Tuesday, 24 June 2014

MAJAMBAZI YAUA SISTA DAR-ANGALIA PICHA ZOTE HAPA


Share:

KANGA MOJA:HUYU HAPA YULE MAMA ALIEPIGWA RISASI WAKATI WAKISHIRIKI NGOMA HIZO

MAMA mzazi wa binti aliyesababisha wasichana wawili kujeruhiwa kwa kupigwa risasi na polisi baada ya kushiriki ngoma maarufu ya Kanga Moko iliyopigwa marufuku, huko Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es Salaam, amefunguka na kusema kuwa hakukuwa na sherehe yoyote nyumbani kwake siku hiyo ya tukio.
Grace Loy (20), mkazi wa Mwananyamala Mchangani, aliyepigwa risasi katika paja la kulia wakati wa vurugu iliyotokea.
Mama huyo, Rehema Aziz alisema waliojeruhiwa walikuwa wakisherehekea kuolewa kwa mwanaye aitwaye Aziza Aziz, ambao walikuwa ni marafiki zake na walifanya hivyo kwa mujibu wa mila za watu wa Pwani, za kucheza na kufurahi wakizunguka mitaani, lakini bila kufanya fujo yoyote.
Share:

MAMA AMUUA MTOTO WAKE -DAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WAKATI wanaharakati wanaendelea kupiga kelele kuhusu kushamiri kwa
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE


1_4ee28.jpg
Share:

KIWANDA CHA MAFUTA IRAQ CHATEKWA

Wapiganaji wa kisunni wamekuwa wakiteka miji nchini Iraq na kuwaacha maelfu bila makao
Share:

Monday, 23 June 2014

ORODHA YA MAJINA AJIRA KWA WALIMU WAPYA NA VITUO WALIVYOPANGIWA 2014 AWAMU YA PILI


                                                             


BONYEZA HAPA KUANGALIA TANGAZO LA AJIRA HIZI,NA LINI UNATAKIWA KURIPOTI KAZINI  Tangazo la Ajira 
Share:

ANGALIA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UFUNDI MWAKA 2014 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC) ,DIT,WDMI, NA MIST

Share:

MTOTO MWENYE UMRI WA MWAKA MOJA ATELEKEZWA NA MAMA YAKE

VITUKO uswahilini! Mtoto wa mwenye umri umri wa mwaka mmoja ambaye jina halikufahamika ameokolewa na Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers baada ya kudaiwa kutelekezwa kwa siku nzima na mama yake mzazi, Mama Sofia.
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja aliyetelekezwa na mama yake
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMATATU

1_0e1ef.jpg
Share:

MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWATEMBELEA WANANCHI WAKE,SOMA HAPA



Mbunge wa  jimbo la Kalenga mkoani Iringa Godfrey Mgimwa akitumia usafiri wa Baiskeli kuwafikia
Share:

"KONDOMU" ZANASWA UKUMBI WA BUNGE,SPIKA ASHITUSHWA

Inaweza kuonekana ni kituko cha aina yake, lakini ni kweli kimetokea kwenye Ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Nairobi na kuwaacha wabunge vinywa wazi. 
Katika hali isiyo ya kawaida,
boksi la kondomu lilikutwa ndani ya ukumbi huo na kuwashtua wabunge wote akiwamo spika wa bunge hilo.
Mwakilishi wa eneo la Karura, Kamau Thuo ndiye aliyekuwa wa kwanza kuliona boksi hilo na kuwashtua wabunge wengine hali iliyoibua mjadala mzito.
Kutokana na sintofahamu hiyo Spika Alex Ole Magelo aliwataka wahudumu kufungua boksi hilo kujua kilichomo ndani yake ndipo walipokuta kondomu.
Share:

MMUME WA FLORA MBASHA:MWAKA WA MAJANGA KWANGU NIMETAPELIWA HATI YA NYUMBA NA VIWANJA


MAJANGA! Siku chache baada ya kuachiwa kwa dhamana katika kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, mwimbaji wa Injili na mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha amedaiwa kuibiwa hati za nyumba na viwanja.
Mfanyabiashara Bongo, Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha.
Share:

" RAISI WA CHUO CHA BUGANDO" APATIKANA AKIWA HOI NA HAJITAMBUI


Share:

WEMA SEPETU AFUNGUKA MAMBO MAZITO SOMA HAPA


Masikini Wema katika siku alizowahi kuongea kwa uchungu, leo ametisha. Kwa kilic
homkuta leo hatamani hata kuelezea.
Share:

JOYCE KIRIA AFUNGUKA KUHUSU KESI YA MUMEWE FROLA MBASHA



FRORA MBASHA POLE SANA...
Share:

Sunday, 22 June 2014

KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU PROFESA MCHOME AZINDUA OFISI ZA NACTE MIKOANI



Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome (kulia) akimkabidhi Edward Mneda nyaraka za utendaji kazi kufuatia kuteuliwa kuwa Mkuu wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Kanda ya Kati. Kushoto ni Mkuu wa Kanda Msaidizi wa Kanda ya Ziwa Beatrice Mpanda. Baraza hilo limefungua ofisi katika kanda tano Dodoma, Arusha, Zanzibar, Mbeya na Mwanza kurahisisha utekelezaji wa majukumu yake.
Share:

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ FT. LINAH - KIZAIZAI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnXbmRdumG0NzVpsQtwvZNXvVYYM1p0MytiNlAVjKyfS-U-CV7WICsQm44VSBpZGDzTtlNIO28IDsDYs44uNmmZ5U8Zvo9pFynwgapWMZLj5kmgrsJf8ADkzt0uN3irWoOVYcAVLeOox0C/s1600/DIAMOND+&+LINAH.jpg
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger