VUKA LENGO NA USHINDE: “Ili kuwa mshindi, kila wakala alitakiwa kuvuka lengo alilopewa, kulingana na historia ya miamala yake ya kila siku. Zaidi ya mawakala 4,000 walifanikiwa kuvuka malengo yao na kushinda zaidi ya shilingi milioni 400.” Angelica Pesha, Mkuu wa Kitengo cha Tigo Pesa #TigoPesaNiZaidiYaPesa #TigoPesaWakalaPush
TIGO PESA BOOST MTAJI!: “Nawashukuru Tigo kwa kuwa kupitia #TigoPesaWakalaPush wameweza kuniboost mtaji wangu” Piason Baruti, Wakala Tigo Pesa na Mshindi wa Milioni 1.5
#TigoPesaNiZaidiYaPesa
Mkuu Kitengo cha Tigo Pesa-Tz akiwa na katika picha ya Pamoja na washindi
#TigoPesaNiZaidiYaPesa
0 comments:
Post a Comment