Saturday, 9 January 2021

YANGA YAICHAPA NAMUNGO FC BAO 1-0 MICHUANO YA MAPINDUZI CUP

...

Baada ya kutoka sare katika mechi ya kwanza Yanga imefanikiwa kutoka na pointi tatu muhimu dhidi ya Namungo katika michuano ya Mapinduzi Cup yanayoendelea Visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Namungo bao 1-0.

Bao la pekee la Yanga liliwekwa kimyani na Kiungo wao Zawadi Mauya mnamo dakika ya 24 ya mchezo.

Yanga ilifanya mabidiliko kadhaa ya wachezaji na kuwapumzisha wachezaji ambao walianza katika mchezo wa kwanza wa mashindano hayo.

Via Fullshangwe blog

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger