Monday, 30 September 2024

UKAGUZI WA VYAKULA VYA MIFUGO NI ZOEZI ENDELEVU- DKT. OMARCH

Hayo yamesemwa na Meneja wa Maabara Kuu ya Veterinari kutoka Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt. Geofrey Omarch alipokuwa akifanya ukaguzi wa vyakula vya Mifugo kwa wazalishaji, wauzaji na watumiaji wa vyakula hivuo Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar Es Salaam Septemba 30, 2024 kwa...
Share:

RAIS SAMIA : WATUNZENI WATOTO TUSIJE KUSIKIA KESI ZA UJAUZITO, SITAKI KUSIKIA MSURURU WA WALIOPATA ZERO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa Namtumbo Mkoani Ruvuma iliyopewa jina la ya Dr.Samia Suluhu Hassan ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.6 leo September 27,2024. Akizungumza...
Share:

RAIS SAMIA AFURAHISHWA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA SHULE YA WASICHANA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa Namtumbo Mkoani Ruvuma iliyopewa jina la ya Dr.Samia Suluhu Hassan ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.6 leo September 27,2024. Akizungumza wakati...
Share:

RAIS SAMIA AZINDUA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA 'DR SAMIA SULUHU HASSAN GIRLS SEC. SCHOOL'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa Namtumbo Mkoani Ruvuma iliyopewa jina la Dr. Samia Suluhu Hassan Girls Secondary School ambayo ujenzi wake umegharimu Shilingi Bilioni 4.6 leo September...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger