INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA
KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
(NACTE), linapenda kuutangazia Umma na wadau wote wa Elimu nchini, kuwa
mfumo wa Udahili wa pamoja yani Online Central Admission System (CAS), umefunguliwa rasmi tarehe 4 Machi, 2016, saa...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kafariki jana usiku ikiwa ni masaa machache tu yamebaki Majaliwa amtembelee akiwa ziarani Simiyu.
Sababu kubwa ni pressure ,wakati anakimbizwa bugando akafariki dunia.R I P MKUU ,innocent the blogger boy naheshimu mchango wako ktk wilaya yangu ya MASWA.
MASWAYETU BLOG TEAM...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Welcome to Cental Admission System for Non Universities and Universities in Tanzania
The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education
for academic year 2016/2017.
Available Application Categories:-
- Admission into Certificate/Diploma...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt.
Carina Wangwe akifafanua jambo kwa wajumbe wa bodi wa shirika hilo
(hawapo pichani ) kabla ya uteuzi huo kutenguliwa.
Masaa
kadhaa baada ya uteuzi huo, Waziri mhagama alitangaza ...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kamishina wa Polisi Operesheni na
Mafunzo, Nsato Marijani akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati
wa mkutano makao makuu Jeshi ya Jeshi la Polisi.
Fungua hapa kupata TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 03/03/20...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanasheria waaswa kutumia taaluma kulinda maslahi waajiri wao
Mkuu wa wilaya ya Nzega Bi. Jackline Liana amewataka Wanasheria
wanapokuwa wakisimamia mashauri mbalimbali kutumia taaluma zao na
kuweka weledi wa...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenister Mhagama ametengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe uliotangazwa leo Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa usiku huu imeeleza
kuwa uteuzi huo umetenguliwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya
taratibu, uteuzi mpya kwa mujibu...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Udanganyifu katika udahili wa wanafunzi kwenye vyuo ambayo
havijasajiliwa kuanza kudhibitiwa, baada ya Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi (Nacte) kuzindua mfumo wa udahili wa pamoja (CAS) kwa mwaka wa
masomo 2016/17.
Hayo yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kaimu
Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dk. Adolf
Rutayuga, (Kulia) akisisitiza jambo wakati alipokuwa ikitangaza wa
kuzindua Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa
mafunzo yanayoratibiwa na Baraza...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari zenu,
Kwanza kabisa nipende kuwapongeza wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU BLOG kwa kuendelea kuwa pamoja katika kuendeleza upatikanaji wa habari mbalimbali.
Hadi sasa Maswayetu blog idadi ya FOLLOWERS wapatao MIL 4300000.
Ina pageviewers hadi 40000...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hatimaye aliyekuwa Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Josephine Mushumbusi.
Wawili
hao walifunga ndoa nchini Canada jana katika kanisa moja, lakini
habari zinaeleza si kanisa Katoliki ambalo Dr Slaa aliwahi...