

















Homa
ya kombe la dunia imeanza kupanda na timu kadhaa zimeanza kutangaza
vikosi vya wachezaji watakaoenda Brazil kushiriki michuano hiyo
inayotarajiwa kuanza June mwaka huu.
“Huwezi
kuamini baada ya madaktari kunipima na kugundua nina Ugonjwa wa Dengue,
walinishangaa sana hata namna nilipofika pale na kwamba sikutumia dawa
yoyote ya kutuliza maumivu kwa sababu maumivu yake huwa ni lazima
utatafuta tu dawa ya kukufanya upoze maumivu.
Mai
akiwa hajui kuwa yupo mikononi mwa mapaparazi waliokuwa na njaa ya
habari, aliwaambia: “Ni dawa nzuri, mara moja zinarekebisha umbo na
unakuwa wa kuvutia. Kuna za shilingi 250,000 na 260,000 inategemea kama
ni vidonge au losheni.”
