Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)kimezindua Harambee ya kuwachangia wanafunzi wenye mahitaji maalum wanaosoma chuoni hapo ili kuchochea ari ya mafanikio yao ikiwa ni pamoja na kuongeza ushawishi kwa wanafunzi wengine wa kundi hilo kutokata tamaa ya kusoma.
Hayo yamejiri...
Na. John Bera
Wizara ya Maliasili na Utalii imeendesha mafunzo kwa watumishi wa Wizara, taasisi mbalimbali za serikali na vyuo vikuu kuhusu namna bora ya kufanya tafiti zitakazosaidia kuondoa changamoto na kuimarisha uwekezaji katika maeneo ya uhifadhi nchini.
Akizungumza leo Jijini Dodoma wakati...