Friday 12 January 2024

BUNGE LAPITISHA SHERIA KUKOMESHA ULAJI NYAMA YA MBWA

...

Bunge la Korea kusini limepitisha sheria mpya ambayo imeonekana kuwa mtihani kwa walaji na watumiaji wa nyama ya mbwa.

Sheria hiyo ambayo imelenga kukomesha uchinjaji na uuzaji wa nyama ya mbwa, Desturi ambayo imekuwa ikitumika kwa wananchi wa Korea kusini kwa zaidi ya karne hivi sasa.

Na kwa ambaye atapatikana kujihusisha na biashara ya kuuza na kununua mbwa kwa lengo la kitoweo, basi adhabu kali ikiwemo kifungo itaambatana naye.

Chanzo: BBC
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger