Saturday, 5 March 2016

BONYEZA HAPA KUFANYA APPLICATION(APPLY) KOZI ZA AFYA NA UALIMU CHETI /DIPLOMA 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   BONYEZA HAPA KU APPLY...
Share:

KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE) TAARIFA KWA UMMA KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), linapenda kuutangazia Umma na wadau wote wa Elimu nchini, kuwa mfumo wa Udahili wa pamoja yani Online Central Admission System (CAS), umefunguliwa rasmi tarehe 4 Machi, 2016, saa...
Share:

TANZIA:MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA NDG.KAGENZI AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kafariki jana usiku ikiwa ni masaa machache tu yamebaki Majaliwa amtembelee akiwa ziarani Simiyu. Sababu kubwa ni pressure ,wakati anakimbizwa bugando akafariki dunia.R I P MKUU ,innocent the blogger boy naheshimu mchango wako ktk wilaya yangu ya MASWA. MASWAYETU BLOG TEAM...
Share:

New AUDIO | Linah x Khadja Nito - Malkia Wa Nguvu | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DOWNLOAD via HULKSHARE...
Share:

Friday, 4 March 2016

HIZI NDIO SIFA ZA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA CHETI NA DIPLOMA 2016/17

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Health Programmes For applicants who are applying for Technician Certificate,Ordinary Diploma or Advanced Diploma...
Share:

FANYA APPLICATION SASA KUPITIA NACTE KOZI ZA AFYA,UALIMU,BIASHARA MWISHO NI TARE 31/05/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Welcome to Cental Admission System for Non Universities and Universities in Tanzania The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education for academic year 2016/2017. Available Application Categories:- - Admission into Certificate/Diploma...
Share:

Waziri Jenista Mhagama Amteua Dr. Wangwe Kuwa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF,Hata Hivyo Uteuzi Huo UMETENGULIWA Mpaka Utakapotangazwa Tena

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe akifafanua jambo kwa wajumbe wa bodi wa shirika hilo (hawapo pichani ) kabla ya uteuzi huo kutenguliwa. Masaa  kadhaa baada  ya  uteuzi huo, Waziri mhagama alitangaza ...
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MARCH 04 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

Thursday, 3 March 2016

ANGALIA HAPA SIFA ZA KUJIUNGA VYUO VYA AFYA-CHETI NA DIPLOMA 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   A Call for New Admissions for Non-degree Programmes for April 2016 Intake ...
Share:

Kamishina Marijani asema hawatakuwa na muhali na wahalifu.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kamishina wa Polisi  Operesheni na Mafunzo,  Nsato Marijani akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano makao makuu Jeshi ya Jeshi la Polisi.  Fungua hapa kupata TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 03/03/20...
Share:

Wanasheria Waaswa Kutumia Taaluma ili Kulinda Maslahi ya Waajiri wao

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wanasheria waaswa kutumia taaluma kulinda maslahi waajiri wao Mkuu wa wilaya ya Nzega Bi. Jackline Liana amewataka Wanasheria wanapokuwa wakisimamia mashauri mbalimbali kutumia taaluma zao na kuweka weledi wa...
Share:

Waziri Jenister Mhagama kafanya maamuzi NSSF usiku huu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenister Mhagama ametengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe uliotangazwa leo Dar es salaam. Taarifa iliyotolewa usiku huu imeeleza kuwa uteuzi huo umetenguliwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya taratibu, uteuzi mpya kwa mujibu...
Share:

NACTE YAPATA MWAROBAINI KWA VYUO AMBAVYO HAVIJASAJILIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Udanganyifu katika udahili wa wanafunzi kwenye vyuo ambayo havijasajiliwa kuanza kudhibitiwa, baada ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) kuzindua mfumo wa udahili wa pamoja (CAS) kwa mwaka wa masomo 2016/17. Hayo yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji...
Share:

MPYA:NACTE YAFUNGUA APPLICATION ZA CHETI,DIPLOMA NA DIGRII KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 .

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kaimu Katibu Mkuu wa  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dk. Adolf Rutayuga, (Kulia) akisisitiza jambo wakati alipokuwa ikitangaza wa kuzindua Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza...
Share:

TANGAZA NA MASWAYETU BLOG UFAIDIKE NA BIASHARA YAKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Habari zenu, Kwanza kabisa nipende kuwapongeza wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU BLOG  kwa kuendelea kuwa pamoja katika kuendeleza upatikanaji wa habari mbalimbali. Hadi sasa Maswayetu blog idadi ya FOLLOWERS wapatao  MIL 4300000. Ina pageviewers hadi 40000...
Share:

New AUDIO | Raymond TipTop - Natafuta | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DOWNLOAD via HULKSHARE...
Share:

Dr Slaa Afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Hatimaye aliyekuwa Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Josephine Mushumbusi. Wawili hao walifunga ndoa nchini Canada jana katika kanisa  moja, lakini  habari zinaeleza si kanisa Katoliki ambalo Dr Slaa aliwahi...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger