Sunday 12 November 2023

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA KASI YA UJENZI WA BWAWA LA MEMBE, YATEMBELEA NYUMBA ZA VIJANA WA BBT

...
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Tanzania Mhe. Omari Mohamed Kiguha amesema kuwa kamati imeridhishwa na hatua za ujenzi wa mradi wa bwawa la Membe ziilizofikiwa ikilinganishwa na kiasi cha fedha zilizotolewa kwenye mradi huo.

Mhe. Kiguha ameyasema hayo wakati kamati hiyo ilipotembelea mradi ikiwa ni sehemu ya mradi inayotembelewa na kamati hiyo ya Bajeti katika ziara yake ya siku nane katika mikoa mbalimbali. 

Aidha katika mkoa wa Dodoma kamati imetembelea shamba la BBT la Chinangali II na kujionea hatua zilizofikiwa za ujenzi wa miundo mbinu ya nyumba za makazi ya vijana kiwanda cha mvinyo wa zabibu maandalizi ya shamba
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde (MB) akiongea na wananchi wa kijiji cha Membe wilayani Chamwino wakati wa ziara ya kamati ya kudumu ya bajeti ya bunge la Tanzania tarehe 11/11/2023





Mradi wa nyumba 46 za makazi kwa ajili ya vijana wa BBT ukiwa katika hatua mbalimbali za ukamilishaji mradi wa Chinangali II. Dodoma
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger