Monday, 13 September 2021

RAIS SAMIA : SERIKALI ITAENDESHWA KWA MATENDO MAKALI SIYO MANENO MAKALI 'KUFOKA SIYO HESHIMA'

...


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema amewataka viongozi kufanya kazi kwa vitendo zaidi badala ya kutoa maneno makali akisema  Serikali itaendeshwa kwa matendo makali siyo maneno makali.

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Septemba 13,2021 wakati akiwaapisha Mawaziri Watatu na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

"Serikali itaendeshwa kwa matendo makali siyo maneno makali. Kufoka siyo heshima, Sitegemei kuanza kufokea watu wazima wenzangu, nitafoka kwa kalamu", amesema Rais Samia



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger