Wednesday 27 January 2021

NAIBU WAZIRI WA NISHATI ATEMBELEA UJENZI WA KITUO CHA KUPOZA UMEME KIGAMBONI

...

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akiongozana na Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco, Mhandisi Neema Mushi wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco, Mhandisi Neema Mushi wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco, Mhandisi Neema Mushi  wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26 kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi.Sarah Msafiri. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa transfoma kubwa ya umeme na Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco,Mhandisi Neema Mushi wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa mitambo mbalimbali ya kupoza umeme iliyofungwa kwenye kituo hicho na Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco ,Mhandisi Neema Mushi wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akioneshwa mifumo mbalimbali inayofungwa katika kituo hicho cha kupoza umeme na Meneja wa Usafirishaji Umeme Makao Makuu ya Tanesco, Mhandisi Neema Mushi wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wa gridi ya taifa kinachojengwa wilayani Kigamboni kikigharimu jumla ya shilingi Bilioni 26. 
Baadhi ya mitambo iliyofungwa katika kituo hicho inavyoonekana. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato pia ametembelea mitambo ya kufua umeme wa gesi Kinyerezi II na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa katika mitambo hiyo. 
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato akipokea taarifa ya uzalishaji katika mitambo hiyo. 
Mhandisi Innocent Luoga akimuongoza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Stephen Byabato wakati alipokuwa akitembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Kinyerezi II.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger