijishughulisha na ujasiliamali katika vikundi vyao. Ni baada ya Mkuu wa Mkoa Gaguti kukutana na Bodaboda katika Ukumbi wa Linas Night Club Manispaa ya Bukoba Januari 17, 2019 na kuongea nao ambapo aliweka wazi ni jinsi gani atahakikisha…

Source

Share:

Thursday, 17 January 2019

OPARESHENI YA UKUSANYAJI MAPATO JIJI LA ARUSHA YAANZA UPYA

Na.Fatuma S Ibrahimu – Arusha Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. Maulid Suleiman Madeni amesema kuwa ifikapo kesho Tarehe 18 Januari, 2019 operesheni ya ukusanyaji wa mapato inatarajiwa kuanza upya baada ya kupumzika kwa muda mfupi kupisha msimu wa mapumziko na sikukuu. Ameyasema hayo wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari akiwa ofisini kwake leo Taehe 17 Januari, 2019 ambapo ameitambulisha timu mpya katika awamu hii ambayo ni Wakuu wa Idara zote zilizoko Halamshauri ya Jiji la Arusha na kila mmoja ataambatana na watumishi walio chini yake na watapangiwa maeneo…

Source

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger