Sunday, 19 September 2021

MBUNGE WA JIMBO LA NAMTUMBO ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA GARI

...


Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Kawawa amepata ajali katika eneo la Nalasi wilayani Tunduru akiwa kwenye ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme ambaye ana ziara leo huko Namtumbo, mkoani Ruvuma. Mbunge huyo alikuwa watu wengine watatu kwenye gari na wote wametoka salama.( Picha na CCM Makao Makuu)
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Kawawa akiwa amenusurika kwenye ajali ya gari lake alilokuwa akilitumia katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndugu Christine Mdeme.
Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Kawawa akizungumza na Bw. Nasoro Hassan Dereva wa CCM Makao Mkuu mara baada ya kunusurika kwenye ajali ya gari lake alilokuwa akilitumia katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndugu Christine Mdeme.

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger