Saturday 18 June 2022

Breaking : UHALIFU MKUBWA WA MAZINGIRA MUDA HUU MJINI SHINYANGA....SHUHUDIA HAPA KIZAA ZAA BOMBA LA SHUWASA

...
Haya siyo mafuriko! Bali ni Bomba la Maji la Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) linalopita katika eneo la Soko Kuu Mjini Shinyanga likiwa limepasuka baada ya mtambo wa kuchonga barabara (Greda) uliokuwa unang’oa kisiki katika eneo ambalo ujenzi wa stendi ya mabasi unaendelea.

Tukio hilo lililozua kizaazaa limetokea jioni hii leo Jumamosi Juni 18,2022 majira ya saa 12 jioni ambapo maji hayo yanayotiririka kuelekea maeneo mbalimbali yameendelea kupotea kwa zaidi ya saa moja na kusababisha uharibifu/uhalifu wa mazingira na upotevu mkubwa wa maji.

 Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Tazama Video hapa chini


















Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger