Friday 29 January 2021

RAIS MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI AKIWA NJIANI KUELEKEA MKOANI TABORA

...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Nzega wakati akielekea Tabora mjini leo tarehe 29 Januari 2021. Picha na Ikulu
Sehemu ya Wananchi wa Kata ya Nata Tabora vijijini wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akizungumza nao wakati akielekea Tabora.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Uyui mkoani Tabora mara baada ya kuwasili wakati akitokea Kahama mkoani Shinyanga leo tarehe 29 Januari 2021.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger