Monday, 28 July 2025

NILIPIGWA CHARACTER DEVELOPMENT, LAKINI MAOMBI MAALUM YALINIPA MPENZI WA KUDUMU

...

Kuna wakati katika maisha yangu nilihisi kama mapenzi yalikuwa laana tu juu yangu. Kila mara nikipenda, nateseka. Nikiwa chuoni nilikuwa na mpenzi ambaye nilimchukulia kama mchumba wangu wa baadaye. Nilimheshimu, nilimpenda, na nilimjengea ndoto za maisha mazuri pamoja.

Lakini baada ya miaka miwili ya mahusiano ya dhati, siku moja alipokea kazi nje ya jiji. Nilimpa baraka zangu zote. Ndani ya wiki mbili alinitumia ujumbe mfupi tu: “Nadhani huu ndio wakati wa kila mtu aendelee na maisha yake.” Soma zaidi
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger