Monday, 5 May 2014

MAGAZETI JUMATATU

  MASWAYETU-BL...
Share:

Kigwangala Atafakari Urais 2015

Na John Dotto Mbunge wa jimbo la Nzega Mkoani Tabora kupitia CCM, Hamis Kigwangala, ametanabaisha kuwa anatafakari kama anaweza kugombea Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao kupitia chama cha mapinduzi CCM.  Akijibu maswali ya waandishi wa habari waliotaka kujua fununu zilizo enea kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo imekuwa ikiibua mijadala mara kwa mara inayomshawishi kugombea...
Share:

MVUA YAMUWEKA KINANA DAKIKA 20 ANGANI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kutoka kwenye ndege ya kampuni ya Flightlink kwenye uwanja wa Ndege wa Zanzibar baada ya kukaa angani kwa dakika 20 zaidi ya muda uliopangwa kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya na mvua kubwa kunyesha.Katibu Mkuu amewasili Zanzibar...
Share:

Bajeti ya 2014/15 itambue sekta ya michezo

Bunge la bajeti linaanza kesho huku Serikali ikiwa imetoa mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita. Vipaumbele vya bajeti hiyo ni kuendeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano ulioanza mwaka 2011 na Mpango wa Matokeo...
Share:

JINI SIZAI TENA NJE YA NDOA

MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka kuwa hayupo tayari kuzaa tena nje ya ndoa mpaka atakapoolewa. Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. Akistorisha na paparazi wetu, Jini Kabula alisema hawezi kurudia tena ...
Share:

SHILOLE ABADILI JINA LA HOTEL YAKE AMBAYO ILIKUA INAITWA "CHUNA BUZI"

Mwanamuziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amebadilisha jina la Hoteli yake mpya anayotarajia kuifungua maeneo ya Mwananyamala, awali jina la Hoteli hiyo aliiita Chuna Buzi Hotel lakini baada ya ushauri sasa anaipa jina la Igunga One Restaurant.“Nimeamua kubadili jina baada ya kushauriwa...
Share:

MASKINI MTOTO HUYU, ANASUMBULIWA NA GONJWA LA AJABU..SOMA ZAIDI HAPA

 Mtoto AMISA MALEBHI(miaka 2 na miezi sita)ambaye ana matatizo ya jicho la kushoto anahitaji msaada wa kupelekwa hospitali ya KCMC Moshi kwa ajili ya matibabu kwa atakayeguswa anaweza kuwasiliana na mama yake mzazi TAUSI HAMISI mkazi wa Ufuluma wilaya ya Uyui mkoani Tabora....Mtoto...
Share:

NI ZAIDI YA LAANA HII 18+ AIBU KWA WATANZANIA:VIDEO YA WANAWAKE WACHEZA KAMA WALIVYOZALIWA (UCHI WA MNYAMA) MCHANA KWEUPEEEEE!!

mtoto wa kike shanga njenje!! huku akiwa mtupu.. utamu wote ukiwa njee maadili ya kitanzania yanapotea au ndo yanajengeka ,hebu cheki video hii kwanza Kutokana na maadili tumeshidwa kuiweka video hii ;;; <<KUANGALIA VIDEO HIYO WATANZANIA WAKIMWAGA RADHI LIVE BOFYA ...
Share:

Sitasahau siku nilipomfumania mpenzi wangu akiwa hotelini na rafiki yangu ambaye ni zaidi ya ndugu

 Sikutaka tena mtu akae na kuniambia kuhusu eti nitulie au niwe na mtu nimwitaye mpenzi wangu au mke mtarajiwa. Hebu fikiri mtu unapigiwa simu na kuambiwa kuwa binti uliyempenda na kukaa naye kwa zaidi ya miaka mitatu na mkitarajia kuanza mipango ya kukaa wawili na mahaba...
Share:

MTOTO WA MIAKA 8,ABAKWA,AZIBWA MDOMO NA SEHEMU ZA SIRI KWA NGUO,KISHA KUNYONGWA

 Katika hali ya kusikitisha na kutia simanzi, mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Kalangalala mjini Geita aitwaye Magreth Kervini(8)  amebakwa na kufungwa nguo mdomoni na sehemu za siri kisha kunyongwa shingo  hadi kufa na kutupiwa uvunguni mwa kitanda usiku...
Share:

RIDHIWANI AMPONGEZA DIAMOND PLATINUMZ KUPITIA UKURASA WAKE WA FACEBOOK, SOMA UJUMBE HAPA

Kwanza Hongera sana kwa kushinda Kili Awards.Hii ni zawadi nzuri unayoweza kupata baada ya Jitihada,Kujituma, na Burudani nzuri kwa washabiki wako.Mungu akujalie mema zaidi ya hapo.Hongera sana Platnumz....
Share:

WASHINDI WA KILLI MUSIC AWARDS-2014 HAWA HAPA

Fid Q akiwa katika pozi la picha na tabasamu la ukweli baada ya mwana Hip hop bora Tanzania. Diamond akitoa machache baada ya kupata Tuzo Kikundi cha Weusi wanaotamba na wimbo wa Gere nao hawakuziachia tuzo hivi hivi. Background Kilimanjaro Music Awards ni tuzo zinazotolewa kila mwaka...
Share:

Sunday, 4 May 2014

LIVE TOKA MLIMANI CITY: WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC NI HAWA

Msanii Bora Chipukizi Anayeibuka, Young Killer akiwashukuru mashabiki baada ya... Read More ...
Share:

AGNES MASOGANGE IS BACK INTO BIZ.....CHEKI VIDEO HII AKITINGISHA.....NOUMA SANAAA!!!

...
Share:

MVUA YATIBUA SHOO YA LADY JAY DEE

Lady jay Dee akiwa jukwaani. Mashabiki wakifuatilia shoo hiyo. Roma mkatoliki na Baghdaddy wakifanya makamuzi. Profesa Ludigo (Kulia) akiwa na Nikki Mbishi. Gadner akiwa na Profesa Jay. Wasanii wa Bongo Movie wakishauriana jambo. Patricia Hillary akiwa jukwaani kutoa shoo. Shabiki akimtuza...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger