Wednesday, 2 July 2014

CHADEMA YAFUNGUKA:OFISI YA MSAJILI WA VYMA VYA SIASA INATUMIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
mnyika_d2c6c.jpg
Dar es Salaam. Mvutano mpya umeibuka baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumvaa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kikidai ofisi yake inatumiwa na wasaliti wa chama hicho.
Pia, chama hicho kimemtaka Jaji Mutungi ajitokeze hadharani kubainisha iwapo yeye ndiye aliyemtuma msaidizi wake, Sistyl Nyahoza kutangaza kuwa mwenyekiti wake, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa hawana sifa ya kugombea uongozi ndani ya chama hicho kutokana na kuzuiwa na katiba ya Chadema.
Share:

LOWASSA:"HUU NDIO UTARIJI WANGU-NINA NG'OMBE 800, SOMA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

lowassa_18f04.jpg
Dodoma. Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema madai kwamba yeye ni tajiri hayana ukweli wowote. Amesema yeye ni mfugaji na anamiliki ng'ombe zaidi ya 800 katika Jimbo la Monduli, mkoani Arusha.
Lowassa alisema hayo katika mahojiano maalumu yaliyofanyika ofisini kwake wiki iliyopita mjini Dodoma.
Share:

Tuesday, 1 July 2014

SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YATANGAZA AJIRA MPYA MIFUGO,KILIMO,ENGINEERING WALA SHAVU CHANGAMKA FASTA KUOMBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,324.

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 1,324 ambazo ni kwa ajili ya waajiri mbalimbali Nchini.


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi amesema kuwa nafasi 1,334 zimeainishwa bayana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz ili kuwawezesha wahitimu wote wenye sifa na uwezo kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi hizo ajira Serikalini.
Share:

SOMA KAULI YA TUNDU LISSU BAADA YA MBOWE KUGOMEWA KUGOMBEA WENYEKITI WA CHADEMA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Dr.Wilbroad Slaa akigombea Uenyekiti wa Chadema naye Mhe.Mbowe akagombea Ukatibu Mkuu wa Chadema Uchaguzi ujao kuna tatizo?.
Share:

WEZI WACHOMWA MOTO NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

DAKTARI WA MENO DK.NGARIBA AFUMWA NA MGONJWA LIVE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: Waandishi Wetu
AMA kweli majanga yakimkuta binadamu hayapigi hodi! Daktari wa meno aliyejulikana kwa jina la Dokta Ngariba (54), amejikuta ndani ya janga la tuhuma za ngono baada ya wapiga picha wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) kunasa sakata lake na mwanamke aliyedai ni mgonjwa wa jino aliyejitambulisha kwa jina moja la Hamida (20).
Share:

MZEE WA UPAKO ANTONY LUSEKELO ATESWA NA MISUKULE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
MBALI na Askofu wa Kanisa la Full Gosple Bible Fellowship, Zacharia Kakobe kuteswa na misukule inayodaiwa kufufuliwa na baadhi ya makanisa ya kiroho nchini, Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ (pichani) naye ameibuka na kucharukia suala hilohilo.

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo ‘Mzee wa Upako’ akifafanua jambo.
Share:

MBUNGE MH. MGIMWA" AWAHAKIKISHIA UMEME MGAMA"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa wa nne kulia akikagua nguzo za umeme ambazo zimeanza kushushwa kwa ajili ya mradi wa umeme vijijini kama alivyoahidi wakati wa kampeni zake ni takribani miezi miwili sasa utekelezaji umeanza
Share:

SUAREZ AMUOMBA MSAMAHA CHIELLINI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Suarez amuomba msamaha Chiellini kwa mara ya kwanza

Mshambulizi wa Uruguay na Liverpool ya Uingereza Luiz Suarez sasa amemuomba msamaha mlinzi wa Italia Giorgio Chellinii kufuatia tukio la kumng'ata timu hizo zilipokuwa zicheza mechi ya mwisho ya makundi huko Brazil.
Share:

VIDEO:ANGALIA HOTUBA YA MH.MWIGULU NCHEMBA ILIYOSISIMUA BUNGE 2014/2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Monday, 30 June 2014

TAZAMA PICHA 5 JINSI WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WAKIGOMBANIA USAFIRI KURUDI MAKWAO BAADA YA CHUO KUFUNGWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


 Askari polisi anayelinda usalama wa abiria na mali zao katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani akijalibu kutoa maelekezo kwa wanafunzi wa UDOM waliofika kutafuta usafiri kituoni hapo na kukuta hali ya usafiri hailidhishi kutokana na uchache wa Mabasi.
Share:

WIZI WA PIKIPIKI:DEREVA BODA BODA AUAWA KIKATILI NA KUPORWA PIKIPIKI YAKE!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Picha hii ni ya dereva boda boda mkazi wa kijiji cha ITAKA MBOZI aliye uawa
Share:

MSAJILI WA VYAMA VINGI AKATAA MABADILIKO YA CHADEMA



mutunga_f8c6f.jpg
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema haitambui kuondolewa kwa kipengele cha ukomo wa uongozi uliofanywa na Chadema bila kufuata idhini ya mkutano mkuu wa chama hicho.
Mwaka 2006, Katiba ya Chadema ilifanya marekebisho yaliyoruhusu wanachama kugombea uongozi bila ukomo wakati awali, waliruhusiwa kugombea kwa vipindi viwili vya miaka mitano.
Share:

MECHI KATI YA BRAZIL VS COLOMBIA: BRAZIL YAIFUNGA COLOMBIA MARA 15 KATIKA MECHI 25

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Nyota wa Brazil, Neymar akishangilia mojawapo ya mabao aliyoifungia timu yake katika fainali zinazoendelea

MECHI ya robo fainali baina ya Brazil na Colombia ni ya kwanza kabisa kwa timu hizo mbili za Amerika Kusini kupambana
kwenye mashindano ya fainali za Kombe la Dunia, lakini ni ya 26 kuzikutanisha timu hizo katika historia yao.
Ukitazama rekodi vitabuni, unaweza kusema kwamba Colombia ni vibonde wa Brazil, kwani katika mechi 25 walizocheza tangu mwaka 1945 mpaka sasa, Brazil imeshinda jumla ya 15, kutoka sare mara nane na kufungwa mechi mbili tu.
Kwa ujumla wake, Brazil imefunga mabao 55-11, ikiwa ni rekodi kubwa mno ya mabao.
Timu hizo zimepambana mara 10 katika mashindano ya awali ya Kombe la Dunia ambapo katika mechi hizo Brazil imeshinda mara tano na kutoka sare mara tano pia.
Aidha, katika mashindano ya Ubingwa wa Amerika Kusini maarufu kama Copa America (zamani yakijulikana kama South American Championship), timu hizo zimepambana mara tisa na Brazil imeshinda mara saba, kutoka sare moja na kupoteza moja.
Zilipopambana katika mashindano ya 7 ya Kombe la Dhahabu (Gold Cup) kule Miami, Marekani mwaka 2003, Brazil ilishinda kwa mabao 2-0.
Share:

CCM YAWABEMBELEZA CUF KUREJEA BUNGE LA KATIBA-MWEZI WA NANE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar,Vuai Ali Vuai
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ali Vuai, amesema ikiwa wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba kutoka Chama cha Wananchi (CUF) hawatorejea bungeni, wataikosesha Zanzibar fursa za kiuchumi.
Share:

MASAA MACHACHE KABLA YA MECHI YA ALGERIA NA GERMANY-KOCHA AKERWA NA SWALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                     
Kocha Vahid Halilhodzic amesema swala kufunga au la ni la kibinfasi
Kocha wa timu ya taifa ya Algeria ambayo inashiriki kombe la dunia nchini Brazil, Vahid Halilhodzic amekataa kufichua idadi ya wachezaji wake ambao wanafunga mfungo wa Ramadhan kabla ya mechi yake na Ujerumani baadaye Jumatatu
Share:

DR SALIM AFICHUA SIRI YA JT NA TUME YA WARIOBA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                      “Ni vizuri viongozi wakaandaliwa, isiwe mtu anaibuka tu anagawa hela halafu anashinda. Anatakiwa mtu atakayeweza kushughulikia matatizo ya Watanzania. Watanzania ni wapole na wavumilivu lakini wanazungumza. Hivyo anahitajika kiongozi atakayesikiliza mahitaji yao na kutoa suluhisho, si kutoa ahadi za uongo,” Dk Salim Ahmed Salim
KWA UFUPI
Abainisha ilikuwa ikimpa taarifa kwa kila hatua iliyokuwa ikifikia, asema alishangaa kumsikia akiikosoa katika Bunge la Katiba
Dk Salim: Sina mpango na urais 2015
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger