
Baadhi ya wananchi wamedai kuwa ukosefu wa kizuia mwendo (matuta) kwenye barabara hiyo na baadhi ya madereva kutofuata sheria za usalama barabarani imekuwa chanzo cha kusababisha vifo vitokanavyo na ajali.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga ACP Janeth Magomi amefika eneo la tukio na kuzungumza na wananchi hao ambapo amesema wataendelea kuimarisha doria za usalama barabarani katika eneo huku katibu tawala wilaya ya Shinyanga Said Kitinga amefika na kuchukuwa hatua kwa kuzielekeza mamlaka husika.
![]() |
Msafara wa magari yakiwa yamezuiwa.![]() |
0 comments:
Post a Comment