Tuesday 28 June 2022

SHULE AMBAYO WANAFUNZI WAVULANA WANAVAA NGUO KAMA SKETI

...

Wanafunzi wa kiume wakiwa katika monekano wa kike baada ya kuvaa sketi
**
NYAKASURA ni shule ya mchanganyiko ya bweni, ya kata ya upili iliyopo huko magharibi mwa nchi ya Uganda ambayo wanafunzi wa kiume wanavaa sare za ‘Kilt’ zenye muonekano wa sketi.


Unaambiwa shule hiyo ilianzishwa miaka 96 iliyopita na Missionari wa Scotland Kamanda Enest Calwell ambaye inasemekana ndio ameanzisha utamaduni wa kuvaa sare hizo.


Mkuu wa Shule hiyo amekanusha kwa kusema sare hizo za ‘Kilt’ sio sketi na huvaliwa kwa kawaida huko nyanda za juu Scotland.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger