Wednesday 29 September 2021

MREMBO AMKIMBIA MUME MTARAJIWA SIKU YA HARUSI

...

Jackline Wanjiru kutoka Kenya aliamua kuchanja mbuga muda mfupi kabla ya harusi yake baada ya kugundua kuwa bwana harusi Alfred Musa alimdanganya kuwa ni mfanyakazi wa benki kumbe sio ni dereva Teksi.

Katika mahusiano yao yaliyodumu kwa miaka minne, Alfred alimwambia Jackline kuwa yeye ni mfanyakazi wa benki ya biashara katika tawi la Malindi ila baada ya kugundua kuwa mumewe anafanya kazi kama dereva wa Teksi na sio Benki aliamua kukimbia katikati ya shughuli.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger